KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Siku waTanzania watakapoanza kutumia akili zao na kuachana na matumizi ya mihemko....ndipo yatakapoanza mageuzi ya kweli kwenye taifa hili.
Ndio siku ambayo watapata kuziona bayana rangi za wanasiasa wao.
Na vugu vugu hilo halihitaji hata tamko la wanasiasa maana kila mmoja atajikuta ni muhanga wa utawala mbovu.......na hapo ndipo itakapozaliwa Tanzania mpya.
Mungu ibariki Tanzania.
Ndio siku ambayo watapata kuziona bayana rangi za wanasiasa wao.
Na vugu vugu hilo halihitaji hata tamko la wanasiasa maana kila mmoja atajikuta ni muhanga wa utawala mbovu.......na hapo ndipo itakapozaliwa Tanzania mpya.
Mungu ibariki Tanzania.