Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Hili povu jamani duh!Mkuu pia kumbuka wanajeshi wengi wa Tz ni standard 7 na form 4 failure hivyo ujue kiwango chao cha ujinga ni kikubwa-kumbuka unapofanya argument na MTU mjinga ufahamu madhara yake na maamuzi yake.nenda nae polepole huwa wachelewi kujitoa mhanga wote mkose.
Most if them they are stupid in nature.
Hayo mambo ya kutokusoma yalikuwa zamani.Asante sana mkuu nimepata point ya pili.
Point ya KWANZA : ni vicheche
Point ya pili: they are illiterate.
I am still doing intelligence gathering
Vip unatak apasuke huyo mwanajesh?Kwa mwenye uzoefu na hawa wanajeshi wa kibongo tafadhali afunguke.
Description:
~ Huyo mjeda ni mtu mzima above forty.
~ Ana mke na watoto.
Huyo nyumba ndogo yangu ni mke wangu wa pili halali wa ndoa, anaishi mtaa tofauti na mke mkubwa. Nilimfungulia biashara so huyo mjeda kakutana naye kwenye biashara. Jamaa anatumia vi ration vyake kusumbua familia za watu.
Kwa uzoefu wangu wanajeshi wa kibongo huwaga nawaona watu wa kawaida sana (kihela), so kwa mtu anae wajua hawa jamaa au ambae amewahi kugombania mwanamke/demu na hawa jamaa anipe uzoefu wake please.
ππππFala kweli utamponza mwenzioUkimgonga mkewe na mwanaye wa kike ukakamavu wote utaisha, utasikia msiba mwanajeshi ajitwanga risasi kisa mapenzi.
[emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji28]...maku kweli huyo jamaa hahahaNimepata point ya nne hapa....kukinukisha na kumpaka mtu vaseline am still gathering intelligence information [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unyama sana mwaisa πTumia taktiki ya kiraia kuwithidroo kisha unateki kava.
πππ eti anakusanya dataWe nae bishoo tu...yaan unatombe.wa my wife wako, badala ukinukishe eti uko hapa
ooh nimepata point tatu, sijui validation...bonge la nyangema yaaan[emoji848]
Kampake mtu Vaseline huko, thats how masculine react
ππππaiseeNimepata point ya nne hapa....kukinukisha na kumpaka mtu vaseline am still gathering intelligence information π€£π€£π€£π€£
Itakua wanazungumzia Combatants wa Afande msuguriHayo mambo ya kutokusoma yalikuwa zamani.
Watu siku hizi wanakula shule kuliko maelezo.
Tofautisha zama kabla halijakukuta dhahama.
Kisa watu wachache wanaofanya generalization.
N.B Kuna wasomi wa elimu ya kawaida na Kuna wasomi wa shahada mbali mbali na Kuna wasomi wa military science.
Haya Sasa nenda kayakanyage Karim Mandonga
Mutu ya intelinjensia πππ[emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji28]...maku kweli huyo jamaa hahaha
Wana Honga SanaNope this is not my mode operandi.
Mimi nataka kujua behavior ya wajeda kwenye mahusiano. What do they do ? Wanahonga sana ? Au ? I just want to know this ili nijue natumia mbinu GANI kuicontain hiyo threat.
Nipo jasiriUna ukilaza mwingi sana, katika vitu sipendi ni mwanaume muoga km wewe
Mtu anayekutafunia mke wako wala usimuogope.Kwa mwenye uzoefu na hawa wanajeshi wa kibongo tafadhali afunguke.
Description:
~ Huyo mjeda ni mtu mzima above forty.
~ Ana mke na watoto.
Huyo nyumba ndogo yangu ni mke wangu wa pili halali wa ndoa, anaishi mtaa tofauti na mke mkubwa. Nilimfungulia biashara so huyo mjeda kakutana naye kwenye biashara. Jamaa anatumia vi ration vyake kusumbua familia za watu.
Kwa uzoefu wangu wanajeshi wa kibongo huwaga nawaona watu wa kawaida sana (kihela), so kwa mtu anae wajua hawa jamaa au ambae amewahi kugombania mwanamke/demu na hawa jamaa anipe uzoefu wake please.