Askari Polisi amuua kwa Risasi Mlinzi wa Baa ya Boardroom Iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam

Askari Polisi amuua kwa Risasi Mlinzi wa Baa ya Boardroom Iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dares Salaam lilipokea taarifa kuwa tarehe 29/11/2023, Saa sita usiku maeneo ya Sinza Mapambano Kinondoni askari wawili walimjeruhi kwa risasi mu mmoja aliyefahamika kwa Jina la Razaki Azan mwenye umri miaka 29 mlinzi binafsi wa Bar itwayo Board room iliyopo Sinza Dar es salaam ambaye baaade alipoteza maisha.

Jeshi la Polisi tayari limewakamata askari hao na mambo ya kisheria yanakamilishwa na watachukuliwa hatua za kisheria haraka Kadri iwezekanavyo kwa kufuata mifumo ya kisheria kiwa ni pamoja na kuwafikisha mahakamani

Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospital ya Rufaa Mwananyamala kukamilisha uchunguzi.
View attachment 2828811

View attachment 2828814

Video hizi zifuatazo chini zinaonesha namna hali ilivyokuwa kabla ya tukio la Askari kufyatua risasi
View attachment 2828866

View attachment 2828868

View attachment 2828869
WaTz tuache ulimbukeni wa madaraka, hali nzuri tulizonazo. Vyote hivyo ni kwa huduma kwa WaTz wenzetu. Tufuate sheria, tufuate katiba!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Chadema fanyeni yenu
Msisubiri tuwaambie
JF ukiandika maandam…. Wana Futa
Golden opportunity itumieni
Wamejilenga wenye mitutu
 
Upolisi ni kazi ya laana.
Mimi ndio maana hata waniombe vipi lift siwapi kenge hao. Akisimamisha namwambia nishafika, nakunja pale. Imeisha hiyo.
 
Hizi nguruwe hazikomi na matukio ya kipumbavu? Niliwahi kushuhudia ajali ya Polisi wakiwa na defender sikutoa msaada kabisa walikua wanalia kama watoto. Niliona ni kama natazama swala yanavyohangaika kukatika roho.
Mbwa hawa aisee. Polisi nikikuta analambwa risasi na jambazi na mwingine kajificha ntamuonesha mwingine huyu huku.
Kutoka moyoni kabisa, nawachukia polisi na jeshi lote la polisi.
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dares Salaam lilipokea taarifa kuwa tarehe 29/11/2023, Saa sita usiku maeneo ya Sinza Mapambano Kinondoni askari wawili walimjeruhi kwa risasi mu mmoja aliyefahamika kwa Jina la Razaki Azan mwenye umri miaka 29 mlinzi binafsi wa Bar itwayo Board room iliyopo Sinza Dar es salaam ambaye baaade alipoteza maisha.

Jeshi la Polisi tayari limewakamata askari hao na mambo ya kisheria yanakamilishwa na watachukuliwa hatua za kisheria haraka Kadri iwezekanavyo kwa kufuata mifumo ya kisheria kiwa ni pamoja na kuwafikisha mahakamani

Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospital ya Rufaa Mwananyamala kukamilisha uchunguzi.
View attachment 2828811

View attachment 2828814

Video hizi zifuatazo chini zinaonesha namna hali ilivyokuwa kabla ya tukio la Askari kufyatua risasi
View attachment 2828866

View attachment 2828868

View attachment 2828869
This is tol Much sasa.

Walishazoea kutumika kufanya matukio hayo. Sasa hawaogopi
 
Sijui dunia inaenda wapi? Hao Sheria ifate mkondo wake mapema maana hakuna aliye na haki ya kumunyang'anya mwenzake haki ya kuishi.Kwa nini wanatembea na siraha Hadi bar? Naisi binadamu tuna shida Sana kwa sasa Mungu tu aingilie Kati ili ulimwengu uwe sehemu salama pa kuishi
Tayari wameshapoteza uhai wa mtu.
Afrcans poor
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dares Salaam lilipokea taarifa kuwa tarehe 29/11/2023, Saa sita usiku maeneo ya Sinza Mapambano Kinondoni askari wawili walimjeruhi kwa risasi mu mmoja aliyefahamika kwa Jina la Razaki Azan mwenye umri miaka 29 mlinzi binafsi wa Bar itwayo Board room iliyopo Sinza Dar es salaam ambaye baaade alipoteza maisha.

Jeshi la Polisi tayari limewakamata askari hao na mambo ya kisheria yanakamilishwa na watachukuliwa hatua za kisheria haraka Kadri iwezekanavyo kwa kufuata mifumo ya kisheria kiwa ni pamoja na kuwafikisha mahakamani

Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospital ya Rufaa Mwananyamala kukamilisha uchunguzi.
View attachment 2828811

View attachment 2828814

Video hizi zifuatazo chini zinaonesha namna hali ilivyokuwa kabla ya tukio la Askari kufyatua risasi
View attachment 2828866

View attachment 2828868

View attachment 2828869
Askari polisi wanatajwa kuwa ndiyo kada yenye akili ndogo kuliko hata mgambo
 
Chalamila unaona madhara ya zoezi lako kufanyika bila kutumia akili? Huyo mwananke anasema wanakamatwa kwakuwa wanajiuza, je wanajiuza bar au guest house?
 
Sijui dunia inaenda wapi? Hao Sheria ifate mkondo wake mapema maana hakuna aliye na haki ya kumunyang'anya mwenzake haki ya kuishi.
Mizengwe imeanza mapema huoni wamemtaja marehemu kwa jina Razak lakini wao hawajatajwa majina inakwenda kufichwafichwa kwa maslahi ya wauaji?
 
Back
Top Bottom