Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Kwa kweli huyo jamaa hapana.Bado haifanyi awe mchezaji wa maana, bado kai ni kiazi tu, sijawahi tengua hii kauli, hata afunge hat-trick
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli huyo jamaa hapana.Bado haifanyi awe mchezaji wa maana, bado kai ni kiazi tu, sijawahi tengua hii kauli, hata afunge hat-trick
Hata 3 sawa, ila wasifanye ujinga kumuacha. Unaonekana msimu huu ule mzimu wake wa majeraha unampitia mbali kidogo. God forbid.Tumekuja mkuu🤣🤣🤣....Arteta aandikiwe barua rasmi ailazimishe bodi imuongezee Partey mikazo mkataba wa miaka 2 na option ya mwaka mmoja....yule jamaa akiondoka tutamkumbuka sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tena ni Kiazi mbatata kabisa, hata mtoto mdogo ukimwambia kua hapa Kai ameshindwa sio kufunga bali hata kulenga goli tu hawezi kuamini kabisa.Bado haifanyi awe mchezaji wa maana, bado kai ni kiazi tu, sijawahi tengua hii kauli, hata afunge hat-trick
Economics hiyo ya Prof Osoro.Kila nikiuona huu uzi, macho yangu yanatua kwenye jina la muanzisha uzi "game theory"
Siachi kufikiria jinsi hili somo lilivyonitesa.
Wahuni hata marudio ya lile tukio (replay) hawakufanya. Ilipita kama ilivyo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Angekuwa mchezaji wa Arsenal amecheza vile, unadhani nini kingetokea?
Na wewe umeisoma?Economics hiyo ya Prof Osoro.
Ndiyo, unajua mchezo wa uchumi unachezwa kama wa Fizikia, japo Fizikia ina uhalisia zaidi.Na wewe umeisoma?
Watu wa physics nao wanaisoma kumbe?Ndiyo, unajua mchezo wa uchumi unachezwa kama wa Fizikia, japo Fizikia ina uhalisia zaidi.
Hapana, nazungumzia zinavyofanana kwenye theories.Watu wa physics nao wanaisoma kumbe?
magoli ya saka haya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mzabzab mzee wa mbususu mambo yangekua ni rahisi kihivyo Man Utd mngempiga hizo 7 kwenye FA walivyocheza pungufu kwa zaidi ya dakika 60 baada ya Dolot kulimwa kadi nyekundu.Arsenoooooo, we are the gunnerssss.
Sasa mtoe kipo do hicho hicho kwa hawa man utd, tena hao piga ata 7
Arsenooooo bwana. Ila man utd mie nashindwa elewa mbona siku ile mechi ya liverpool na hii ya arseno walipbana kweli kweli.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mzabzab mzee wa mbususu mambo yangekua ni rahisi kihivyo Man Utd mngempiga hizo 7 kwenye FA walivyocheza pungufu kwa zaidi ya dakika 60 baada ya Dolot kulimwa kadi nyekundu.
Matokeo yake Man Utd wakiwa pungufu waliwafurusha kwenye michuano kwa Aggregate ya goli 6-4 hapohapo kwenye dimba lenu la Emirates. View attachment 3223526
vipi usajili??Kesho kutwa tuna Carabao na Newcastle
Chances very slim unless we buy a release clausevipi usajili??
Watkins vipi??Chances very slim unless we buy a release clause