Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.

A leader must have a vision of where she wants her country to be in the the future? Does Samia have a vision for Tanzania? Kuwaambia Wananchi kuwa bei zitaendelea kupanda kiholela [ price gauging] ni kuwahimiza wafanya biashara kuwaumiza wananchi!! Samia anatakiwa awe upande wa wananchi kwa serikali yake kusimamia na kuwaadhibu wafanyabisahara wanaofanya price gauging!
Mfano mzuri ni hawa wauza vifaa vya ujemzi kama nondo na cement; Kuna viwanda vingi vinavyotengeneza nondo nchini hivyo haiwezekani wakauza wote nondo ya 16mm sh. 45,000 isipokuwa tu kama wana CARTEL ! Hivyo serikali haina budi kuingilia kati kulinda wananchi. Kuhusu cement , Twiga cement kiwanda chake kinatumia gesi kutoka kusini katika kuzalisha cement yake hivyo tunategemea kuwa TWIGA cement bidhaa yake iwe na Bei chini zaidi kuliko viwanda vingine vya cement visivyotumia gesi kuzalisha na sio vinginevyo!!
Waziri wa viwanda anatakiwa ndio awe mstali wa mele kuhakikisha kua huu mfumuko wa bei nchini hauchangizwi na wafanya biashara wanaoongeza bei ilikuwaumiza wananchi na sio kwa sababu cost of production yao imepanda!!
 
A leader must have a vision of where she wants her country to be in the the future? Does Samia have a vision for Tanzania? Kuwaambia Wananchi kuwa bei zitaendelea kupanda kiholela [ price gauging] ni kuwahimiza wafanya biashara kuwaumiza wananchi!! Samia anatakiwa awe upande wa wananchi kwa serikali yake kusimamia na kuwaadhibu wafanyabisahara wanaofanya price gauging!
Mfano mzuri ni hawa wauza vifaa vya ujemzi kama nondo na cement; Kuna viwanda vingi vinavyotengeneza nondo nchini hivyo haiwezekani wakauza wote nondo ya 16mm sh. 45,000 isipokuwa tu kama wana CARTEL ! Hivyo serikali haina budi kuingilia kati kulinda wananchi. Kuhusu cement , Twiga cement kiwanda chake kinatumia gesi kutoka kusini katika kuzalisha cement yake hivyo tunategemea kuwa TWIGA cement bidhaa yake iwe na Bei chini zaidi kuliko viwanda vingine vya cement visivyotumia gesi kuzalisha na sio vinginevyo!!
Waziri wa viwanda anatakiwa ndio awe mstali wa mele kuhakikisha kua huu mfumuko wa bei nchini hauchangizwi na wafanya biashara wanaoongeza bei ilikuwaumiza wananchi na sio kwa sababu cost of production yao imepanda!!
Samia yuko serious na anamanisha 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220802-205444 (1).png
    Screenshot_20220802-205444 (1).png
    66.8 KB · Views: 9
  • Screenshot_20220804-092517.png
    Screenshot_20220804-092517.png
    50.3 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220804-140428.png
    Screenshot_20220804-140428.png
    242.8 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220804-135647.png
    Screenshot_20220804-135647.png
    207.4 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220804-135040.png
    Screenshot_20220804-135040.png
    53.7 KB · Views: 7
Samia yuko serious na anamanisha 👇

Sawa yeye na wafanyabiashara akına Rostam wameamua kufanya kilimo ndio njia yao ya upigaji!! The question is how can she have sustainable Agriculture when most of the inputs into agriculture like machinery have to be imported? Agriculture can only be sustainable if you have an industrial sector that produces inputs into Agriculture and an agricultural sector that produces inputs into the industrial sector!! Short of that we have been there before with slogans like" Kilimo bora shambani"; " Kilimo ndio uti wa mgongo wa Tanzania"!!
KUFANYA KOSA SIO KOSA KOSA KURUDIA KOSA.
Dependency is our main enemy, policies should be geared towards removing the country from shackles of western exploitation!
Jifunzeni historia ya nchi; nchi hii huko nyuma ilikuwa na viwanda vya zana za kilimo ! Kulitokea nini mpaka Serikali ikashawishiwa kuviacha mpaka vikafa kama sio mbinu za western countries through the IMF na Work Bank kuweka masharti maguma yanayoletea nchi kukubali na kubaki kuwa tegemezi.!
 
Sawa yeye na wafanyabiashara akına Rostam wameamua kufanya kilimo ndio njia yao ya upigaji!! The question is how can she have sustainable Agriculture when most of the inputs into agriculture like machinery have to be imported? Agriculture can only be sustainable if you have an industrial sector that produces inputs into Agriculture and an agricultural sector that produces inputs into the industrial sector!! Short of that we have been there before with slogans like" Kilimo bora shambani"; " Kilimo ndio uti wa mgongo wa Tanzania"!!
KUFANYA KOSA SIO KOSA KOSA KURUDIA KOSA.
Dependency is our main enemy, policies should be geared towards removing the country from shackles of western exploitation!
Jifunzeni historia ya nchi; nchi hii huko nyuma ilikuwa na viwanda vya zana za kilimo ! Kulitokea nini mpaka Serikali ikashawishiwa kuviacha mpaka vikafa kama sio mbinu za western countries through the IMF na Work Bank kuweka masharti maguma yanayoletea nchi kukubali na kubaki kuwa tegemezi.!
Siwezi kumjibu mtu aliye biased,kwamba kwa kuwa Tanzania hatuzalishi diesel au petrol hivyo hatuwezi kuendesha Uchumi wa Nchi ukakua au?

