Vikundi gani vya uasi nchi hii? Embu fanya kautafiti kadogo zunguka kwenye mtaa wako chunguza shughuli zinazoendelea.Haya mambo yana mwisho. Na mwisho ni mbaya
Vikundi vya waasi hua vinaanzaje?
Wapi hukoHii location nilipo mimi, umeme kukata ni nadra sana. Kwa mwenzi unaweza kata Mara mbili tu tena kwa masaa machache sana,
Ukikaza zaidi hapo TANESCO unapanda cheo, si unajua tena uchawa unawapa watu maishaHii ni hitilafu iliyojitokeza kwenye miundombinu ya umeme sio mgao wa umeme! Ingekua ni mgao wasingekata usiku wa manane. Tuwe na mawazo chanya sio mawazo hasi siku zote!
Mkuu unasahau wizara iko chini ya naibu waziri mkuu? Nae anachekewa tu?Watu wanachekewa sana huku serikalini.
Arusha umekatika usiku pia, nimeshtuka saa 03:4am nje ni giza totoro. Mpaka sasa ni kimya kabisa.Basi hiyo imeishia saa 8:22 , na sasa tunaanza upya.
Nikiripoti kutoka mkoa wa Bw. Dawood
Alb Bashite, mimi ni Venooooos
Nchi gani hiyo tuje mkuuWapi huko
NDio walitaka kumburuza mkurugenzi wa TANESCO ya Marekani, polisi wakaingilia kati na kesi ikaishia hapo.Kwa ninavyowafahamu Wamarekani na utata wao siku moja uwakatie umeme zaidi ya mara 10 lazima wakuburuze mahakamani
Wapi huko?Uooooooooo......tayar umerudi
😂Aione johnthebaptist tokea usiku wa masita bila bila. Hii achilia mbali zile kata kata zinazowaulia kina Miss_Mariaah "Brenda" zao ka wanavyoziita.
Mi nadhani walinda mipaka waseme" basi hatuwezi Linda mipaka iliyogizani"Tuliambiwa mgao wa umeme sasa basi!
Hali tangu jana ni hii, vipi nyie huko kwenu?
Utasikia Arabian power supply company inachukua Tanesco kama ilivyo kwa bandari,mwendokasi,ngoro ngoro n.k!Hili shirika liuzwe