kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Mfikishieni taarifa huyo mama yenu kuwa tozo ndo inaenda kuwa anguko lake la milele hakuna atakayekubali kumpa kura yake au kumuunga mkono labda huyo mtu awe kichaa au ukiute hayapo tayari
Sikuwahi kuwaza yupo hivi, ni Rais asiyesikia anayeongozwa ongozwa tu ambaye haeleweki
Anajuwa kabisa kuwa asilimia 98 ya watanzania hawataki tozo ukiachana na hiyo asilimia 2% ya machawa wake na vikundi vya mapambio vinavyolipwa kutetea tozo
Lakini bado hajali, huyu mama ana kiburi sana, anafahamu fika kuwa hizi tozo zinawaumiza watanganyika sana sana, lakini hajali maana waumiao sio wenziwe.
Ule wembe tulomnyolea mtangulizi wake tutaendelea kumnyoa akiendelea na hii kiburi yake, ni kichaa tu anayeweza kuunga mkono tozo, itampasa Mwanaume kuwa kama "chachi" ndo aunge mkono tozo maana ni jambo ambalo haliungiki mkono
Ndipo nagunduwa ana kiburi sana huyu mama ukimuona nje na muonekano wake wa rohoni ni tofauti kabisa, hana sifa za kuwa kiongozi, huyu bibi hatufai kabisa.
Lakini nakwambieni huyo mama yenu asifikiri tutamchekea, tutaendelea kumkomalia hadi hii jeuri,ngendembwe, tambo na kiburi chake kimkwishe.
Sikuwahi kuwaza yupo hivi, ni Rais asiyesikia anayeongozwa ongozwa tu ambaye haeleweki
Anajuwa kabisa kuwa asilimia 98 ya watanzania hawataki tozo ukiachana na hiyo asilimia 2% ya machawa wake na vikundi vya mapambio vinavyolipwa kutetea tozo
Lakini bado hajali, huyu mama ana kiburi sana, anafahamu fika kuwa hizi tozo zinawaumiza watanganyika sana sana, lakini hajali maana waumiao sio wenziwe.
Ule wembe tulomnyolea mtangulizi wake tutaendelea kumnyoa akiendelea na hii kiburi yake, ni kichaa tu anayeweza kuunga mkono tozo, itampasa Mwanaume kuwa kama "chachi" ndo aunge mkono tozo maana ni jambo ambalo haliungiki mkono
Ndipo nagunduwa ana kiburi sana huyu mama ukimuona nje na muonekano wake wa rohoni ni tofauti kabisa, hana sifa za kuwa kiongozi, huyu bibi hatufai kabisa.
Lakini nakwambieni huyo mama yenu asifikiri tutamchekea, tutaendelea kumkomalia hadi hii jeuri,ngendembwe, tambo na kiburi chake kimkwishe.