Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Timu top scorer ana goli tisa halafu mnataka ubingwa acheni bangi aseee
 

Attachments

  • Screenshot_20250204_172002_Opera GX.jpg
    Screenshot_20250204_172002_Opera GX.jpg
    161.3 KB · Views: 3
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Angekuwepo Masingeli humu angekuja na zile habari zake za Supa Kompyuta inasema leo Tunampiga Nyukesto goli 4-0 halafu msimu huu Supa Kompyuta inaonesha tunabeba Yuefa.
Ngeli ni konyo sana yule mtu, toka amekimbia humu jukwaa limepoaa kama mchuzi wa nyoka uliokosa chumvi[emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Angekuwepo Masingeli humu angekuja na zile habari zake za Supa Kompyuta inasema leo Tunampiga Nyukesto goli 4-0 halafu msimu huu Supa Kompyuta inaonesha tunabeba Yuefa.
Ngeli ni konyo sana yule mtu, toka amekimbia humu jukwaa limepoaa kama mchuzi wa nyoka uliokosa chumvi[emoji16][emoji16][emoji16]
Hao mijusi milia lazima watueleze leo ilikuwaje kuwaje wakatufunga zile mbili. Tutawapiga mpaka tuwahurumie.
 
Naona bodi inaendelea kuweka ngumu kwenye kusajili straika, ila kocha anaendelea kupambana kwa uwezo wake

Nafasi tatu zinapelea kwa sasa tukikamilisha izo, mwakani insha'Allah bila injuries tunabeba quadruple

Rw/Lw
Back up ya Saliba
Striker
20241127_111151.jpg
 
Leo mang'ombe yote yapo macho kusubiri Arsenal ateleze
 
Kipigo kapewa City ila milio inatoka kuanzia unyumbuni hadi kwa ndugu zao ukengeni

Badala watu wafanye analysis ya Arteta's Tactical Masterclass against Pep, wao wanajadili kuhusu ushangiliaji wa wachezaji
20240430_121201.jpg
 
Kipigo kapewa City ila milio inatoka kuanzia unyumbuni hadi kwa ndugu zao ukengeni

Badala watu wafanye analysis ya Arteta's Tactical Masterclass against Pep, wao wanajadili kuhusu ushangiliaji wa wachezaji
View attachment 3226332
Gary Neville na Carragher wanaongoza hilo boti la wajinga.

Alisema ni utani mzuri Haaland kumpiga na mpira Gabriel baada ya kuscore.

Ila akasema ni ukosefu wa heshima Gabriel kushangilia mbele ya Haaland baada ya kuscore.

Wajinga ni wengi
 
Gary Neville na Carragher wanaongoza hilo boti la wajinga.

Alisema ni utani mzuri Haaland kumpiga na mpira Gabriel baada ya kuscore.

Ila akasema ni ukosefu wa heshima Gabriel kushangilia mbele ya Haaland baada ya kuscore.

Wajinga ni wengi

Neville simfuatilii kabisa. Sina muda wa kupoteza kusikiliza chochote asemacho. Carragher namcheki akiwa na Titi, Big Meeks na Kate Scott. Hiyo ndiyo punditry team yangu pendwa. Ila popote pale pengine, simsikilizi Carragher.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Maids Fc View attachment 3226352
😄😄😄😄 daah.

Halafu ulicheki goli la tano tulilompiga mamacita? Lile la Nwaneri? Sasa dunia nzima imeona Amadi anaigaga wapi shooting yake. Sisi hatuna noma. Vitoto vyetu vinatoa vichapo na elimu kwa pamoja, na vyenyewe hata form 4 havijamaliza.
 
Neville simfuatilii kabisa. Sina muda wa kupoteza kusikiliza chochote asemacho. Carragher namcheki akiwa na Titi, Big Meeks na Kate Scott. Hiyo ndiyo punditry team yangu pendwa. Ila popote pale pengine, simsikilizi Carragher.
Hakuna ninayemfuatilia hapo, ujinga wao hua upo tu kwenye pages za mpira
 
Back
Top Bottom