Arusha: Mzee Iddi Maganga abomoa nyumba zake mbili(200M) baada ya wanawe kuacha kufanya kazi na kusubiri urithi

Uliyoandika ni kabla ya binti yake kuja kumchukua baada ya kufungiwa ndani.
Sheria gani inayosema unapotaka kuuza nyumba yako ni lazima diwani ajue?
Wenzio tupo next na eneo la tukio wewe unasubiria watu wa media warushe clip.
 
Watake radhi watoto wa kinondoni original siyo wote wanasubiria urithi
Wengine wazee wetu hawakuwa hata na urithi wa kutuachia

Ova
 
Hasira...Hasara!
 
Ukitazama umri wa huyo mzee na hayo maamuzi aliyoyachukua haiwezi kuwa ajabu, ajabu ni wewe kushangaa umri huo huwa wanakuwa na akili za namna gani ama labda haujawai kukaa na watu wenye umri huo.
Kama ni kawaida kwa wazee unaowafahamu kuchoma nyumba zao ni sawa tu.
 
Hili ni tatizo kubwa sana kwa Jamii zetu za kitanzania, hivi karibuni nilikutana na mzee mmoja wa MIAKA 54 ananiambia amepambana kwa miaka minne iliyopita akaihamisha familia yake kwenye nyumba yake baada ya kukaa kwao muda mrefu, Sasa hivi amemwacha kaka yake wa MIAKA 60 Bado anakaa kwao na familia yake hiyo yote ni kwa SABABU wananyumba MAKUMBUSHO hivyo wote wanaoa na kuzaliana hapo.

All in all huyo mzee kafanya la maana maana watoto wamegeuka Israel.
 
Sidhani kam .zinafika 200m..maana.mabati yamechoka mno mno...au alimaanisha 20m
Mkuu kaa ukijua thamani hapo sio ya nyumba bali ni ya kiwanja. Na ndio maana baada ya kununua mnunuzi amebomoa hizo nyumba.

So kiuhalisia mnunuzi hakununua hizo nyumba bali amenunua kiwanja. Ngarenaro kama hujui ipo Arusha mjini kati.
 
Hii mitoto ya Manzese na Buguruni yote mijizi tu inaota mchana kuwa itakuwa mitajiri
 
Mzee kachemsha, angeuza akahamia mjini kula bata na Ashura.
Kwa jinsi anavyoelezea huyo mzee inaonesha huenda hata hati za nyumba hiyo walishampokonya. Sasa atauzaje bila hati? kaone isiwe tabu bora liwalo na liwe. Pia kwenye hiyo clip nimemsikia akisema atauza, probably atauza kiwanja baada ya kuzisambaratisha kabisa nyumba zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…