Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani inahangahika hatari.... binafsi Mama Samia hajanigaiwia pesa wala kuleta unga kwangu ila nina amani, furaha na najihisi huru....mengine ya ziada.....akikosea tutamkosoa kwa nia njema lakini si kwa minyororo tuliyokuwa tumefungwa enzi hizoMisukule ya Jiwe Yazidi Kutapatapa!!!
Nyie wengi wenu mlivutiwa na zile kelele zake na kuongea kwa vitisho na kujifanya mwamba kumbe werevu wanamchora tuu kikowapi sasa mbona imemuondoa? Au hujuwi kilichomuua mungu wenu?Magufuli was super bana, vitu vidogo kama hivi avifate kenya? Angepiga simu moja tu wasipotaka waache.watanunua wengine au sisi tutakula wenyewe kwani sh ngapi basii??
Ila jpm alikuwa chuma aisee
Kufika Mwezi la 9 wafuasi wa Magu watakuwa hii bin taabani🤣🤣🥰🥰..Magu aliwahi kwenda Afrika Kusini akapeleka kamusi za kiswahili.🤣🤣
..ndio fursa aliyokwenda kutafuta South Africa.
Kwa Haya ninayoyaona Yanaendelea Sasa Hapa Nchini Kwetu Naanza kukumbuka Kauli ya Hayati JPJM Kwamba Tutakukumbuka Sana [emoji31][emoji31][emoji31]
Nawewe jinyonge basi ili tujue unakereketwa.Kwa Haya ninayoyaona Yanaendelea Sasa Hapa Nchini Kwetu Naanza kukumbuka Kauli ya Hayati JPJM Kwamba Tutakukumbuka Sana [emoji31][emoji31][emoji31]
Mkuu Hivi unangalia Play off ya NBA kwa Sasa Maana najua Siasa unaforce Tu [emoji1][emoji1]Naona umechungulia jina laki katika orodha ya Ma-DC wapya hukuona jina lako, lazma umkumbuke shujaa[emoji23]
Ndugu ZanguAcha mchwa waendelee kufaidi kitoweo...
Na mipaka iko wazi Mkuu nyambafu sana hao...Nawewe jinyonge basi ili tujue unakereketwa.
Na hapo bado hadi mtahama nchi mrudi kwenu burundi.
Ufe ww usiekuwa na MaanaKwa hiyo ulitaka nani afe labda kwa mfano?
Kazi Ya Mungu Haina MakosaKwa hiyo ulitaka nani afe labda kwa mfano?