poleni sana. bahati nzuri mimi siko huko ukimani. wanasiasa wa tz na shetani ni dugu moyaTuliambiwa mgao wa umeme sasa basi!
Hali tangu jana ni hii, vipi nyie huko kwenu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poleni sana. bahati nzuri mimi siko huko ukimani. wanasiasa wa tz na shetani ni dugu moyaTuliambiwa mgao wa umeme sasa basi!
Hali tangu jana ni hii, vipi nyie huko kwenu?
hahaha uminichekeshaNiliwahi kuandika, Tanzania hata mitambo yote ifanye kazi na tuwe na umeme wa ziyada tatizo la umeme tutakuwa nalo tu.
Miaka mingapi sasa CCM wanatudanganya?Umekatika saa nane usiku mpaka sasa mbili asubuhi bado kimya.
Update: Naskia huko nje wanasema na maji yamekatika.
Hali tangu jana ni hii.. Vp nyie huko kwenyu
Kwahio??Niliwahi kuandika, Tanzania hata mitambo yote ifanye kazi na tuwe na umeme wa ziyada tatizo la umeme tutakuwa nalo tu.
Ni kweli kabisa, tatizo lililopo katika nchi hii sio vitu bali ni watu,wajinga ni wengi sana,mbaya zaidi hao wajinga wanatuongoza.Niliwahi kuandika, Tanzania hata mitambo yote ifanye kazi na tuwe na umeme wa ziyada tatizo la umeme tutakuwa nalo tu.
Hii ni hitilafu iliyojitokeza kwenye miundombinu ya umeme sio mgao wa umeme! Ingekua ni mgao wasingekata usiku wa manane. Tuwe na mawazo chanya sio mawazo hasi siku zote!Na wewe ukamwamini? Sijawahi KAMWE kumwamini mwana CCM yoyote yule.
Tuache sababu (justification) nyepesi namna hii, hatujalipa Kodi ili Umeme ukikatika mseme ni "hitilifu"!Hii ni hitilafu iliyojitokeza kwenye miundombinu ya umeme sio mgao wa umeme! Ingekua ni mgao wasingekata usiku wa manane. Tuwe na mawazo chanya sio mawazo hasi siku zote!
Hitilafu hairekebishiki? Huduma ya kurekebisha hitilafu inatakiwa iwepo 24/7.Hii ni hitilafu iliyojitokeza kwenye miundombinu ya umeme sio mgao wa umeme! Ingekua ni mgao wasingekata usiku wa manane. Tuwe na mawazo chanya sio mawazo hasi siku zote!
Ligawanywe tu, kila mkoa uwe na shirika lake la umeme linalojitegemea.Hili shirika liuzwe
Huu ni ujinga .Hii ni hitilafu iliyojitokeza kwenye miundombinu ya umeme sio mgao wa umeme! Ingekua ni mgao wasingekata usiku wa manane. Tuwe na mawazo chanya sio mawazo hasi siku zote!
Hapo sasa, hawa jamaa ni kichomiSaa 8.22, hii sijaelewa ni mda Gani, usiku asubuhi au mchana, sisi kwetu hakuna umeme tokea usiku.
Huo ni ukweli, si ya kuchekesha hayo.hahaha uminichekesha
Niliwahi kuandika, Tanzania hata mitambo yote ifanye kazi na tuwe na umeme wa ziyada tatizo la umeme tutakuwa nalo tu.
Mimi ninawaamini kwenye uongo wao, wewe ukinidanganya sitauamini uongo wako.Na wewe ukamwamini? Sijawahi KAMWE kumwamini mwana CCM yoyote yule.
wewe ukoje,imetokea hitilafu nchi nzima hakuna umeme,hebu utulize akili yakoEneo nililopo Mbagala umeme ulikatika usiku wa manane kabla ya saa nane usiku mpaka hivi sasa saa mbili naa asubuhi umeme haujarudi. Ni hivi karibuni mheshimiwa alisema mtambo mmoja mpya umewashwa huo ndio mwisho wa kukatika kwa umeme, umeme ndio huo umekatika.
Hivi hawa viongozi wa CCM kwanini wanakuwa na haraka ya kutatua matatizo kwa mdomo!
We want problems always, hatutaki kuishi kwa raha siye🤣Niliwahi kuandika, Tanzania hata mitambo yote ifanye kazi na tuwe na umeme wa ziyada tatizo la umeme tutakuwa nalo tu.
Mimi ninawaamini kwenye uongo wao, wewe ukinidanganya sitauamini uongo wako.