Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama anaupiga mwingi Mitano tena
Majibu yako hayawezi batilisha kilicho andikwa.Nakuja kukujibu huo ujinga wako
Ni kweli, rais anayeuweza urais ni yule anayekuwa na vikundi vya kuteka wasiomsujudia.Ifike muda tuambizane ukweli hata kama hatupo tayari kwa hilo.
Samia Urais hauwezi na sio Urais hata uwaziri na cheo cha kuongoza watu kwake ni mzigo mzito.
Kama atapata bahati ya kusoma huu ujumbe au kufikishiwa huu ujumbe atambue fika kuwa Urais kwake ni zigo zito.
Sio kila mtu anaweza kuwa kiongozi wa umma, siongei haya kwa sababu ya chuki yoyote bali kwa mengi nayo fahamu kuhusu viongozi wa taifa namna wanavyopaswa kuwa.
Taifa letu sasa lilipo fika sio taifa la majaribio tena limekwisha kua lina umri mkubwa halina uchanga wowote tena ni vyema viongozi wachaguliwao wakaenenda na ukubwa wa taifa letu.
Kwa wale watakaoweza kumuambia ukweli wamwambie nafasi aliyonayo ni kubwa kwake pasipo kujali maneno ya wanafiki wanaompamba.
Kwa mataifa yaliyo makini Samia alipaswa aziishi ndoto zake za kuwa muhudumu wa ndege basi ila kwenye uongozi hapana anapwaya sana.
Ni vyema ukweli kutamkwa.
Urais sio cheo cha watekaji na wauwaji hao wanastahili vyeo vya magenge ya kihalifu kama huko HaitiNi kweli, rais anayeuweza urais ni yule anayekuwa na vikundi vya kuteka wasiomsujudia.
Asante kwa kutenga muda wako kusoma.Rubbish threads!
JamiiforumsHuu uharo umeuandika ukiwa umekaa wapi
Usi laumuIfike muda tuambizane ukweli hata kama hatupo tayari kwa hilo.
Samia Urais hauwezi na sio Urais hata uwaziri na cheo cha kuongoza watu kwake ni mzigo mzito.
Kama atapata bahati ya kusoma huu ujumbe au kufikishiwa huu ujumbe atambue fika kuwa Urais kwake ni zigo zito.
Sio kila mtu anaweza kuwa kiongozi wa umma, siongei haya kwa sababu ya chuki yoyote bali kwa mengi nayo fahamu kuhusu viongozi wa taifa namna wanavyopaswa kuwa.
Taifa letu sasa lilipo fika sio taifa la majaribio tena limekwisha kua lina umri mkubwa halina uchanga wowote tena ni vyema viongozi wachaguliwao wakaenenda na ukubwa wa taifa letu.
Kwa wale watakaoweza kumuambia ukweli wamwambie nafasi aliyonayo ni kubwa kwake pasipo kujali maneno ya wanafiki wanaompamba.
Kwa mataifa yaliyo makini Samia alipaswa aziishi ndoto zake za kuwa muhudumu wa ndege basi ila kwenye uongozi hapana anapwaya sana.
Ni vyema ukweli kutamkwa.
Bali yatabatilishwa na Upumbavu uliopo kichwani mwako!Majibu yako hayawezi batilisha kilicho andikwa.
Ni kweli, rais anayeuweza urais ni yule anayekuwa na vikundi vya kuteka wasiomsujudia.
Sijalaumu ila nimeeleza ukweli ambao kama akiupata itamsaidiaUsi laumu
Juzi kasem alitamani kiwa air hostess.
Na ndilo zilipo ndoto zake.
Na ukiangalia anavyo safiri ni kwamba N timiza ndoto zaks.
Asante kwa kuzidi kutenga muda wako katika huu uziBali yatabatilishwa na Upumbavu uliopo kichwani mwako!
