Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga

Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga

Miaka 19 ni mtu mzima. Kabla ya kufunga ndoa huwa unaulizwa pale mbele ya watu wote kama amekubali. Kwanini asikatae? Narudia tena mtu akiamua kutenda dhambi, visingizio havikosekani. Ndoa za kikristo huwa hazivunjiki, labda mmoja wapo, Kati ya wana ndoa, azini🤔

Angekuwa mtu mzima asingelazimishwa kuolewa.
Sio Christina tuu wapo wanawake wengi wenye umri zaidi hata ya 20 ambao wanaolewa ndoa za kulazimishwa kwa nguvu ya wazazi.

Hakuna ndoa isiyovunjika mkuu. Acha propaganda.
Alafu elewa kuwa Wakristo hawana sheria za ndoa.
Sheria inayotumika ni sheria ya nchi na sheria ya kiislamu.

Sema mafundisho ya Kanisani ndio husema Ndoa ya kikristo haivunjiki lakini hakuna sheria ya namna hiyo
 
ANAYOFANYA CHRISTINA SHUSHO NI MATOKEO YA WANAUME WENGI KUOA WANAWAKE WATUMWA "WASIOHURU. SIKU WAKIPATA UHURU WAO HAYO NDIO HUTOKEAGA.

Anaandika Robert Heriel
Mtibeli

Huwezi mfanya Mwanamke mtumwa alafu ukamuita Mkeo.
Unajua Watu wengi wamechukua wanawake na kuwageuza watumwa wa kingono na vijakazi wao alafu hujinasibu kuwa Wameoa. Hakuna ndoa ya hivyo. Sema umemnunua Mwanamke na kumgeuza mtumwa wa ngôno na kijakazi wako hapo sisi Watibeli tutakuelewa.

Mfano, kwenye ndoa hakunaga ndoa ya Wake wengi. Ila kwenye utumwa wanaume huruhusiwa kuchukua wanawake watumwa wengi na kuwaita Wake zao ilhali sio kweli na sio Haki.

Kama ilivyo kwa sisi wanaume tusivyoweza kukubali kuwa na Mwanamke mwenye mahusiano na wanaume wawili. Ndivyo hivyohivyo kwa wanawake.

Wanaume wengi hupenda kuishi na Wanawake watumwa kuliko kuoa Mke. Sio ajabu wanaume wengi hujiamini na kutaka Mwanamke mwenye kipato duni au asiyefanya kazi, na wengi huenda mbali kwa kuchukua vibinti vidogo ili wavitumikishe kitumwa.

Kimantiki huwezi pata kitu kinachoitwa heshima kwa mtumwa. Mtumwa hawezi kukupa heshima. Heshima hutolewa na Watu Huru.
Kupewa heshima na mtu asiyehuru au mtumwa huitwa nidhamu ya woga, unafiki na ulaghai.

Kuoa Mwanamke mdogo kiumri ambaye hana maamuzi sio tuu ukatili bali pia ni dhulma ambayo baadaye lazima iligharimu.

Mimi kama Mtibeli halisi nasema, hasa kwa vijana. Ikiwa unahitaji kuishi na mwanaume ambaye utamuita mke basi yakupasa ûtafute mwanamke aliyehuru.
Namaanisha huru kiakili, kihisia, kimwili na kiroho.

Christina Shusho NI kielelezo cha wanawake wengi walioolewa pasipo uhuru wao kuheshimiwa na kuthaminiwa.

Nilieleza pia, Mke hatolewi Mahari. Ila watumwa hutolewa mahari.
Mwanamke aliyehuru hawezi kukubali kutolewa mahari kwa sababu mahari msingi wake mkuu ni kumdunisha Mwanamke na kumdhalilisha ingawaje kwa umbo la nje waliolianzisha walilifanya kama kumheshimisha.

Mwanaume ni bora ikiwa atajua kusimamia Haki. Na Mwanamke atakuwa bora kama mwanaume ikiwa atajua haki zake na nani wa kuzisimamia.

Usioe Mwanamke asiyehuru(tegemezi) na kama utamuoa basi hakikisha unampatia uhuru wake. Ajitegemee.

Usimuozeshe binti yako kama bado hayupo huru. Huko ni kumkosea binti yako.

