Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
never invest too much kwa hao viumbe. Moja ya lesson kali nilijifunza nikiwa chuoAmani kwenu watumishi wa MUNGU
One Man down again
Ni denzi kinoma huyu chali ya chuga
He rest down because of love
MUNGU MWENYEZI awatie nguvu wana familia
LONDON BOY
Elirehema!!!Amani kwenu watumishi wa MUNGU
One Man down again
Ni denzi kinoma huyu chali ya chuga
He rest down because of love
MUNGU MWENYEZI awatie nguvu wana familia
LONDON BOY
Yeah like nani huyo ambae amewahi kufanya hivyo?Bora hata agejitoa uhai wake kwa ajili ya katiba mpya tungemkumbuka kama shujaaš¼
Nimeishia kusoma hopo alipomukutwa amening'inia juu ya kambaAmani kwenu watumishi wa MUNGU
One Man down again
Ni denzi kinoma huyu chali ya chuga
He rest down because of love
MUNGU MWENYEZI awatie nguvu wana familia
LONDON BOY
Sisi ni taifa la amani na utulivu yeye ndio angekuwa wa kwanzaYeah like nani huyo ambae amewahi kufanya hivyo?
Mungu hayupo wala huo sio uthibitisho wa uwepo wake zaidi ya kuegemea vitisho vya kijinga tu.Alikuwa haamin uwepo wa MUNGU
Ipo siku utakutana nae somewhere na utaamini!!!utakutana nae!sio kwenye Dini Wala Imani yeyote lakini utakutana nae live kwenye asili yake!!Mungu hayupo wala huo sio uthibitisho wa uwepo wake zaidi ya kuegemea vitisho vya kijinga tu.
Duh aiseeee .... Leo imeongezeka nyama kidogoDuh aiseee mapenzi magumu sana
Hayo ni maneno ya kiimani tu nina zaidi ya miaka 40 sasa wakata tamaa kama wewe wananiambia mwisho wa siku wao ndio wanaomba misaada kwangu.Ipo siku utakutana nae somewhere na utaamini!!!utakutana nae!sio kwenye Dini Wala Imani yeyote lakini utakutana name live kwenye asili yake!!
Mkuu hawa vijana wa sasa walivyo hopeless watakuelewa sasa?Watoto wa chuo ukiwazoea ni hatari... wanachuna kama vile hawana akili timamu. Mbaya zaidi huko chuo kuna kijana mwenzie anajipigia muda wowote akitaka bila kutoa chochote. Itakuwa marehemu aligharamia sana huyo kahaba. Vijana msiwekeze kwa wanawake.
Hiyo mamlaka ipo!SEMA wanaoizungumzia ndio wenye changamoto ya usahihi was taarifa!Hayo ni maneno ya kiimani tu nina zaidi ya miaka 40 sasa wakata tamaa kama wewe wananiambia mwisho wa siku wao ndio wanaomba misaada kwangu.