Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahah dah nimechekaTangu wamasai waanze kukata viuno ,nilijua tu kinachofuata ni kuteswa na mapenzi.
Kwa hiyo jamaa alinyonya maviYaani sijui inakuwaje mpaka mtu anajiua.Kuna jirani yetu alitaka kujiua akajitumbukiza kwa karo la mavi.Kumchomoa karibu siku nzima nanuka mimavi tu mpaka nikajipaka mafuta ya taa,ndio kidogoo shombo likakata.
Kuna K zina utamu pro max hata player aliyekula K 10,000 akiionja lazima azuzuke 🤣🤣. We acha tu, ukutane na kitu kitamu halafu cha moto kimevimba, utamwaga ubongo 🤣🤣Hakuna kitu kama hicho labda kwa wageni wa k. Lakini sio kwa ma player
Ili umuueNipate mmoja wa ivo😌
Kuna K special ambazo zinafanya mtu uzuzuke 🤣. Picha cha huyo demu ni weusi fulani hivi halafu ana nyama za kutosha zilisambaa kwenye mshepu. Lazima alikuwa kitu cha moto.Issue sio sex mkuu maana ingekuwa hivyo watu wangegandana na watu waliowapa sex experience kubwa. Issue hapo ni upendo uliokomaa kiasi unampa mtu mwingine nusu ya maisha yako kiasi huwezi kujitegemea kiakili na kihisia bila uwepo wao.
Na mbaya zaidi uachwe ghafla halafu aliyekuacha ka move on kirahisi 😁.. Waswahili wanasema "maji utayaita mma"
Hapana aseeeee ntampenda labda afe kwa mahaba ndindindiIli umuue
Ana elimu gani?Elimu yake haijamsaidia
Memkwa CAna elimu gani?
Nmeskia n mwanachuoAna elimu gani?
Mwanamke ndo mwanachuoNmeskia n mwanachuo
Eh kumbeMwanamke ndo mwanachuo