Usioe Mwanamke asiyefanyakazi, na kama umemuoa akiwa hana kazi basi hakikisha unampa kazi au anasimamia kazi na miradi ya familia. Nazungumzia kazi za kuzalisha kipato sio kazi za nyumbani. Kazi za nyumbani zitafanywa na mtu yeyote au machine. Baba au mume uwe kiongozi alafu mke au mama awe msaidizi. Hiyo ndio tafsiri ya ndoa kama hamtaki iwe ndoani.

Usioe Mwanamke ambaye hakupendi(moyo wake haupo huru na wewe). Atakusumbua na wewe utamsumbua.

Usimlazimishe Mwanamke kuwa na wewe hata kama mmeishi miaka mingi.
Usiingilie uhuru wa mtu mwingine wa kuchagua na kuutendea mwili wake. Kama ameku-cheat na anataka mwanaume mwingine muache aende.

Elewa, Mwanamke aliyehuru hadanganywi ila anafanya kwa Makusudi.
Ila watumwa hudanganywa kwa sababu wapo kwenye harakati za kutafuta uhuru wao.

Usioe mwanamke asiyeweza kujitunza mwenyewe, wala kujitafutia kipato. Huyo sio mke, huyo ni mtumwa.

Mke mchapakazi haimaanishi kazi za nyumbani pekee bali kazi za uzalishaji mali. Hata siku usipokuwepo unajua kabisa ile ndoto ya familia uitakayo itatimizwa na mkeo. Na sio ukifa basi watoto wako ndio habari imeisha.

Oa Mwanamke anayejua Haki zake kwani mtu kujua haki zake ni tafsiri ya kujua haki zako pia.
Mtu asiyejua haki zake hawezi kujua haki zako.

Elewa, mwanamke anayekubali kuonewa jua naye kuna sehemu ànakuonea au upo wakati unaokuja atakuonea tuu. Kwa sababu hiyo ni HAKI.

Ukijiona wewe ni mwanaume na unathamani kwenye ndoa kuliko Mwanamke elewa hata mwanamke atajiona anathamani kuliko wewe. Haitakuwa ndoa bali ndoano full kuumizana.
Lakini ukijitoa kwa mwenzako naye atajitoa. Ukimtañguliza mwenzako naye atakutanguliza.

Heshima yako kama mwanaume haipo kwa kumfanya Mwanamke mtumwa wako. Ila ipo kwa kumfanya Mwanamke kuwa Mtu na kulinda utu wake.
Yale yote unayotaka kufanyiwa basi mfanyie mwenzako. Na yale yote isiyotaka kufanyiwa basi usimfanyie mwenzako.

Kuwa mwanaume sio tafsiri ya tiketi ya kufanya dhulma na uhalifu wa kijinsia kwa Mwanamke.
Kama nilivyoandikaga, kuwa mzazi sio kigezo cha kufanya dhulma kwa watoto wako kisa uliwazaa.

Ni ruhusa na Haki yako kumuacha(kutoa talaka) Mwanamke ambaye ulimpenda, na ukafanya kila jitihada na kuheshimu na kulinda ûtu na hadhi yake na yako lakini ikashindikana. Vivyohivyo kwa Mwanamke.

Ni yule Mtibeli kutoka nyota ya Tibeli.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Kahama, Shinyanga.
Umeoa? Tuanzie hapo kwanza.
 
Bas imani yako na uelewa wako juu ya neno la MUNGU ni mdogo sana you need more teachings coz kwa hii thread yako definately you are AGAINST GOD.

Kwa ushauri tu soma sana neno na Mungu na ulielewe vizuri hasa unapozungumzia issue za ndoa ambazo zipo very sensitive na zinahitaji IMANI ya kumjua MUNGU vizuri.

Na pia just to remind you MUNGU hana CLASS za flani ataolewa flani yeye ndiye anayepanga HUMPANGII ndo maana biblia inasema MKE MWEMA ANATOKA KWA BWANA sio kwa utashi wako na wengi wanaotumia UTASHI ndo mnakuja kutusumbua humu na kauli mbiu zenu za KATAA NDOA ni hayo tu.
 
Zamani wakati naandika mada ulizoziona nazielewa unafikiri nani alinipa ushauri wa kuandika? Hizo mada unazoziona nazielewa kuna wengine waliandika kama wewe kuwa sizielewi hivyo huo ni mtazamo wako ambao ninauheshimu kwa sababu ni mali iliyotoka katika kichwa chako. Na wala siwezi kukuambia wala kukushauri kuwa usinipe ushauri wa jambo hilo wakati similiki uelewa na maoni yako.


