Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Haya ni mambo ya kawaida , tunaishi nao fresh ...Ila mimi siwezi kabisa kila mtu na roho yake.Pole sana mkuu, ila hukupaswa kukaa kimya...
Hizo tabia za kinyani lazima tushirikiane kuitokomeza...
Ubaguzi wa kidini, ukabila ni unyani na ukifanyiwa na mtu usiwe mnyonge hata kama anafikiri yuko kwao...
Kubwa kwako, hiv kama hujui kitu si kuwa kimya tuu.Wanyakyusa na wasangu hawana shida wako safi. Wasafwa wapumbavu sana na ndio kabila kubwa.
Waanze kwanza kufuta ujinga kichwani mwako.Husika na kichwa Cha habari hapo juu.
Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;
1. Wizi wa solar za taa za barabarani, haya Mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye halmashauri tu.
2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwaajir ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira Jiji la Mbeya, badae wasanii watakuwa hawaji
Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadiri haya.
NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni Doria kuzilinda.
Kaka mkubwa unafikiri kwanini niliamua kukimbia mjini na kuja kijijini Mbeya ni vile nilijiona Nina misimamo Kama akina Mwaisa ambayo siwezi kuzionesha hapo mjini.Walioingia chumbani kwa P Diddy wapigwe vita ili kuonyesha jamii haisuport ushoga,wamenifurahisha sana wana mbeya,
U P Diddy wenu huko huko msiulete huku
Aliyataka mwenyewe na ni fundisho kwa wengine!. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwaajir ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira Jiji la Mbeya, badae wasanii watakuwa hawaji
Hizo sababu haziwezi kutumika kufuta hadhi ya eneo lolote kuitwa jiji au mji au manispaa, iwe Mbeya, Mtwara au mji wowote nchini.Husika na kichwa Cha habari hapo juu.
Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;
1. Wizi wa solar za taa za barabarani, haya Mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye halmashauri tu.
2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwaajir ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira Jiji la Mbeya, badae wasanii watakuwa hawaji
Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadiri haya.
NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni Doria kuzilinda.
Kwani likifutwa watapata hasara gani?Husika na kichwa Cha habari hapo juu.
Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;
1. Wizi wa solar za taa za barabarani, haya Mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye halmashauri tu.
2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwaajir ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira Jiji la Mbeya, badae wasanii watakuwa hawaji
Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadiri haya.
NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni Doria kuzilinda.
Mimi siko mbeya!! Lakini watu wakiwa na Hasira wanaweza kufanya chochote!!Kwahyo kurushia watu makopo kumewasaidieni Nini hebu acheni ujinga
Usiandike post kwa hasira,hapo watu wanaona hasira yako badala ya kuona unachotaka kuwafundisha. Hiyo mbeya iwe halmashauri ya mji mdogo kwa kipi? We unawajua watu wa mbeya kwa kiasi gani? Idadi ya watu waliofika kwenye tamasha haifikii hata idadi ya watu wanaokaa mbalizi,mbeya ina wilaya ngapi? Una generalize kwakuwa unaandika kwa kupanic.elimisha watu waliokosea usitoe povu.Husika na kichwa Cha habari hapo juu.
Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;
1. Wizi wa Solar za taa za barabarani, haya mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye Halmashauri tu.
2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwa ajili ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira ya Jiji la Mbeya, baadae wasanii watakuwa hawaji
Pia, Soma: Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa
Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadili haya.
NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni doria kuzilinda.
Na wewe Vishu Mtata ni kabila gani? Hebu tuweke makabila yetu wote kwa pamoja ndipo tuyajadiliWewe ni msafwa nini?
Nimeishi nao kule Itua, saivi kidogo wameelimika ila bado ule ukabila wanao.
Na wameelimika kwa kulazimishwa kuishi na wageni watake wasitake maana hata huko milimani matajiri wamenunua na kujenga, hawana pa kukimbilia tena.
Wafabishara enzi hizo tulipata tabu sana, huwezi fanya battle na msafwa huko kwao utasanda tu.
Kwani ni mpaka tuweke makabila ndio tujadili jombaa, tunajadili facts hapa sio lazima ujue kabila la mtu ndo ujue ukweli.Na wewe Vishu Mtata ni kabila gani? Hebu tuweke makabila yetu wote kwa pamoja ndipo tuyajadili
Mbona mawili tu?Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo wakifuta jiji wanavunja majengo yote na kujenga nyumba za nyasi mji mzima.....??
Takataka kabisa wewe ,kwahiyo ilifutwa kuwa jiji ndio nani anakuwa kakomolewa ?Husika na kichwa Cha habari hapo juu.
Tofauti na ilivyo kwenye majiji mengine Kama vile Dodoma, Arusha, Tanga na kwingineko Ila tabia na matendo ya watu wa Mbeya kwa wageni na kwa miundombinu ni hatari mno kwa usitawi wa amani na maendeleo ya jiji Hilo la Mbeya. Haya yafuatayo ndo yanakichafua Jiji la Mbeya;
1. Wizi wa Solar za taa za barabarani, haya mambo yanafanywa na wenyeji na hutaona tabia hizi hata kwenye Halmashauri tu.
2. Kuwashambulia wageni hasa wale wanakuja kwa ajili ya kufanya matamasha. Tumeona juzi hapa msanii akirushiwa makopo ya maji bila sababu, hii inachafua taswira ya Jiji la Mbeya, baadae wasanii watakuwa hawaji
Pia, Soma: Wasafi Festival Mbeya hali imekuwa tete. Zuchu akimbia Jukwaa
Yapo mengi sana yakuorodhesha hapa lakini kwa leo naomba niishie hapo ili nipate muda wa kuyajadili haya.
NB: Hizo tabia zikiendelea ipo siku jiji la Mbeya litafutwa na kuwa halmashauri ya Mji mdogo, tunawaomba viongozi wetu endeleni kutoa adhabu Kali kwa wote wanaolichafua jiji, pia hizo taa za barabarani wekeni doria kuzilinda.
Inakuwaje watu wapo jj lakin bado wanaiba betri za solar za barabaraniUsiandike post kwa hasira,hapo watu wanaona hasira yako badala ya kuona unachotaka kuwafundisha. Hiyo mbeya iwe halmashauri ya mji mdogo kwa kipi? We unawajua watu wa mbeya kwa kiasi gani? Idadi ya watu waliofika kwenye tamasha haifikii hata idadi ya watu wanaokaa mbalizi,mbeya ina wilaya ngapi? Una generalize kwakuwa unaandika kwa kupanic.elimisha watu waliokosea usitoe povu.