Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Hiyo ^naye^ inamlenga nani, maana kama ni dikteta labda yeye tu Bi Mkubwa wenu. Nchi yetu haijawahi kuwa na dikteta. Au unawazungumzia wale walafi wenu wawili baada ya Mzee wa Benzi!???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo letu kubwa ni CCM.Leo kama kawaida yangu, nikaamua kutembea mtaani kusikiliza wananchi wanasemaje kuhusu tozo hizi ulizowawekea wananchi.
Wananchi wanasema miezi yako mitatu ya kwanza uliwapa matumaini makubwa sana kwa hatua zako za kuonyesha hupendi uonevu, ukafungulia watu waliobambikiziwa kesi, ukafungua akaunti za wafanyabiashara kwenye haya mambo wananchi waliyapenda sana.
Ila sasa wanasema kuwa kwa hizi tozo ulizowawekea kwenye maisha yao hausomeki kabisa!
Wanahoji, wanasema mbona Mawaziri wako, makatibu wakuu, wanaburuza migari ya bei kubwa huku wakiwa na allowance ya mafuta kila wiki au mwez halafu unatoka hapo unawapandishia kodi kwenye mafuta yao, Wanauliza au kwa sababu hivi vitu kwenu ni bure kwa hiyo hamjali?
Mama Wananchi huku mtaani wanahoji inakuwaje unapunguxa kodi kwenye pombe lakini unaiongeza kwenye mafuta, wanahoji huu ni uchumi wa wapi?, Wananchi wanasema ina maana unawapa unafuu walevi kuliko wasafiri wanaohitaji kumove around ili kufanya biashara?
Mheshimiwa rais, wananchi wanasema unazurura sana angani, yaani hutulii sehemu moja kufanya kazi, wanasema kila safari yako ni gharama kwao na eti ndiyo maana unawatoza makato makubwa ili kufinance safari zako za kutwa kucha uko angani.
Ndugu rais, wananchi huku kitaa wanasema hausomeki, wanasema hoja zenu za kujenga shule na barabara huko vijijini hazina mashiko wanasema kwa miaka yote 69 mliyokaa madarakani kwa nini hamjajenga hizo shule, kwa nini hamjajenga hizo barabara?
Mheshimiwa rais huku mtaani wananchi wanahoji sera yenu ya Elimu bure iko wapi wakati hata kujenga shule bado mnaenda kukamua pesa za watu walewale mnaosema eti mbataka kuwapa elimu bure? —Mheshiniwa rais, wababchi wanasema kuwa huu ni utani, dharau na kichekesho chenye kutia hasira. Wanasema eti unawakamua pesa bila aibu ili eti uwape elimu bure, elimu bure gani hii?
Ndugu rais, nataka nikwambie kuwa unapoteza sapoti ya wananchinkwa kasi ya kutisha sana kwa sababu ya sera zako hizi za uchumi. Rudi kwenye drawing board au ng'ang'ania muenendo huu wananchi wakose imani na wewe!
Do something, time bado iko upande wako, lakini it is running very fast against you!
Bora Kikwete alijua kubalance mambo, huyu wa sasa haijulikani kama yeye ni baridi au moto!Samia ni Kikwete Part two.Enzi za unanijua mi Nani? Zitarudi kwa kasi
Na hili ndilo tatizo ambalo Watanzania wengi hawataki kuliona.Tatizo letu kubwa ni CCM.
Haya mengine kuzunguka tu.
[emoji21][emoji21][emoji21]Leo kama kawaida yangu, nikaamua kutembea mtaani kusikiliza wananchi wanasemaje kuhusu tozo hizi ulizowawekea wananchi.
Wananchi wanasema miezi yako mitatu ya kwanza uliwapa matumaini makubwa sana kwa hatua zako za kuonyesha hupendi uonevu, ukafungulia watu waliobambikiziwa kesi, ukafungua akaunti za wafanyabiashara kwenye haya mambo wananchi waliyapenda sana.
Ila sasa wanasema kuwa kwa hizi tozo ulizowawekea kwenye maisha yao hausomeki kabisa!
Wanahoji, wanasema mbona Mawaziri wako, makatibu wakuu, wanaburuza migari ya bei kubwa huku wakiwa na allowance ya mafuta kila wiki au mwez halafu unatoka hapo unawapandishia wananchi kodi kwenye mafuta yao, Wanauliza au kwa sababu hivi vitu kwenu ni bure kwa hiyo hamna uchungu, yaani hamjali?
Mama Wananchi huku mtaani wanahoji inakuwaje unapunguxa kodi kwenye pombe lakini unaiongeza kwenye mafuta, wanahoji huu ni uchumi wa wapi?, Wananchi wanasema ina maana unawapa unafuu walevi kuliko wasafiri wanaohitaji kumove around ili kufanya biashara?
Mheshimiwa rais, wananchi wanasema unazurura sana angani, yaani hutulii sehemu moja kufanya kazi, wanasema kila safari yako ni gharama kwao na eti ndiyo maana unawatoza makato makubwa ili kufinance safari zako za kutwa kucha uko angani.
Ndugu rais, wananchi huku kitaa wanasema hausomeki, wanasema hoja zenu za kujenga shule na barabara huko vijijini hazina mashiko wanasema kwa miaka yote 69 mliyokaa madarakani kwa nini hamjajenga hizo shule, kwa nini hamjajenga hizo barabara?
Mheshimiwa rais huku mtaani wananchi wanahoji sera yenu ya Elimu bure iko wapi wakati hata kujenga shule bado mnaenda kukamua pesa za watu walewale mnaosema eti mbataka kuwapa elimu bure? —Mheshiniwa rais, wababchi wanasema kuwa huu ni utani, dharau na kichekesho chenye kutia hasira. Wanasema eti unawakamua pesa bila aibu ili eti uwape elimu bure, elimu bure gani hii?
Ndugu rais, nataka nikwambie kuwa unapoteza sapoti ya wananchinkwa kasi ya kutisha sana kwa sababu ya sera zako hizi za uchumi. Rudi kwenye drawing board au ng'ang'ania muenendo huu wananchi wakose imani na wewe!
Do something, time bado iko upande wako, lakini it is running very fast against you!
Huyu mama hawa wateule wa raisi wa mwenda zake watakuja wamwangushe, ni vile anajipendekeza tu CCM. Ila ilibidi aanze na wake. Wa mwendazake wana style yao ya uongozi ya ubabe uchwara ujue!Mama apunguze kurembua awe serious kidogo hili la tozo sijamwelewa kabisa anatu force tumkumbe jiwe sasa
Inawezekana una hoja,ila hapa umeandika****mtupu.anaosemeka vizuri sana, binadamu hata umfanyie nini haridhiki hasa vnyie generation x,you demand too much zaidi ya mnachoweza kufanya