Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachaga tena!Amani kwenu watumishi wa MUNGU
One Man down again
Ni denzi kinoma huyu chali ya chuga
He rest down because of love
MUNGU MWENYEZI awatie nguvu wana familia
LONDON BOY
Ukikutana na kitu kinaitwa K ikiwa tamu halafu iwe ya moto, ukiila unamwaga ubongo, akili yote inaondoka na bao. Ukiachwa lazima ubongo uchanganyikiwe hata kujiuaimuhukumu mtu kwa maamuzi aliyochukua hata kama kwangu nayaona hayana mantiki.
By the way 30+ brother kajimaliza kwa mtoto wa 2000.. Evelyn Salt mkuu wa mashangazi jf, una lolote la kusema?
K ni k tu hio labda iwazuzue wajinga kama huyo jamaa.Ukikutana na kitu kinaitwa K ikiwa tamu halafu iwe ya moto, ukiila unamwaga ubongo, akili yote inaondoka na bao. Ukiachwa lazima ubongo uchanganyikiwe hata kujiua
HahahaaYaani sijui inakuwaje mpaka mtu anajiua.Kuna jirani yetu alitaka kujiua akajitumbukiza kwa karo la mavi.Kumchomoa karibu siku nzima nanuka mimavi tu mpaka nikajipaka mafuta ya taa,ndio kidogoo shombo likakata.
Kuwa na akiba ya maneno, kuna K pro max, ukipewa mara moja unazuzuka 🤣K ni k tu hio labda iwazuzue wajinga kama huyo jamaa.
Mimavi tu mkuu ilibidi tumchomoe ,uchumi uliyumba na vijana wakawa wanamkaza mke wake.Hahahaa
Duh kwahiyo ukalowa mimavii mkuu?
Pole sana
Naye kisa ilikuwa mapenzi?
Waaaapi 😂Mm labla maisha yaniache ndo nijinyonge
Comrade, haya maneno umeandika kwa sababu hayajakukuta. Siku yakikukuta, nakuambia utakitafuta kitanzi kokote kule kilipo, ili tu ujitundike baada ya kuachwa, au kupigwa tukio.Kafa kipumbafu sana , unajiua kisa hawa hawa mabinti au kuna wengine , kuna vijana wapumbavu sana ,soma la kujipenda sijui kwanini hawalijui.
Ndio ndio mkuu 😎Waaaapi 😂
Unanipiga chai sio ?Ndio ndio mkuu 😎
Kaka ngoja kwanza niweke wazi tu kwa huu umri wangu wa miaka 40 hakuna mwanamke wakunisumbua kabisa , nikiwa na umri wa kijana mpumbavu kana huyo na hata sasa sitafuti natafutwa, ni vile tu nime make standard zangu mkuu🤔Comrade, haya maneno umeandika kwa sababu hayajakukuta. Siku yakikukuta, nakuambia utakitafuta kitanzi kokote kule kilipo, ili tu ujitundike baada ya kuachwa, au kupigwa tukio.
Niamini mkuuUnanipiga chai sio ?
As long as upo Arusha najua Utajinyonga tuh.Niamini mkuu