Kufikisha miaka 18 sio kigezo tosha cha mwanamke kuolewa. Mtu anaweza kuwa na miaka 25 na bado anakasema aliolewa akiwa mtoto ikiwa tuu wazazi walimshinikiza aolewe. Ndoa za utotoni inaweza kuwa kiumri au kwa shinikizo la wazazi kwa sababu kimila mtoto kwa mzazi hakui


Hakuamua kwa Mujibu wa maelezo yake ila aliamuliwa. Hivyo sio hiyari yake.


Ibrahim alipata mke ambaye walipendana
Na Sara aliolewa kwa hiyari yake.
Kibiblia, wazazi walikuwa wakiuliza mabinti zao "je umempenda kijana huyu/yule" ndipo wanaolewa.

Ukristo haupo hivyo unavyousema
Huhitaji akilili kubwa kuelewa huyu MTU ameandika kitu anachokielewa na huyu ameandika kitu ambacho Hana uelewa nacho amendikia ushabiki tu
Pia ushauri sio maagizo

Hao waliopitisha hiyo Sheria na huo utaratibu wa miaka 18 hawakuweka tu Kama unavyoamua kujiandikia tu
Huo ni umri ambao MTU anaweza kufanya maamuzi yake mwenye

Kisheria ndoa hatangazwa siku 21 ,
Na ndoa za kikiristo Zina taratibu nyingi sio kitendo Cha siku moja
Huo muda wote huyo dada alikuwa na nafasi ya kufanya maamuzi yake mwenyewe

Inaonyesha alikuwa na tamaa zake binafsi kwa huyo mume wake akamua kuishi naye kinafiki kwa miaka yote ambao baada ya kuzipata anaona Hana maana Tena kwake

Na ukishaolewa kikiristo Hana utaratibu wa kuachana kwa sababu ya HUDUMA au wito
Wito na HUDUMA ya kwanza kwa mwanamke ni ndoa yake labda aamue kutokuolewa

Sara aliishi na mume wake Kama bwana wake na Sara alikuwa akimtii

Katafute maana ya mwanaume kuwa bwana kwa mke wake
Uone tofauti iliyopo
Pia kikiristo anayependa ni mwanaume sio mwanamke
Mwanamke anaamriwa na biblia kumtii mume wake

Siku nyingine ongee mada unazoziwezaa mkuu
Usitafute ushabiki wa Mfumo mpya wa kutaka kumweka mwanamke nafasi moja na mwanaume
 
Bas imani yako na uelewa wako juu ya neno la MUNGU ni mdogo sana you need more teachings coz kwa hii thread yako definately you are AGAINST GOD.

Ñeno la Mungu ni lipi?
Kwa ushauri tu soma sana neno na Mungu na ulielewe vizuri hasa unapozungumzia issue za ndoa ambazo zipo very sensitive na zinahitaji IMANI ya kumjua MUNGU vizuri.
Neno la Mungu ni lipi?
Na pia just to remind you MUNGU hana CLASS za flani ataolewa flani yeye ndiye anayepanga HUMPANGII ndo maana biblia inasema MKE MWEMA ANATOKA KWA BWANA sio kwa utashi wako na wengi wanaotumia UTASHI ndo mnakuja kutusumbua humu na kauli mbiu zenu za KATAA NDOA ni hayo tu.
Mungu ndiye aliyeweka Class, kisha akasema Watu waoane kwa kufanana(kwa classes).
 
ANAYOFANYA CHRISTINA SHUSHO NI MATOKEO YA WANAUME WENGI KUOA WANAWAKE WATUMWA "WASIOHURU. SIKU WAKIPATA UHURU WAO HAYO NDIO HUTOKEAGA.

Anaandika Robert Heriel
Mtibeli

Huwezi mfanya Mwanamke mtumwa alafu ukamuita Mkeo.
Unajua Watu wengi wamechukua wanawake na kuwageuza watumwa wa kingono na vijakazi wao alafu hujinasibu kuwa Wameoa. Hakuna ndoa ya hivyo. Sema umemnunua Mwanamke na kumgeuza mtumwa wa ngôno na kijakazi wako hapo sisi Watibeli tutakuelewa.