Una ujinga mwingi kichwani 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220804-140428.png
    Screenshot_20220804-140428.png
    242.8 KB · Views: 9
  • Screenshot_20220804-135040.png
    Screenshot_20220804-135040.png
    53.7 KB · Views: 9
  • Screenshot_20220801-142444.png
    Screenshot_20220801-142444.png
    169.7 KB · Views: 9
Siwezi kumjibu mtu aliye biased,kwamba kwa kuwa Tanzania hatuzalishi diesel au petrol hivyo hatuwezi kuendesha Uchumi wa Nchi ukakua au?

Una ujinga mwingi kichwani 👇

Umekaa IkULU kwa bahati ndio maana kazi yako kusifia TU wewe mbwiga! Mnakula fedha zetu bure lakini hamuyajui matatizo ya nchi ! Sasa haya mashamba ya waturuki ambao wanafanya hiyo irrgation na baadae kusafirisha mazao yao kwao na kuficha forex huko kwao nyie mnafaidika nini? Hao maboi wanaowaajiri kama vibarua?
Wewe umejazwa ujinga na waamerika huko Massachusets halafu unadhani umepewa akili kumbe sumu kuja kuua nchi yako!! You are a comprador!
 
Umekaa IkULU kwa basait ndio maana kazi yako kusifia TU wewe mbwiga! Mnakula fedha zetu bure lakini hamujajui matatizo ya nchi ! Sasa haya mashamba ya waturuki ambao wanafanya hiyo irrgation na baadae kusafirisha mazao yao kwao na kuficha forex huko kwao nyie mnafaidika nini? Hao maboi wanaowaajiri kama vibarua?
Wewe umejazwa ujinga na waamerika huko Massachusets halafu unadhani umepewa akili kumbe sumu kuja kuua nchi yako!! You are a comprador!
Umejaza ujinga kichwani,hujui hata kwamba hatua moja inaanzisha nyingine..

Kwa hiyo hatufaidiki si ndio? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220719-153552.png
    Screenshot_20220719-153552.png
    165.2 KB · Views: 7
Umejaza ujinga kichwani,hujui hata kwamba hatua moja inaanzisha nyingine..

Kwa hiyo hatufaidiki si ndio? 👇
Wewe mbwiga suala sio kufaidika !! Suala ni wewe unafaidika kiasi gani kutokana na contribution yako na huyo mwenzio anafaidika kwa kiasi gani compared na wewe!! Nyie ndio mnatia hasara nchi kwa kushabikia mikataba ya kishenzi inayotia hasara nchi!!!
 
Wewe mbwiga suala sio kufaidika !! Suala ni wewe unafaidika kiasi gani kutokana na contribution yako na huyo mwenzio anafaidika kwa kiasi gani compared na wewe!! Nyie ndio mnatia hasara nchi kwa kushabikia mikataba ya kishenzi inayotia hasara nchi!!!
Kenge wewe,kufaidika kiasi gani kunaanza na msingi wa faida ya awali ndio unaenda Huko..

Hakuna maendeleo ya overnight fala wewe..Hatua moja inaanzisha nyingine.
 
Kenge wewe,kufaidika kiasi gani kunaanza na msingi wa faida ya awali ndio unaenda Huko..

Hakuna maendeleo ya overnight fala wewe..Hatua moja inaanzisha nyingine.
Wewe mbwiga faida ya awali inatoka wapi wakati ndio unaanza mradi? You have a terrible conception about development projects! Maendeleo kweli hayaji overnight but they depend on how rightly you start!! If you start on the wrong footing , you will ultimately end wrongly!
 
Kwakweli tulipoteza mtu wa maana sana katika taifa letu, 2025 kuna haja ya CCM kufanya maamuzi magumu, tunahitaji mtu kama JPM Nasema Uongo Ndugu Zangu?

Rais gani unakesha kukimbizana na masikini kupitia tozo za hovyo hovyo? Umeshundwa kudhibiti mfumuko wa bei, unafanya nini sasa?
Ukweli mchungu kwake na Kwa mashabiki wake
 
Kwakweli tulipoteza mtu wa maana sana katika taifa letu, 2025 kuna haja ya CCM kufanya maamuzi magumu, tunahitaji mtu kama JPM Nasema Uongo Ndugu Zangu?

Rais gani unakesha kukimbizana na masikini kupitia tozo za hovyo hovyo? Umeshundwa kudhibiti mfumuko wa bei, unafanya nini sasa?
1. Kwa nini CCM wamlete mtu kama Magufuli ?

2. Kwani CCM ndio ina dhamana pekee ya kuleta Rais wa Tanzania ?
 
Back
Top Bottom