Du! Kwanini wasingempigia kwanza Huyo mjomba aliyekuwa nae mchana?
Je mume alikurupuka au kuna ukweli? maana mtu anang'olewa jino kwa pliers,kutobolewa jicho ni hatari aisee
safi sana
ndiyo dawa ya msaliti hiyo
AiseeYani ni hili lipumbavu ndo limepiga mke, yupo kwenye hii video anaimba na Fanuel Zedekia, wimbo ukianza tu utaona anavyotabasam
Ndo plaizi na bisibisi?pia wakati mwingine fikiria dada na wadogo zako wa kikeHawa wanawake usipende kuwatetea 100% sometime wanazingua wazi wawzi
Hata kama ni upande mmoja, hakuna mtu mwenye mamlaka ya maisha ya mtu. Kuwa sasa akikosea unaruhusiwa kumjeruhi. Amekushinda rudisha kwao uendelee na life lakostory ya upande mmoja hii...no comment
30So ticha anatarajia miaka mingapi jela?
tetea ujinganayeye acha akifie jela
Sio kupigwa tu,watu wamedata unakatwa shingo kabisaKweli Mwanamke unayempenda unaweza mpiga kiasi hiki dah[emoji53]
Mwanaume kama hutoi matumiz kwa mwanamke kifupi lazima upigiwe 2 hata kama ni mkeo wa ndoa.Hawa wanawake usipende kuwatetea 100% sometime wanazingua wazi wawzi
Ndio ukikamatwa madhara yake hayoMwanaume kama hutoi matumiz kwa mwanamke kifupi lazima upigiwe 2 hata kama ni mkeo wa ndoa.
Hii haijaandikwa popote ila uhalisia ndiyo huo.
Jamaa ni fala tu, mwanaume unampiga mwanamke na hela usoni afu uone kama atatoa ngongoti zake kusaka mwanaume mwingine.
tetea ujinga
demu ana tatuu, unategemea nini ?
demu akiwa na tatuu ni malaya, ukweli mchungu
endelea kutetea ujinga, jamaa kamuwahi kabla hajawahiwasasa huyo jamaa yeye hakuliona hilo tatuu kabla hajamuoa? Sasa hapo kosa ni la nani? umeamua kutafuta malaya uoe halafu unajifanya umevurugwa
Kwa hio sasa ikawaje baada ya hapo ? Nini kilitokea ?endelea kutetea ujinga, jamaa kamuwahi kabla hajawahiwa
kosa ni la huyo bibie kuchepuka ndoani
endelea kutetea ujinga, jamaa kamuwahi kabla hajawahiwa
kosa ni la huyo bibie kuchepuka ndoani