Asije akakudanganya Mtu, wanawake nao wanatamani wanaume


You know little about women.
Alichokiandika Threader( Robert) ni kweli tupu na ni hakika.
 
Napitia comment ila kuna ka ukweli flani hivi hapa.
 
You know little about women.
Alichokiandika Threader( Robert) ni kweli tupu na ni hakika.
Basi huna ulijuslo ndugu. Hicho kilichoandikwa ni modern view lakini ukweli (nature) asili ya mwanamke ni tofauti kabisa. Sijaandika mengi ila kadri muda unavyokwenda utajifunza kwa nini mwanamke na mwanamume ni tofauti, hata katika namna wanavyoyatazama mambo. Hiyo hoja ni kwa effeminate male, lakini kwa wanaume na wanawake halisi hakuna ukweli hapo.

Hoja ndogo fikirishi kwako: unadhani ni kwa nini zamani za watu wanajitambua mwanamke angeweza kuukataa leo lakini akaja kukukubali miezi sita baadaye ukikomaa naye? Achana na hii free sexual market iliyokupitosheni hata mnaandika hoja zisizo na mashiko, nijibu hapo kama unajua lolote.

Au ungeweza kumchambua mwanamke ambaye wala hajakuwazia, yet mkaja kuishi kwa raha na upendo?
 
Mwanamke attention yake ya kwanza ni kwenye vitu ulivyonavyo na sio umbile
Ndio maana ili kumpata mwanamke kama kitu hapo ukipata chance mdanganye kuwa unacho, atakuamini, Ukiwa na kitu hata kama umeazima watakuamini they don't need any proof.

Ndio ulivyodanganywa,

Mtu mmekutana Club au Chuoni au kanisani ataangaliaje vitu ulivyokuwa navyo?

Hapa tunazungumzia tamaa ya wanawake Kwa Wanaume.
 
Yes akifiti vile vigezo vya moyo basi unatamani hata kumuandikia barua.ila ndo hivyo mtoto wa kike staha.

Tatizo wanaume wengi wanafikiri wanawake sio binadamu hapo ndipo wanapokwama.
Kisa ninyi mmeumbwa ku-pretend Kama silaha ya Stara/kujistiri.

Wanawake niliowafanyia utafiti wengi walionyesha kutamani wanaume tena Ile tamaa ya ngono kabisa
 
Athanteee yule mtoto wa mama mkwe kweli siku nilikutana nae kikazi moyo ulistuka ila ndo hivyo dah yule kaka majuu sana he is smart he speaks nice anyway!!!! Kazi ya macho ni kuona kweli ukimuona mtu face to face ndo majibu unapata. Anywayyyyyyyy


πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Lakini najua ungeulizwa na mtu ungebisha na kusema wala huvutiwi naye wala hana la maana huyo mtoto wa Mamamkwe.

Wanawake mmebobea Kwenye unafiki
 


πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 

Wapo hivyo.
Wametoka kwenye ubavu wetu.
Sema wanapendezea wakiwa na aibu
 
Huu ni ukweli,, huwa tunatamanigi Ila kumfata muhusika sasa na kumuelezea ni sheeeda. Ndo nikimuelewa mtu na akanifata, huwa silembi fasta tuu nakubali,[emoji1][emoji1][emoji1]

😊😊😊
Mzabzab unaitwa huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…