Askari Polisi amuua kwa Risasi Mlinzi wa Baa ya Boardroom Iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam

Askari Polisi amuua kwa Risasi Mlinzi wa Baa ya Boardroom Iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam

Nina mshkaji ni njagu tena ana nyota moja aisee anahangaika kusaka kazi aachane na unjagu yani anajilaumu balaa in fact akimaliza law school akipata mhuri anasepa maana huko ni stress sana na maslahi sio rafiki.
Usiwe na ushkaji na polizei!

Ipo siku utanishukuru
 
Ila tukumbushane tu..askari anapokuwa na silaha usijibizane nae hadi kufika kitendo cha kumgusa au kugusa silaha inaweza kutafsiriwa Kwake unataka kumpora silaha.....
Kama hvyo wangeenda kituon kumuandk ripot , huwez askar polis ukamjeruhi raia asie na slaa na ukaacha kutoa taarfa

Kuna sheria nyingi za umilik slaa zinavunjwa
 
Tutaongea humu lakini mtu aliyeshika silaha na unajua kabisa afya yake ya akili sio nzuri, kuwa nae makini sana. Usisukumane nae!
Ni kweli.ila hao jamaa wa milangoni misifa sana.kuna siku nimeingia sehemu.nimesimama tu mule ndani,akaja mmoja akaniuliza unafanya nini?nikamwambia nimesimama naangalia shoo.akaniambia today nje haturuhusu watu kukaa bure.
Sio kama sikuwa na hela ya kununua kitu mule ndani,ila uwa napenda kuangalia tu misambwanda.nikatoka kinyonge kuepusha shari

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Msako wa malaya unaingia bar na AK47, hawa walikuwa kwenye msako wa majambazi malaya ni kisingizio tu.
Sema walikuwa kwenye msako wa hela.

Wakikaaga kwenye magari yao ya doria yale usiku wa manane wanaboreka wanaamua kutafuta hela kijinga.

Ujue polisi akiwa kwenye gari la doria usiku wa manane alafu wewe uko bar unakunywa unacheza kamziki naturally huwa wanakuwa na chuki.
 
Polisi wengi wanajiona kama wana ubavu sana kuliko mwananchi wa kawaida, imagine unamkamata mtu saa 5 usiku kwenye bar yenye leseni eti ni mzururaji unamuweka rumande wiki 3 halafu kila mtuhumiwa akiletwa mahakamani wewe askari huji mwisho wa siku mtu anaachiwa kuwa mshitaki hana haja ya kuendelea na kesi hiyo.

Je wiki hizo tatu alizoshikiliwa huyo mtu asingetekeleza majukumu yake na kupata mahitaji yake na familia yake?

Jeshi la police jitafakarini
 
Mungu angekuwepo, kusingekuwa na bunduki.

Uwepo wa bunduki ni ushahidi Mungu hayupo.

Pole kwa wafiwa.
Ni kweli Mungu angekuwepo isingekuwa na haja ya kuwa na bunduki

Kwani Mungu angekuwa ni ulinzi tosha

Yanini bunduki wakati Mungu menye ujuzi wa yote,anaona yaliyopita,na yajayo anaweza kukutonya tu kuwa kuna hatari

Tunatumia bunduki kwa kuwa hatuna uhakika Mungu atajibu kwa wakati

Ndo maana Papa analindwa na Swiss guard

Ndo hata maaskofu wa majimbo wanapokuja majimboni husindikizwa na ulinzi wa polisi wetu
 
Sema walikuwa kwenye msako wa hela.

Wakikaaga kwenye magari yao ya doria yale usiku wa manane wanaboreka wanaamua kutafuta hela kijinga.

Ujue polisi akiwa kwenye gari la doria usiku wa manane alafu wewe uko bar unakunywa unacheza kamziki naturally huwa wanakuwa na chuki.
Anahisi unafaidi?
 
Sema hao mabodi gani wa bar wanajikutaga makomando sana.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Kuna baadhi ya Askari wanapenda ubabe na kujivimbisha kwa raia au walinzi wengine ambao aidha wapo kwenye makampuni ya ulinzi au ni walinzi binafsi hususani usiku wakiwa wamevaa kiraia hajavaa uniform

Nb: Usisahau askari polisi ni mlinzi alieajiriwa na Serekali
 
Kuna baadhi ya Askari wanapenda ubabe na kujivimbisha kwa raia au walinzi wengine ambao aidha wapo kwenye makampuni ya ulinzi au ni walinzi binafsi hususani usiku wakiwa wamevaa kiraia hajavaa uniform

Nb: Usisahau askari polisi ni mlinzi alieajiriwa na Serekali
Aahaaaa

Eti walinzi
 
Back
Top Bottom