IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
Aibu sana kwa jeshi la polisi Tanzania 🇹🇿walipekua begi la marehemu na kukuta chupa ya bia moja,chips ,radio ya mawasiliano simu mbili ikiwemo ya huyo mwanamke pamoja na vitu vingine.
Duh mungu nijalie mwisho mwema.vifo vingine ni aibu kubwa unaenda motoni directAskari Polisi jijini Arusha mwenye namba Pf 18530, Stewart Saiba(40) amefariki dunia katika mazingira ya utata katika nyumba ya kulala wageni ya Mrina shine iliyopo makao mapya jijini hapa...
Huenda mlinzi anamjua mke wa askariNajiuliza wamejuaje kwamba alikuwa anamtoroka mwanamke!?...
Sawa subiri serikali ikuletee chakula kwenu.Poti mwingine huyu,mnaiba hadi mbusu?laanakhum
Alionekana anaingia na mwanamke ila wakati wa kutoka anatoka mwenyewe kwa kuruka ukuta ,huko nikutoroka, tena na simu ya malayerNajiuliza wamejuaje kwamba alikuwa anamtoroka mwanamke!??
Je huyu marehemu alimwambia mtu kuwa nipo na demu nakula show, ila nikimalizana nae nitamtoroka!?...
Iko namna.. ndio hatuwezi jua zaidiLabda lakini..... na mi nimejizuia sana nisicheke, na kwanini aruke ukuta? Au kauwawa?
RIP Polisi wetu.
Dahhh! Nimeamini sio kila mahali unaweza tumia mbinu za kivitaZ
iko wapi zile mbinu za kivita
Yaani taarifa itolewe saa 9 usiku halafu Polisi wamekuja alfajiri?Alisema majira ya saa 9 usiku askari huyo alitoka ndani ya chumba hicho na kumwacha mwanamke huyo akiwa amelala fofofo. Aliendelea kudai kuwa marehemu alikwenda nyuma ya nyumba hiyo na kuruka geti la nyumba hiyo akiwa na lengo la kumtoroka mwanamke huyo, ndipo alipoangukia kichwa na kuchomwa na kitu chenye ncha kali kichwani.
Taarifa zinadai kwamba baada ya mlinzi kusikia kishindo alienda katika geti hilo na kumkuta askari huyo akiwa ameanguka chini akivuja damu nyingi kwenye paji la uso na kutoa taarifa polisi ambapo majira ya alfajiri polisi wenzake walifika na kukuta amepotez maisha.
Siku ya kufa ikifika hakuna wa kupingaDahhh! Nimeamini sio kila mahali unaweza tumia mbinu za kivita
akili iyo anaitoa wap.Sasa si angepita getini?
Unamuambia tu mlinzi, mimi askari. Unatoa kitambulisho na Radio call, over.
Umepata taarifa ya tukio fulani kutokea. Unatokomea unakojua wewe.