Angalia mrembo huyu alivyonijibu, anafaa kweli huyu?

We mtu,ni me au Kei?
 
Wote ni binadam tofaut jinsia ukiona anakufanya kama ni mtu fulani ambae hauna umuhimu kwake na wewe inatakiwa umpunguze kikatili hadi asiamini kama ndo wewe
Oyaaa wee hii kauli ya kinyama
"""na wewe inatakiwa umpunguze kikatili hadi asiamini kama ndo wewe"" ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Achana na mahesabu marefu hivyo Babu,Tafuta Hela elfu 30 kitu gani?sema demu kazingua Hana hisia hata kidogo na mwenzie
Hahaha....................naona unataka kunikumbusha machungu ya mwaka 1989 nilipompa mrembo mmoja shilingi 4,350 kama zawadi ya siku yake ya kuzaliwa.

Hela hizo kwa sasa zina thamani ya zaidi ya shilingi milioni 13.5

Lakini ungejua Lugha aliyoitumia kuniomba, hata kama wewe ungekuwa Mpenzi wake lazima ungempa tu. Kuna warembo wanajua kushawishi Mjukuu ๐Ÿค—๐Ÿƒ๐Ÿƒ๐Ÿƒ
 
Hayo ndio mambo Sasa,bahati mbaya umezeeka Babu,ila tungeongea Kwa herufi kubwa najua nisingekosa ka vanguard ...najuta kuchelewa kuzaliwa๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Hayo ndio mambo Sasa,bahati mbaya umezeeka Babu,ila tungeongea Kwa herufi kubwa najua nisingekosa ka vanguard ...najuta kuchelewa kuzaliwa๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Hahahaha......................Babu yako nimezeeka sasa, ila bila shaka utapata Vijana wenzako.

Maana nilisikia Vijana wa miaka yenu hii Wana hela nyingi kutuzidi sisi Vijana wa Zamani ๐Ÿคช
 
Ajajibu kuhusu wewe kummis! Inaonekana wewe ukisema ume mmis ina maana unataka ngono, na anajua wewe ni bahili, au sound, hapo ndo anaweka maitaji
Uko sahihi mwamba ni bahili na shida yake hapo kwel ni ngono na binti anamuelewa kuku wake
 
Hahahaha......................Babu yako nimezeeka sasa, ila bila shaka utapata Vijana wenzako.

Maana nilisikia Vijana wa miaka yenu hii Wana hela nyingi kutuzidi sisi Vijana wa Zamani ๐Ÿคช
Babu wa siku hizi wanazo ila wabahili hamna mfano.
 
Ungeipa tafsiri ya kiswahili, kichina na hata kispanyola. Naona vijana wanajisahau sana, eti 'nitajitahidi leo upate' mtu hata salam hajibu..dah!
Inaonekana jamaa anamuelewa sana huyo dada.....dah
 
Basi mimi naomba 20k tu dada dimpoz๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚
 
Dunia ilipofika patamu sana. "ukweli ukidhihiri uongo hujitenga".

Watu straight to the point. Wanapiga "bullseye".

Eeeh vijana nyinyi, oaneni, usherati na uzinzi ni uchafu.
At the same unataka vijana wakutongoze.

Ukafungua na Uzi kabisa.

[emoji706][emoji706][emoji2781]
 
Duh!! Kuna Watu hawajui kuomba hela kabisa yan.
Hela ndiyo zinaombwaga hivyo kirahisi?
Hata hajaitikia salamu?
kaka zetu mna shida [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anaomba kavu kabisa yaani

Utadhani zake!?

Ndio wanamega wanaachwa na hata hawaolewi.
 
Usikute una type hayo maandishi KUTOKEA geto lako la manzese.

Au kwa bimkubwa huko ikungulyabashashi.

Unaijua V8 Wewe[emoji15][emoji115]!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