Askari polisi adaiwa kufia gesti akimtoroka mwanamke, Polisi Watoa tamko

Askari polisi adaiwa kufia gesti akimtoroka mwanamke, Polisi Watoa tamko

Kwanini asitambulike wakati amepanga chumba na jina ameandikisha? Kumbuka aliepanga chumba ni Mwanaume na sio Mwanamke hata kama aliongopa jina wahudumu waliona Askari polisi ameingia na Mwanamke
Aliingia na uniform? Kaa ukijua si mhudumu wala huyo muuza k aliyejua marehemu ana kazi gani na wa wapi? Wamejua baada ya kupekua begi na kukuta documents za upolisi! Asa kwani yasingemkuta hayo hakuna ambaye angejua.
 
Mbona haileti maana guest house ili uandikishe jina unalipia kabisa chumba, kwahiyo kutoka unatoka muda wowote tu bila kuzuiwa sasa Kama alishatoka ndani kashindwaje kupitia getin had aruke ukuta mbona Ni kitu ambacho hakiwezekani? labda kama ipo sababu nyingine ya kutokutokea getin lakin siyo hiyo ya kutaka kumtoroka mwanamke
 
Mbona haileti maana guest house ili uandikishe jina unalipia kabisa chumba, kwahiyo kutoka unatoka muda wowote tu bila kuzuiwa sasa Kama alishatoka ndani kashindwaje kupitia getin had aruke ukuta mbona Ni kitu ambacho hakiwezekani, labda kama ipo sababu nyingine ya kutokutokea getin hapo lakin siyo hiyo ya kutaka kumtoroka mwanamke
Labda alikuwa hajalipia room
 
Hata hivyo baada ya askari polisi kufika walipekua begi la marehemu na kukuta chupa ya bia moja,chips ,radio ya mawasiliano simu mbili ikiwemo ya huyo mwanamke pamoja na vitu vingine.
Kaingia na mwanamke
Haijulikani alikwenda mizunguko mingapi
Chakula chips
Bia kwenye bag
Kuruka ukuta/gate
Lazima mambo yaende isivyo
 
Kuna kila dalili ya njama ya mauaji nyuma ya pazia (mlinzi na dadapoa ni sehemu ya mpango). Subirini uchunguzi ukamilike.
 
Askari amedhulumu K...ukute ndo michezo yake Mungu kamuumbua tu. Na ukute hata room hakulipia shenzy type. Marehemu hakuwa muungwana
Tutunze maneno, kuna njama za mauaji nyuma ya hilo tukio.
 
Nazidi kumuomba Mungu sana tu

Ila sio mnajikuta tatizo mnaendekeza sana hisia zenu ziwaendeshee maisha na mnamuacha Mungu

Kwani unadhani wasiozini hawana hamu? Ila ni kule kumuogopa Mungu na kumfuata


Dah we acha tu shetani ana nguvu sanaa ila tujaribu kumshinda shetani
Nilipokuwa na umri km wako nirifikiri hivyo km wewe Ila maisha yanabadirika.
Mshike Mungu haswaa.
 
Angetoka mlangoni, lazima mhudumu wa gesti angekwenda kumwamsha yule demu, ili ahakiki kama yuko salama (watu huwa wanaua wenzao "gesti" nakukimbia). Sasa hapo Mbinu ya askari kutoroka na Chips, Bia na simu ya demu si ingejulikana??? Ndio maana askari aliamua kutumia mbinu za "MEDANI" - kuruka ukuta na kuwakimbia wote - mhudumu wa "gesti", Mlinzi wa "gesti" na Malaya.
Hyo mrina unaijua vizuri anaruka anaelekea wap?

We umeenda kulala na Malaya alafu unatoka wewe kwanza muudumu aende kuhakiki chumba?

Kifupi Hilo eneo n maarufu kwa Biashara ya pombe na ngono hvyo wanawake wengi hununua vyumba kwasiku au wiki wengine Hadi mwez na hapo panakuwa Kama ndio ofisini kwao hvyo mteja huanza kutoka na kumuacha mwenyeji huo n utaratibu uliozoeleka kingine hata huyo Askari huenda wanamjua na kingine huenda huyo jamaa alikuwa Doria eneo Hilo na Kama n hvyo huwa anakuwa na wenzie.

Vyovyote unavyofikiri n sawa Ila ukijiongeza kidogo lazima utakuta Kuna kitu kulikuwa kinaenda isivyo kawaida either kwa huyo dada alielala na marehemu au marehemu mwenyewe.

Kingine jiulize kulikuwa na ulazima gani kusema Askari alichukua simu Mara katoka na chips Mara bia na karuka ukuta kwann wadingetumia lugha nyepesi na rahisi kuwa marehemu alikuwa amelewa chakari na alishindwa kujitambua mpaka mauti yanamkuta
 
Sasa afande kukimbia na chips kavu alitaka mwenzie akiamka ale nini?
 
Hyo mrina unaijua vizuri anaruka anaelekea wap?

We umeenda kulala na Malaya alafu unatoka wewe kwanza muudumu aende kuhakiki chumba?

Kifupi Hilo eneo n maarufu kwa Biashara ya pombe na ngono hvyo wanawake wengi hununua vyumba kwasiku au wiki wengine Hadi mwez na hapo panakuwa Kama ndio ofisini kwao hvyo mteja huanza kutoka na kumuacha mwenyeji huo n utaratibu uliozoeleka kingine hata huyo Askari huenda wanamjua na kingine huenda huyo jamaa alikuwa Doria eneo Hilo na Kama n hvyo huwa anakuwa na wenzie.

Vyovyote unavyofikiri n sawa Ila ukijiongeza kidogo lazima utakuta Kuna kitu kulikuwa kinaenda isivyo kawaida either kwa huyo dada alielala na marehemu au marehemu mwenyewe.

Kingine jiulize kulikuwa na ulazima gani kusema Askari alichukua simu Mara katoka na chips Mara bia na karuka ukuta kwann wadingetumia lugha nyepesi na rahisi kuwa marehemu alikuwa amelewa chakari na alishindwa kujitambua mpaka mauti yanamkuta
Kuna upishi wa stori nyuma ya kifo cha afande ila kwakuwa wafanya uchunguzi ni polisi wenzje ukweli utajulikana tu, tujipe muda na kutunza maneno.
 
😂😂😂😂😂Asa kwann nisicheke hicho kiepe alikuwa anapeleka wapi sasa ..
 
😂😂😂😂😂 mameki kwahyo kala mzigo alafu kamtoroka dem 😂😂😂😂😂 acha afe hapo utakuta walikubaliana 10k tu alafu anakimbia kipumbavu. Hizi kazi zinazochukua kuanzia la 7 na 4m4 waliofeli ni shida tupu😂😂😂😂😂😂😂.

Hivi naye ataimbiwa kamandaaaaa au watamzika kawaida kaaibisha jeshi😂😂😂😂
 
Kwanza guest mtu unaingia na kutoka anytime na no one to question you.Sasa ilikuwaje akaamua kuruka? Au ndo siku ilikuwa imefika?

Aisee tuoe kuepuka zinaa na vifo kama hivi daah
 
Alafu kibaya kamuacha dem ndani kalala hata hajui nn kinaendelea na polisi huyu ni kibaka maana kasepa na simu ya demu kwenye begi dah
 
Back
Top Bottom