Askari polisi adaiwa kufia gesti akimtoroka mwanamke, Polisi Watoa tamko

Yaani mafunzo yote ya medani anakimbia mwanamke? Angetumia zile mbinu wanazitumia kuwadunda Chadema na vibaka.

Yaani huyu alikula ugali wa chuo Cha polisi bure
Hii mkuu aingii akilini nini kilichomfanya ashindwe kuondoka kwa kupitia mlangoni tena Askari? Ikiwa makahaba wanakuibia na kupita mlangoni bila tatizo lolote?
 
ndo aina ya askari wetu nchini

1--- ulalaji fofofo wa changudoa wake (kunamashaka kumbukeni chupa ya bia kwenye begi lazima huyo dada aliwekewa madawa kufanikisha utoro wake)

2---hakua na lengo lakutia lengo wizi wa cm mungu kajibu maombi
 
Kwani alikuwa kavaa uniform?
 
Toka lini gest aliepanga chumba akiondoka anaulizwa aliekuja nae kama vitu vyake vimetimia? Walau ingeingia akili kama huyo mwanamke anaondoka ndio aamshwe mwenyeji wake aulizwe swali kama hilo
 
Hii mkuu aingii akilini nini kilichomfanya ashindwe kuondoka kwa kupitia mlangoni tena Askari? Ikiwa makahaba wanakuibia na kupita mlangoni bila tatizo lolote?
Yaani utoroke Nia yako usitambulike ni wa wapi? Asa halafu ukajitambulishe Kwa mlinzi mie ni Askari si tayari ushauza ramani ya wapi unapatikana.
 
Toka lini gest aliepanga chumba akiondoka anaulizwa aliekuja nae kama vitu vyake vimetimia? Walau ingeingia akili kama huyo mwanamke anaondoka ndio aamshwe mwenyeji wake aulizwe swali kama hilo
Utoke sa2 asubuh mhudumu aanze kuangaika na wewe? Kajaribu Leo uchukue chumba halafu kurupuka sa9 za usiku kama utatoka kiurahisi.
 
Kwa hiyo Mr. Afwande alikuwa kapita na simu ya huyo dada halafu akawa anamtoroka kukwepa "tozo" ya mbususu?
 
Alichukua demu, kapiga mashine, kawaza hana cha kumlipa kampiga na simu akawa anamtoroka ndio mauti yakamkuta,
Hao ndio polisi wetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yaani utoroke Nia yako usitambulike ni wa wapi? Asa halafu ukajitambulishe Kwa mlinzi mie ni Askari si tayari ushauza ramani ya wapi unapatikana.
Kwanini asitambulike wakati amepanga chumba na jina ameandikisha? Kumbuka aliepanga chumba ni Mwanaume na sio Mwanamke hata kama aliongopa jina wahudumu waliona Askari polisi ameingia na Mwanamke
 
Huyo ni askari mwenzao wameitikia wito alfajiri, je raia hoehae
 
Utoke sa2 asubuh mhudumu aanze kuangaika na wewe? Kajaribu Leo uchukue chumba halafu kurupuka sa9 za usiku kama utatoka kiurahisi.
Mkuu unatoka tu kwani unafikiri hao Malaya uwa wanatoka muda gani? Tena kwa yeye Askari polisi ndio akuna hata shida ya kujieleza
Wangesema amefumaniwa katika harakati za kutoroka hiyo ingeingia akilini lakini kwa maelezo hayo Kuna utata na Kuna watu itabidi wawajibike kwa kifo hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…