Kusena
JF-Expert Member
- Aug 25, 2020
- 278
- 169
Naomba soft ya hiki kitabu kkWao! Kitabu kizuri sana: HOW TO STOP WORRYING AND START LIVING by Dale Carnegie.
Asante kwa huo ushuhuda. Usomaji vitabu unalipa sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba soft ya hiki kitabu kkWao! Kitabu kizuri sana: HOW TO STOP WORRYING AND START LIVING by Dale Carnegie.
Asante kwa huo ushuhuda. Usomaji vitabu unalipa sana!
Mkuu naomba soft yake[emoji120]Kwel kabisa ,kuna kipind nilikua nimekataa tamaa ya maisha ,sababu ya kero za mimba changa,yaan ile tapikatapika ,kukerwa na harufu za za karibu kila kitu iwe chakula,mafuta n.k.nikapata kwa rafik yangu kitabu kinaitwa"how to stop worries and start and start living" nikakisoma kwa utulivu mkubwa sana,aisee kilinibadilisha mind set nikapona kabisa,mate nkaacha kutema ,nkaanza kula kila kitu,nakurejea na majukumu yangu nikiwa imara kabisa.mpaka leo huwa sikisahau kuna vitu naviapply kwny maisha yng kupitia kile kitabu na majib ni mazur ,
Ukiunda itakua vyemaInaweza ikawa msaada? Labda, tuvute muda kidogo tujiridhishe kama ni jambo litakalokuwa na tija.
nakubaliana na weweNafikiri ni tabia ya Waafrika wengi. Ndiyo maana wengi wakishahitimu masomo wanaagana na vitabu.
Kwa Wazungu wengi, ni jambo la kawaida kujiwekea bajeti ya Vitabu kila mwaka.
Lakini kwa Watanzania, ni wachache sana wanaofanya hivyo.
niwape link la group la usomaji vitabu?Inaweza ikawa msaada? Labda, tuvute muda kidogo tujiridhishe kama ni jambo litakalokuwa na tija.
Mimi nilikuwa sijiamini kupanga statement hata kwenye vikao au waandishi wa habari wakija si ndo nikafunguka kwa jamaa yangu ambae yeye mzuri wa presentation akaniambia angalia movies na soma na vitabu sana leo hii kwenye kikao nondo nazotoa mpaka mi mwenyewe huwa najipigia makofi kichwani mwangu.Umetoa mfano wa vitabu vya alufu lela ulela ndio unaweza ukavidharau ila ni moja vitabu maarufu sana vya zamani ambavyo vimejaa fiction za majini ambapo nia ya vitabu ni KUELIMISHA,KUBURUDISHA NA KUFIKILISHA.Hadithi za alfu ulela tu.
Baada ya kusoma hivyo vitabu, hali ya kiuchumi imeongezeka? Kama ni hapana, hapo tunachoshana bure tu.
Tupeniwape link la group la usomaji vitabu?
PM au hapa?Tupe
Hapa kwa manufaa ya wasomajiPM au hapa?
Ni will smith ndo amendika auView attachment 2646392
Now on to this one “Economics in one Lesson” … Mwandishi wa hiki kitabu aende direct mbinguni. Ideas kibao jamaa kazifanya simple sana
Anza mdogo mdogoKwamfano mimi sijawahi kusoma ata kitabu kimoja.
Naanzaje? Nipe tips nianze mdogo mdogo.
Je, ata kusoma vitabu vya story ni msosi wa Medulla oblongata? Au lazima viwe vitabu vya "How to become Wiseman"? "You was born to win"?
Ni will smith ndo amendika au
Naye NENO akafanyika Mwili akakaa kwetu...........Yohana 1:14a neno analosoma mtu linaweza kumbadilisha na kumfanya afanane na Mawazo ya mwandishi wa kitabu...Ndiyo, kama ni story nzuri za kujenga. Lakini Mimi binafsi, kwa upande wangu, non fiction vinaweza vikawa ni vizuri zaidi.
Vitabu siyo chakula cha ubongo bali akili. Mimi siyo mtaalam wa Saikolojia lakini nafahamu kuwa ubongo siyo akili na akili siyo ubongo.
Ubongo ni kama hardware na akili ni software.
Unaposoma, yale maneno yanayoingia kwenye akili yako huweza kuathiri na utendaji kazi wa ubongo wako.
Ndiyo, maneno huweza hata kumwua mtu, ikiwa hayo maneno yataielekeza akili kufanya hivyo. Akili itakachofanya ni kuiamuru ubongo kusitisha utendaji kazi wake, na ubongo ukiacha kufanya kazi matokeo yake yanafahamika, kifo.
Lakini yakiwa chanya, yanaweza kumletea mtu manufaa makubwa sana.
Ndiyo maana ni muhimu sana kuwa makini na unachokidoma. Kitakubadilisha bila wewe kujua, sana sana ni watu wanaokufahamu ndiyo watakaobaini mabadiliko yako.
I tell you the truth, vitabu vinaweza kuathiri hata mwonekano wako wa nje. I know what I am talking about. Sijasimuliwa. Nimeiona kwa macho yangu.
Maneno humjengea mtu taswira fulani akilini mwake, na hiyo taswira hutawala matendo yake.
Maneno yanayoingia kwa wingi kwenye ufahamu wako hatimaye yatatafuta jinsi ya kujithihirisha kwa vitendo.
400 ni vitabu vingi, tena kwa miaka zaidi ya kumi?400? Too much, vya subject hiyo hiyo
Inashghulikiwa.Tupen Sasa hicho Cha Think and grow rich .
Au tupen link tudowload
Relax! Usitumie nguvu nyingi kukielewa, just read for leisure. Ukitulia nacho kwa muda kama nusu saa hivi, akili yako itajua umedhamiria kukisoma, itaanza kukupa ushirikiano na kujikuta unaanza kukielewa na hata kukipenda.Yaani mimi nikiamua nikae nishike kitabu nisome ni 30 seconds tu hamu ya kusoma inaisha hivyo ni kujilazimisha na nikilazimisha utamu siupati vizuri....
Nifanyeje?