Mfano, kwenye ndoa hakunaga ndoa ya Wake wengi. Ila kwenye utumwa wanaume huruhusiwa kuchukua wanawake watumwa wengi na kuwaita Wake zao ilhali sio kweli na sio Haki.

Kama ilivyo kwa sisi wanaume tusivyoweza kukubali kuwa na Mwanamke mwenye mahusiano na wanaume wawili. Ndivyo hivyohivyo kwa wanawake.

Wanaume wengi hupenda kuishi na Wanawake watumwa kuliko kuoa Mke. Sio ajabu wanaume wengi hujiamini na kutaka Mwanamke mwenye kipato duni au asiyefanya kazi, na wengi huenda mbali kwa kuchukua vibinti vidogo ili wavitumikishe kitumwa.

Kimantiki huwezi pata kitu kinachoitwa heshima kwa mtumwa. Mtumwa hawezi kukupa heshima. Heshima hutolewa na Watu Huru.
Kupewa heshima na mtu asiyehuru au mtumwa huitwa nidhamu ya woga, unafiki na ulaghai.

Kuoa Mwanamke mdogo kiumri ambaye hana maamuzi sio tuu ukatili bali pia ni dhulma ambayo baadaye lazima iligharimu.

Mimi kama Mtibeli halisi nasema, hasa kwa vijana. Ikiwa unahitaji kuishi na mwanaume ambaye utamuita mke basi yakupasa ûtafute mwanamke aliyehuru.
Namaanisha huru kiakili, kihisia, kimwili na kiroho.

Christina Shusho NI kielelezo cha wanawake wengi walioolewa pasipo uhuru wao kuheshimiwa na kuthaminiwa.

Nilieleza pia, Mke hatolewi Mahari. Ila watumwa hutolewa mahari.
Mwanamke aliyehuru hawezi kukubali kutolewa mahari kwa sababu mahari msingi wake mkuu ni kumdunisha Mwanamke na kumdhalilisha ingawaje kwa umbo la nje waliolianzisha walilifanya kama kumheshimisha.

Mwanaume ni bora ikiwa atajua kusimamia Haki. Na Mwanamke atakuwa bora kama mwanaume ikiwa atajua haki zake na nani wa kuzisimamia.

Usioe Mwanamke asiyehuru(tegemezi) na kama utamuoa basi hakikisha unampatia uhuru wake. Ajitegemee.

Usimuozeshe binti yako kama bado hayupo huru. Huko ni kumkosea binti yako.

Usioe Mwanamke asiyefanyakazi, na kama umemuoa akiwa hana kazi basi hakikisha unampa kazi au anasimamia kazi na miradi ya familia. Nazungumzia kazi za kuzalisha kipato sio kazi za nyumbani. Kazi za nyumbani zitafanywa na mtu yeyote au machine. Baba au mume uwe kiongozi alafu mke au mama awe msaidizi. Hiyo ndio tafsiri ya ndoa kama hamtaki iwe ndoani.

Usioe Mwanamke ambaye hakupendi(moyo wake haupo huru na wewe). Atakusumbua na wewe utamsumbua.

Usimlazimishe Mwanamke kuwa na wewe hata kama mmeishi miaka mingi.
Usiingilie uhuru wa mtu mwingine wa kuchagua na kuutendea mwili wake. Kama ameku-cheat na anataka mwanaume mwingine muache aende.

Elewa, Mwanamke aliyehuru hadanganywi ila anafanya kwa Makusudi.
Ila watumwa hudanganywa kwa sababu wapo kwenye harakati za kutafuta uhuru wao.

Usioe mwanamke asiyeweza kujitunza mwenyewe, wala kujitafutia kipato. Huyo sio mke, huyo ni mtumwa.

Mke mchapakazi haimaanishi kazi za nyumbani pekee bali kazi za uzalishaji mali. Hata siku usipokuwepo unajua kabisa ile ndoto ya familia uitakayo itatimizwa na mkeo. Na sio ukifa basi watoto wako ndio habari imeisha.

Oa Mwanamke anayejua Haki zake kwani mtu kujua haki zake ni tafsiri ya kujua haki zako pia.
Mtu asiyejua haki zake hawezi kujua haki zako.

Elewa, mwanamke anayekubali kuonewa jua naye kuna sehemu ànakuonea au upo wakati unaokuja atakuonea tuu. Kwa sababu hiyo ni HAKI.

