Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Ukifikiria nje ya BOX, utaacha ku-copy na ku-pest, maana hata hiyo uliosema gang utakuwa uli copy
Sisi tunafikiria humo humo ndani ya box afu tunaweka legacy 👇

IMG_20220514_005734.jpg


Screenshot_20220514-145425.png
 
Mradi wa umeme wa mto Rufiji umeishia wapi?
Umeishia wapi kivipi? Mbona una shida sana wewe? Unaendelea na utekelezaji na umefikia 44% ..

Muwe mnasikiliza updates za hiyo miradi vinarushwa kwenye tv Kila week ,wewe uko Nchi gani?

Hakuna mradi uliosimama, Serikali ya Sasa ina pesa nyingi sana sio kama awamu ile hakuna pesa na chache zilizopagikana ndio zikawa za maonyeshi kwenye hiyo miradi kila siku..

Miradi mingine mipya ya mabilioni inaanza rasmi mwaka huu 👇

Screenshot_20220515-073038.png


Screenshot_20220515-073229.png
 
Hizo pumba kawape nguruwe ndiyo wanastahili au wape wanao kama unao, siyo kuleta hapa JF kwenye watu wana akili ya kuchambua mambo.

Magufuli alikuwa anatupeleka shimoni na nyinyi wajinga msio na elimu mlikuwa mnamshangilia ujinga na uwongo wake. Bila Mungu kuingilia kati hii Tanzania ilikuwa inakwenda ku collapse economically kama Zimbabwe. Rot in Hell Magufuli
January Makamba bwana, hivi kwanini una hasira na Magu wakati wewe hata kufanya kazi huwezi.
 
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Usitusemee Watanzania wote siyo familia yako jisemee wewe mwenyewe
 
Ni vigumu kuamini kwamba miongoni mwa mambo aliyokusudia Rais ni pamoja na kupiga picha na kuweka shada kwenye makaburi huko ghana!

Nchi na dunia nzima kwa sasa inapitia kipindi kigumu kiuchumi kutokana na gharama za kuendesha maisha kuwa juu; kwasababu ya kuongezeka kwa bei ya bidhaa.

Ajabu ni kushuhudia viongozi wa kisiasa hapa nchink kuendelea na ziara za nje ya nchi. Ukweli ni kwamba, wananchi wengi hawaelewi dhamira za viongozi hao!
Screenshot_20220526-095805_1653549248296.jpg
 
Hizi chuki za kisoro dhidi ya Rais wetu ifikie wakati zikomeshwe mara moja. Mama chapa kazi tulio wengi tuko nyuma yako. Na sasa hivi huko Benet na Mbowe mtumie vizuri katika ushauri wa kiuchumi, kijamii na kiasa. Mwamba yuko vizuri sana hatakuangusha.
 
Mmeona vitu vinapanda unga kilo tano ni elfu 8 mchele umefika 2500 huku mmbande vitu vimepanda hadi cream lotiob na tyubu nazo zimepanda,mama samiya kweli umeshindwa kudhibiti mfumuko jee utaweza kutuvusha kipi kingine, umeshindwa kudhibiti mfumuko utaweza nini mama yangu?juuzulu ukalee wajukuu hapo makunduchi, uwezo wa kuongoza talanta hiyo huna shost
 
Heee bibi mfumuko wa bei umekushindwa kuzibiti, utaweza mambo mazito?Nahisi hata maamuzi hufanyi wewe, kiujumla uwezo wa kuongoza huna.Huo ndo ukweli ukubali ukatae, wanaokusifia wakusifiye mimi ni mwanamke mwenzio nakwambia tu bibi we uwezo huo huna!Karama ya kuongoza huna

Umeshindwa mfumuko utaweza jepi jengine, heeee,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ungejiuzulu ulee wajukuu tu kuongoza nchi huwezi
 
Kuna yule ndugu yetu anasemaga #maendeleo hayana chama em njoo umjibu huyu bibie
 
Hata mimi najiuliza hivi wale wanaomsifiaga huwa wanalipwa ama ndio wamo kwenye cycle ya walamba asali.

Ngoja tuone muda utaongea zaidi.
 
Back
Top Bottom