Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Kwaiyo kachoma mafuta bure? Kuongelea mahindi au kuna vitu vingine sio kwa faida ya PUBLIC?
Ndio hapo sasa. Inaingia akilini kweli? Yaani mtu anaanzisha uzi humu kumaanisha rais kachoma mafuta bure. Kuna watu wenye vichwa vya ajabu humu.
 
Nimeamini kweli hii nchi mambumbumbu ni wengi sana kama mleta mada. Unasema tumewaachia gesi yetu hivi unajuwa hata kilichofanyika kuhusu gesi huko Kenya? Jamani tuwe tunafuatilia hivi vitu kikichofanyika ni MoU na mjadala unaendelea lengo ni kufikia mkataba utakaonufaisha pande zote mbili kwa sawa. Sasa inakuja mbuzi hapa inasema mama kaacha gesi Kenya aisee bado tuna safari kama nchi.
Yaaani kaka mimi nimesoma hizi nyuzi za wadau nikagundua kama taifa bado tuna safari ndefu, mbumbu bado ni wengi sana to the extent hata hawajaona umuhimu w safari ya mana kenya
 
MATAGA waunde chama chao cha siasa,kwa sasa hawana nafasi CCM ya SSH na serikalini.... Zama zao kwishney
 
Ile Kadhia Ya Kuzomewa Ukivaa jezi Za CCM Kariakoo naiona Ileeee Inarejea....! Mama Kaza Roho...!
 
Sema utazikumbuka show off za kwenye camera.Dili za kununua mapapai, chips, kuku,samaki propaganda hizo zimekufa kibudu.
 
Nyie wengi wenu mlivutiwa na zile kelele zake na kuongea kwa vitisho na kujifanya mwamba kumbe werevu wanamchora tuu kikowapi sasa mbona imemuondoa? Au hujuwi kilichomuua mungu wenu?
Wajinga tu ndo mnadanganywa jpm kafa kwa corona
 
Hii nchi tunapoelekea hata sipaon kabisa tunajizika kabisa

Kabla hujaleta sifa za kusifu na kuabudu embu Tuambie kwenye ziara ya Mama na Rais unafikir ni Nan kafaidika na Nan kaliwa kichwa? Watanzania nchi hii tunaiteketeza yani pamoja na mambo yote Rais Samia alio waachia wakenya juu yetu ikiwemo na gas yetu ila wao wameruhusu Mahind tu? Na kuruhusu watu wapite mipakan alafu mama Atarud tz kifua mbele kua katoka kwenye ziara???

Rais kawakaribisha wakenya waje kulima tz Sasa najiuliza io ziara alio enda Kenya kuomba tuuze maindi kwao wakenya wakisha Anza kuvuna sijui Hao watanzania watamuuzia Nan yani Kuna vitu mtu anafanya unajiuliza how

Yani Rais wetu hajamaliza migogoro ya Ardh tanzania Kuna watu wanauana ila kapanda ndege kwenda Kenya kuwaahid watu Ardhi

Tanzanian hii sijui Tunaenda wap yani kutoka Tanzania mpaka kwenda nchi ambayo inashindwa mamilionea na watz kuwaomba waje kuwekeza ni uji kabisa kwa hasira mpaka point zimeniishia
Kwani na nyinyi si mmekaribishwa kwenda kuwekeza Kenya.
 
Magufuli was super bana, vitu vidogo kama hivi avifate kenya? Angepiga simu moja tu wasipotaka waache.watanunua wengine au sisi tutakula wenyewe kwani sh ngapi basii??

Ila jpm alikuwa chuma aisee
Alikuwa chuma hasa.
 
Mtazid kuweweseka,mnataka akae chato kwani ye panamuhusu??mwache afanye analoliona linafaa KWA nchi yetu,yeye ndo RAIS
 
Mpaka dakika hii mataga bila bila ( Mama 5- Mataga 0)

Lazima tu walete majungu
 
kwahiyo kumbe alienda kusawazisha ili mahindi yauzike[emoji23][emoji23][emoji23]ambayo yaliachaa kununuliwa tokea mwezi feb???kwani tulikuwa tumewakosea kitu gani mpaka wakazira kununua mahindi??

ndio maana huwa nasema hawa majirani walikuwa wanacheza vyema sana wimbo wa jpm,huyu mama watamchezea mpaka ashangae.

mipango,majaliwa mnaangalia tu mambo yanavyoharibika,sisi tutawaparamia nyinyi mnaoacha mambo yajiendee tu.
 
Kama alivyosema atanunua mwenyewe korosho, na kilichofuata hapo na madhira kwa wakulima wa korosho!

Btw, yaani mlichokiona kwa Samia kwenye ziara yake ya Kenya ni suala la kuuza mahindi?

Wafuasi wa Jiwe mna viroja ambavyo haviwezi kufanywa hata na mtoto wa Darasa la IV

Na hivi mtaendelea kuweweseka hadi lini? Nyie ndio watu mnaomuombea Samia afanye vibaya ili tu Malaika Jiwe aonekane alikuwa bora wakati alikuwa janga tu kwa taifa!!!

Btw, katika huo unyanyuaji wake wa simu, aliweza kuboresha bei ya mazao yapi?!

Mnavyopenda kujitoa ufahamu, hamkawi kusema "huoni bei ya sukari na ya mafuta ya kula ilipanda"!!!
hivi ilikuwaje wakaacha kununua mahindi??
 
Nawewe jinyonge basi ili tujue unakereketwa.

Na hapo bado hadi mtahama nchi mrudi kwenu burundi.
siku hizi unaimba taarabu kama dr kumbuka[emoji23][emoji23].

warundi na wasukuma ni kitu moja eh??
 
Back
Top Bottom