Ukijiona wewe ni mwanaume na unathamani kwenye ndoa kuliko Mwanamke elewa hata mwanamke atajiona anathamani kuliko wewe. Haitakuwa ndoa bali ndoano full kuumizana.
Lakini ukijitoa kwa mwenzako naye atajitoa. Ukimtañguliza mwenzako naye atakutanguliza.

Heshima yako kama mwanaume haipo kwa kumfanya Mwanamke mtumwa wako. Ila ipo kwa kumfanya Mwanamke kuwa Mtu na kulinda utu wake.
Yale yote unayotaka kufanyiwa basi mfanyie mwenzako. Na yale yote isiyotaka kufanyiwa basi usimfanyie mwenzako.

Kuwa mwanaume sio tafsiri ya tiketi ya kufanya dhulma na uhalifu wa kijinsia kwa Mwanamke.
Kama nilivyoandikaga, kuwa mzazi sio kigezo cha kufanya dhulma kwa watoto wako kisa uliwazaa.

Ni ruhusa na Haki yako kumuacha(kutoa talaka) Mwanamke ambaye ulimpenda, na ukafanya kila jitihada na kuheshimu na kulinda ûtu na hadhi yake na yako lakini ikashindikana. Vivyohivyo kwa Mwanamke.

Ni yule Mtibeli kutoka nyota ya Tibeli.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Kahama, Shinyanga.
Waswahili husema "kuchamba kwingi kuondoka na mavi". Hakika leo umeshika mavi na mkono wako wakulia.

Mpaka hapo kwa uelewa wa kawaida ni dhahiri we huna mke ama unaishi na kimada kwa muda mfupi wa chini ya mwaka.

Hakuna kanuni za kuishi na mwanamke wala umri utakaokufanya muishi kwenye ndoa kwa musa mrefu.

Mwanamke ni binadamu kama wewe, hivyo wanawke 10 hawawezi kuwa na tabia zinazofanana. Hakuna!

Ulicho andika hapo juu ni hisia zako binafsi ambazo umepata maarifa ya mitandaoni ama makaratasi ya duniani yaliyoandikwa kidhaifu na watu wadhaifu wakiweka mbele mihemuko yao, utashi wao, madhaifu yao na ujinga wao.

Kuna usemi moja wa kingereza kuwa "The false knowledge is dangerous than Ignorance"

Jambo kuu la kujifunza kama unataka kujifunza kutokana na sakata la shusho na ndoa yake kuwa " mwanamkw Malaya ni kama kunguru.
Umalaya ni roho inayodumu katika miili ya kundi la wasanii wanaume na wanawake!

Chukua mifano michache nchini ya wasanii wa muziki wa injili has wanawake utagundua kuna kitu cha kujifunza.

Ukiachilia makoti ya dini wanayovaa, hao wote hawana tofauti na Gigi Money.
 
😃😃


Christina Shusho NI moja ya waimbaji wakubwa wa injili hapa Bongo.
Hivi karibuni ametoa madai yanayoonyesha kaachanà na mumewe (mzee Shusho) kwa lengo la kutimiza ndoto zake lakini sababu nyingine ni kuwa aliolewa bila ridhaa yake kipindi akiwa mdogo.

Kwa sasa yamezuka makundi yanayomlaumu na mengine yanayompata moyo huku mengine yakipuuza(hayafungamani)
Umesema kweli, Christina asingekuwa na kipaji na uzuri asingemwacha mzee Shusho. Sasa anaona atumie Uhuru wake wa fedha, kipaji, urembo wake kabla jua halijakuchwa na asimsingizie Mungu.
Yeye keshapata uhuru autumie na amwache mzee Shusho kwa heri tuu siyo kulalamika kwamba alimwoa kwa lazima bila ridhaa yake.
Wanawake wengi huachana na waume zao baada ya kupata umaarufu na fedha.
Mfano wanasiasa, wasanii etc.
Jenister alimwacha mumewe baadq ya uwaziri, mumewe alikuwa mwalimu ila hakusema kisa kawa mwanasiasa. Aliona kwa sasa hawaendani na Christine ni hivyo hivyo akae kimya mzee Shusho kwa sasa siyo type yake.
 
😃😃


Christina Shusho NI moja ya waimbaji wakubwa wa injili hapa Bongo.
Hivi karibuni ametoa madai yanayoonyesha kaachanà na mumewe (mzee Shusho) kwa lengo la kutimiza ndoto zake lakini sababu nyingine ni kuwa aliolewa bila ridhaa yake kipindi akiwa mdogo.

