Askari polisi adaiwa kufia gesti akimtoroka mwanamke, Polisi Watoa tamko

Huyu alichapwa risasi tuache kuvungavunga
 
Watu wengine hawaibiwi kizembezembe
 
Kaiba simu ya mwanamke, manjagu wenzie waitwa saa tisa usiku ila wakafika baadaye sana na mwisho alikuwa anatoroka na chips🤣
Kuna kitu.Wamerahisisha hadithi mnoo!Kachukua simu bila ruhusa(wizi),kaangukia kichwa(wrecklessness).Katoroka eneo la tukio hatarishi(kagomea ukamatwaji halali).Lakini hilo la kupata jeraha na kuvuja damu(?) lichunguzwe.Hakukuwa na mob-justice kweli(kujichukulia sheria mikononi)?
 
Angetoka mlangoni, lazima mhudumu wa gesti angekwenda kumwamsha yule demu, ili ahakiki kama yuko salama (watu huwa wanaua wenzao "gesti" nakukimbia). Sasa hapo Mbinu ya askari kutoroka na Chips, Bia na simu ya demu si ingejulikana??? Ndio maana askari aliamua kutumia mbinu za "MEDANI" - kuruka ukuta na kuwakimbia wote - mhudumu wa "gesti", Mlinzi wa "gesti" na Malaya.
 
CCM bila polisi ni wepesi kama kalatasi
 
Wewe umemaliza kesi
 
Duh mungu nijalie mwisho mwema.vifo vingine ni aibu kubwa unaenda motoni direct
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu so kama huendi directly unapitia wapi kwanza kabla ya kwenda huko motoni? Au kumwagilia moyo kwanza?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama alisema pesa ya lodge atalipa kesho ili hali hana kitu?
 
tyc walijuaje kwamba alikua anatoroka. Jibu.
Walimuuliza huyo mwanamke maana hiyo alfajiri alikua hajatoka room, halafu alikua na uchovu wa kushughulikiwa na poti na chips alizoahidiwa atawapelekea watoto wake zillibwa pamoja na simu yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…