Bantugbro
JF-Expert Member
- Feb 22, 2009
- 4,473
- 4,252
Kuna wachache sana watakuelewa.Lissu amekuja kuua chama.. na ndo mgombea pekee CDM alieandika historia mbaya kabisa ya kufelisha wagombe udiwani na ubunge wengi kuliko kipindi chochote kile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna wachache sana watakuelewa.Lissu amekuja kuua chama.. na ndo mgombea pekee CDM alieandika historia mbaya kabisa ya kufelisha wagombe udiwani na ubunge wengi kuliko kipindi chochote kile.
Lissu hakufanya kampeni za wabunge. Muda wote ameutumia kumtukana Rais.Lissu amekuja kuua chama.. na ndo mgombea pekee CDM alieandika historia mbaya kabisa ya kufelisha wagombe udiwani na ubunge wengi kuliko kipindi chochote kile.
Upo sahihi kabisa, Lissu ni sisiemu na alikuwa anapewa maagizo yote ya kuuwa chama kutoka kwa jiwe.Lissu amekuja kuua chama.. na ndo mgombea pekee CDM alieandika historia mbaya kabisa ya kufelisha wagombe udiwani na ubunge wengi kuliko kipindi chochote kile.
Kuna watu walikuwa wanajifariji humu JF wakati Hali ni tofauti uraiani!!Ukishapinga maendeleo lazima upigwe chini no way
Uchaguzi huu dalili zilishaonekana sio wa huru na haki sehemu nyingi idadi ya wakapiga kura imeongezwaupo sahihi kabisa. lissu ni sisiemu na alikuwa anapewa maagizo yote ya kuuwa chama kutoka kwa jiwe.
Nimemgongea mkewe mkuu, yeye anaendelee kusifu na kumuabudu mtukufu,mimi nikiendelea kusifiwa na mkewe huku.una kazi ya ziada ya kupitaa kilaa uzi wa chadema kutoaa takwimu hivi hata mkeo umemgusa kweli au ni kazi ya kuandika ujinga tu
Nakuunga mkonoLissu amekuja kuua chama.. na ndio mgombea pekee CHADEMA alieandika historia mbaya kabisa ya kufelisha wagombea udiwani na ubunge wengi kuliko kipindi chochote kile.
Hakuwa na connection na wabunge au madiwaniLissu amekuja kuua chama.. na ndo mgombea pekee CDM alieandika historia mbaya kabisa ya kufelisha wagombe udiwani na ubunge wengi kuliko kipindi chochote kile.
Sasa ndio vitakuja vya kutoshaWananchi tunataka barabara, vituo vya afya, elimu bure na bora sio blah blah
kuna folen..Jamani mbona hamuingii barabarani?
Weka ugoko tuweke Chuma ha ha haJamani mbona hamuingii barabarani?
Mawakala wanasemaje?Uchaguzi huu dalili zilishaonekana sio wa huru na haki sehemu nyingi idadi ya wakapiga kura imeongezwa
Ingia na mama akoJamani mbona hamuingii barabarani?