Kwa sasa yamezuka makundi yanayomlaumu na mengine yanayompata moyo huku mengine yakipuuza(hayafungamani)
Yuko sahihi sana ni kweli alikuwa anaishi kwenye gereza na sasa kashapata uhuru wake.
 
Sema mafundisho ya Kanisani ndio husema Ndoa ya kikristo haivunjiki lakini hakuna sheria ya namna hiyo
Imani ya Christina Shusho inatokana na haya mafundisho. Sasa labda atuambia ameachana na hii imani ya kikristo hapo tutamuelewa, kwenye maamuzi yake. UFeminist, gender Equality hauendani na imani ya kikristo 🤔
 
Sijui umeandika takataka gani hapa ila kwa kifupi ulichoandika sio uhalisia wa maisha ya mwanaume na mwanamke ni mtazamo wako.

Umelitazama hili swala kwa jicho la mwanamke sana (emotional)badala ya kulitazama kiume (logical).

Uhuru kwa mwanamke humaanisha kuishi bila mipaka na kufanya lolote ambalo akili yake itamwambia atake kulifanya. Ila usisahau kitu kimoja, hakunaga uhuru bila mipaka na kuwajibika na matendo yako utakayojiamulia.

Kuna gharama kubwa sana kimaisha kwa mwanaume au mwanamke kuishi namna anavyotaka kinyume na matakwa ya jamii kuwataka kujinga maisha ndani ya ndoa.
 
Huhitaji akilili kubwa kuelewa huyu MTU ameandika kitu anachokielewa na huyu ameandika kitu ambacho Hana uelewa nacho amendikia ushabiki tu
Pia ushauri sio maagizo
Haya ni maoni yako binafsi, sitayaingilia
Hao waliopitisha hiyo Sheria na huo utaratibu wa miaka 18 hawakuweka tu Kama unavyoamua kujiandikia tu
Huo ni umri ambao MTU anaweza kufanya maamuzi yake mwenye
Yeye anasema alifanyiwa maamuzi. Na hapo ndipo udogo wake ulipojitokeza. Wazazi ndio walifanya hayo. Hayo ni madai yake
Kisheria ndoa hatangazwa siku 21 ,
Na ndoa za kikiristo Zina taratibu nyingi sio kitendo Cha siku moja
Huo muda wote huyo dada alikuwa na nafasi ya kufanya maamuzi yake mwenyewe
Huko vijijini ulisikia wapi ndoa inatangazwa kwa hizo siku 21? Hujawahi sikia ndoa za mikeka?

Inaonyesha alikuwa na tamaa zake binafsi kwa huyo mume wake akamua kuishi naye 75kinafiki kwa miaka yote ambao baada ya kuzipata anaona Hana maana Tena kwake

Haya ni mawazo yako ambayo hayana msingi wowote. Ushaambiwa wazazi. Ndio walifanya hayo kwa hiyo kama ni tamaa ungesema wazazi wake ndio walikuwa na tamaa.
Na ukishaolewa kikiristo Hana utaratibu wa kuachana kwa sababu ya HUDUMA au wito
Wito na HUDUMA ya kwanza kwa mwanamke ni ndoa yake labda aamue kutokuolewa
Kuwa mkristo haimaanishi umefunga ndoa ya kikristo. Wapo wakrito kibao ambao wamefunga ndoa za kimila na kiserikali.

Sara aliishi na mume wake Kama bwana wake na Sara alikuwa akimtii
Kwa sababu Ibrahim alikuwa mwanaume mwenye haki(rafiki wa Mungu) mtu mwema.
Katafute maana ya mwanaume kuwa bwana kwa mke wake
Uone tofauti iliyopo
Pia kikiristo anayependa ni mwanaume sio mwanamke
Mwanamke anaamriwa na biblia kumtii mume wake.
Sio kila mkristo hufunga ndoa ya Kikristo. Kibiblia mwanamke anapenda na lazima aulizwe na anahiyari ya kukubali au kukataa
Siku nyingine ongee mada unazoziwezaa mkuu
Usitafute ushabiki wa Mfumo mpya wa kutaka kumweka mwanamke nafasi moja na mwanaume

Mwanamke na mwanaume ni mwili mmoja. Wanapokuwa kwenye ndoa huwa katika nafasi moja.
Labda kama hujui maana ya ndoa.
 
