Tough times kwa Arsenal ni tangu msimu umeanza. Labda kama leo tu ndiyo unataka kutrace ugumu umeanzia wapiArsenal mnatakiwa mfurahie hii respite while you can.
Tough times are looming in the horizon.
Enjoy the respite while you can.Tough times kwa Arsenal ni tangu msimu umeanza. Labda kama leo tu ndiyo unataka kutrace ugumu umeanzia wapi
πΉπΉπΉSijaangalia game, Nimeona matokeo, ni jambo la kufurahisha leo tumempakata man city.
Aweeee..πΉπΉπΉ
Mtoto kautaaaβ¦. Mtoto kautaka
Huyoooooo mtotooooo π€£
πΉπΉ Tatizo watu wa group O waongo waongo sana, Maka hii ntakudai nakwambia mpk utatoa hiyo jersey.!!Ondoa shaka, tena msimu huu utapata hata kama tusipochukua ubingwa.
πΉπΉπΉAweeee..
π
Oya, haina uongo, mie sio kama wewe, USIETAKA jambo letu lile la GROUP O. ππΉπΉ Tatizo watu wa group O waongo waongo sana, Maka hii ntakudai nakwambia mpk utatoa hiyo jersey.!!
Hizo ndio ngoma zenuπ, mie nasikiliza MSONDO NGOMA saa hizi.πΉπΉπΉ
Si kautaka mwenyewe, huyo
Kawaletea wahuni shobo, huyo
Si' kwetu hatumli kwa macho, huyo
Si kautaka umaarufu, huyo
Oya, mwanangu Kai peleka moto! π€£
Oyoooooo π»Oya, haina uongo, mie sio kama wewe, USIETAKA jambo letu lile la GROUP O. π
jezi utapata hili lishapitishwa. Subiri jezi za msimu mpya zitangazwe upate uzi wako.
Oyoooooo π»
Maka ake huyo..!!
Jersey nnayo na natamba nayo..!! π€ΈββοΈ
Maka unaiomba kimkakati πΉπΉile ujue group O wanatuhitaji, inabidi tupambanie ukoo wetu, inabidi tuongeze familia ya group O, lifikiri kwa kina Lamomy
ππ€£Maka unaiomba kimkakati πΉπΉ
Au sio πΉππ€£
Hapana, napambania ukoo wetu wa group O, ukoo unateketea, watu wanaadimika, lazima sisi tusimame kidete ukoo uishi milele na milele.
Sasa kwani we unataka utamu tu, mie naangalia zaidi ustawi wa group O π€£πAu sio πΉ
Maka muhuni muhuni sana wewe..!!
Yani wewe umefoward unataka mpk mtoto moja kwa moja π€£
Viongozi wetu wabishi aiseeNo ST signed.
Hesabu ni zile zile za kusubiri majeruhi warudi.