Wewe una chuki zako tu. Rais Samia anaenda vizuri tu. Ikumbukwe hakuwa amejiandaa lakini amejitahidi kwa kiwango kikubwa. Kama huwa anapitia threads za JF namshauri awapuuze wapuuzi Kama nyie. Go Samia go! Watanzania tunaojitambua tuko pamoja na wewe!!Ifike muda tuambizane ukweli hata kama hatupo tayari kwa hilo.
Samia Urais hauwezi na sio Urais hata uwaziri na cheo cha kuongoza watu kwake ni mzigo mzito.
Kama atapata bahati ya kusoma huu ujumbe au kufikishiwa huu ujumbe atambue fika kuwa Urais kwake ni zigo zito.
Sio kila mtu anaweza kuwa kiongozi wa umma, siongei haya kwa sababu ya chuki yoyote bali kwa mengi nayo fahamu kuhusu viongozi wa taifa namna wanavyopaswa kuwa.
Taifa letu sasa lilipo fika sio taifa la majaribio tena limekwisha kua lina umri mkubwa halina uchanga wowote tena ni vyema viongozi wachaguliwao wakaenenda na ukubwa wa taifa letu.
Kwa wale watakaoweza kumuambia ukweli wamwambie nafasi aliyonayo ni kubwa kwake pasipo kujali maneno ya wanafiki wanaompamba.
Kwa mataifa yaliyo makini Samia alipaswa aziishi ndoto zake za kuwa muhudumu wa ndege basi ila kwenye uongozi hapana anapwaya sana.
Ni vyema ukweli kutamkwa.
Hilo ni kweli hasta Kuta za siri za Taifa hili zinanong'ona kama una masikio unazisikia kabisa!!Ifike muda tuambizane ukweli hata kama hatupo tayari kwa hilo.
Samia Urais hauwezi na sio Urais hata uwaziri na cheo cha kuongoza watu kwake ni mzigo mzito.
Kama atapata bahati ya kusoma huu ujumbe au kufikishiwa huu ujumbe atambue fika kuwa Urais kwake ni zigo zito.
Sio kila mtu anaweza kuwa kiongozi wa umma, siongei haya kwa sababu ya chuki yoyote bali kwa mengi nayo fahamu kuhusu viongozi wa taifa namna wanavyopaswa kuwa.
Taifa letu sasa lilipo fika sio taifa la majaribio tena limekwisha kua lina umri mkubwa halina uchanga wowote tena ni vyema viongozi wachaguliwao wakaenenda na ukubwa wa taifa letu.
Kwa wale watakaoweza kumuambia ukweli wamwambie nafasi aliyonayo ni kubwa kwake pasipo kujali maneno ya wanafiki wanaompamba.
Kwa mataifa yaliyo makini Samia alipaswa aziishi ndoto zake za kuwa muhudumu wa ndege basi ila kwenye uongozi hapana anapwaya sana.
Ni vyema ukweli kutamkwa.
Sina chuki nae hata kidogo na wala sitaki kumpamba kwa unafiki kwa kitu hasichoweza hata kidogo nitakuwa nawakosea Watanzania zaidi ya miln 61Wewe una chuki zako tu. Rais Samia anaenda vizuri tu. Ikumbukwe hakuwa amejiandaa lakini amejitahidi kwa kiwango kikubwa. Kama huwa anapitia threads za JF namshauri awapuuze wapuuzi Kama nyie. Go Samia go! Watanzania tunaojitambua tuko pamoja na wewe!!
Ni vyema kusema ukweliHilo ni kweli hasta Kuta za siri za Taifa hili zinanong'ona kama una masikio unazisikia kabisa!!
Ni vile uchawa umefanywa kama ajira!lakini miti,mawe,mchanga,maji na nature vimegoma kabisa kama marehem jpm vilivyomgomea hadi akaanza kusema wakati was kampeni kwamba "Mzee mwinyi mlimpa awamu mbili,Mzee mkapa mkampa awamu mbili,na kiwete mkampa awamu mbili,Sasa kwanini mimi mnataka kunipa awamu moja"!!!?
Alisema hivyo wakati anauhakika was kushinda lakini nature ilikua inamwambia Mzee wewe ni WA awamu moja lakini hakusikia!!
RIP mzalendo wetu