Sijui umeandika takataka gani hapa ila kwa kifupi ulichoandika sio uhalisia wa maisha ya mwanaume na mwanamke ni mtazamo wako.

Umelitazama hili swala kwa jicho la mwanamke sana (emotional)badala ya kulitazama kiume (logical).

Uhuru kwa mwanamke humaanisha kuishi bila mipaka na kufanya lolote ambalo akili yake itamwambia atake kulifanya. Ila usisahau kitu kimoja, hakunaga uhuru bila mipaka na kuwajibika na matendo yako utakayojiamulia.

Kuna gharama kubwa sana kimaisha kwa mwanaume au mwanamke kuishi namna anavyotaka kinyume na matakwa ya jamii kuwataka kujinga maisha ndani ya ndoa.

Kwa hiyo kwa uelewa wako, Mwanamke hana maamuzi wa nani ampende na amwoe?

Kwa uelewa wako mwanamke hana maamuzi na haki ya kudai talaka?,

Kwa uelewa wako mwanamke hana haki ya kupigania ndoto zake?
 
Sijui umeandika takataka gani hapa ila kwa kifupi ulichoandika sio uhalisia wa maisha ya mwanaume na mwanamke ni mtazamo wako.

Umelitazama hili swala kwa jicho la mwanamke sana (emotional)badala ya kulitazama kiume (logical).

Uhuru kwa mwanamke humaanisha kuishi bila mipaka na kufanya lolote ambalo akili yake itamwambia atake kulifanya. Ila usisahau kitu kimoja, hakunaga uhuru bila mipaka na kuwajibika na matendo yako utakayojiamulia.

Kuna gharama kubwa sana kimaisha kwa mwanaume au mwanamke kuishi namna anavyotaka kinyume na matakwa ya jamii kuwataka kujinga maisha ndani ya ndoa.
Mwamba anataka wanawake nao wawe wanatongoza kama wanaume na wawe wanapanga tarehe za harusi ndo uhuru anaouongelea
 
Huhitaji akilili kubwa kuelewa huyu MTU ameandika kitu anachokielewa na huyu ameandika kitu ambacho Hana uelewa nacho amendikia ushabiki tu
Pia ushauri sio maagizo

Hao waliopitisha hiyo Sheria na huo utaratibu wa miaka 18 hawakuweka tu Kama unavyoamua kujiandikia tu
Huo ni umri ambao MTU anaweza kufanya maamuzi yake mwenye

Kisheria ndoa hatangazwa siku 21 ,
Na ndoa za kikiristo Zina taratibu nyingi sio kitendo Cha siku moja
Huo muda wote huyo dada alikuwa na nafasi ya kufanya maamuzi yake mwenyewe

Inaonyesha alikuwa na tamaa zake binafsi kwa huyo mume wake akamua kuishi naye kinafiki kwa miaka yote ambao baada ya kuzipata anaona Hana maana Tena kwake

Na ukishaolewa kikiristo Hana utaratibu wa kuachana kwa sababu ya HUDUMA au wito
Wito na HUDUMA ya kwanza kwa mwanamke ni ndoa yake labda aamue kutokuolewa

Sara aliishi na mume wake Kama bwana wake na Sara alikuwa akimtii

Katafute maana ya mwanaume kuwa bwana kwa mke wake
Uone tofauti iliyopo
Pia kikiristo anayependa ni mwanaume sio mwanamke
Mwanamke anaamriwa na biblia kumtii mume wake

Siku nyingine ongee mada unazoziwezaa mkuu
Usitafute ushabiki wa Mfumo mpya wa kutaka kumweka mwanamke nafasi moja na mwanaume
jamaa ana mindset za mpinga kristo...yani katumia weakness ya shusho kuja kupotosha umma kuhusu ndoa...Ninachoamini SHUSHO is Human being can make a MISTAKE hata yeye anaweza kwasasa asijue kama anakosea coz Kazi ya shetani sometimes kujiugeuza malaika na kukuletea false massage kama aliyoletewa shusho kwa kusema katumwa na roho mtakatifu kumbe is WRONG maana anajua akimtumia yeye ataweza kusepa na kundi la watu kuamini ndoa is BAD thing na wnawake wengi wakamfuta anyways dua zangu ni MUNGU amfungue shusho kwenye battle of mind aliyonayo kwa sasa to save her marriage.
 
Back
Top Bottom