Asilimia 50 ya wanaume wananuka midomo. Lawama ziende kwa nani?

Kazi yenu kuchunguza midomo ya watu na makwapa Kama yananuka au yananukia.Nyie katiba mpya mtaisikia kwa majirani.
 
Hivi utajijuaje kama unanuka mdomo. Mimi nimeshindwa kabisa kujua hili jambo aisee
 
Yani hili n janga kubwa sana, kuna mkaka nilishawah kudate nae , alikua handsome balaaa, njee n msafi balaaa, the day namkiss sikutaman kurudia tena , mdomo unanuka mavi yakasomee, mmmh yule kaka hapana jmn
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] njoo huku mzabzab wanakusema

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] njoo huku mzabzab wanakusema

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Imekuwaje tena jamani...mie mbona sijawahi kutana na warembo wa jf....mnanisingizia. warembo nikiwatongoza pm wanasema eti wee muendesha bodaboda huna cha kutuhonga
 
Yani hili n janga kubwa sana, kuna mkaka nilishawah kudate nae , alikua handsome balaaa, njee n msafi balaaa, the day namkiss sikutaman kurudia tena , mdomo unanuka mavi yakasomee, mmmh yule kaka hapana jmn
Madhara ya kunyonya kinyeo hayo
 

Ndio maana nikashauri kwenda kuwaona madaktari wa vinywa walau mara mbili kwa mwaka sio mbaya kabisa,
 
Kiujumla tukubali wengi wetu hatujali afya ya kinywa na hatujui kutunza vinywa vyetu. Tumekaririshwa kuswaki asubuhi kusukutua chap chap na kusepa.

Hakuna mwamko sana nchini kuhusu jinsi ya kutunza kinywa na jinsi ya kupiga mswaki.
 
Tumekuskia mkuu tutajirekebisha
..hili swala n kweli kabisa aisee

Alafu sio wanaume tuu kuna baadh ya wanawake pia n wazuri ila wananuka midomo n balaa
 
Kuzama uvinza na topeni, afu usafi wa kinywa hawawezi.

Suluhisho ni usafi wa kina, hakuna kuzakiwa na hsrufu wala magonjwa sugu ni uongo, usafi muhimu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hasa wavuta Sigara na wanywa pombe yaani akikusogelea wanawake wanao lala nao kitanda kimoja jumlisha Shuka moja wajengewe Sanam[emoji51][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Harufu ni ya sigara itakukera km hupendi harufu yake.
Inakuwa mbaya zaidi kama na mdomo ni mchafu. Ninaishi na mvuta sigara sijawahi kukereka harufu yake.
Harufu ya sigara au bangi ni tofauti na ya mdomo, tena harufu ya Bangi ina ka mshawasha fulan ka kuibua nyege zilikolala.

Ila huyo mtu awe msafi.
 
Yani hili n janga kubwa sana, kuna mkaka nilishawah kudate nae , alikua handsome balaaa, njee n msafi balaaa, the day namkiss sikutaman kurudia tena , mdomo unanuka mavi yakasomee, mmmh yule kaka hapana jmn
Hukutapika??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sijui na mm nipo? Nliwah fanya research kwa watu kadhaa
Walinmby hapan
Japo ni rafiki Angu
Sa sijui walinidanganya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…