Kwani uongo sasa, jamaa aliepita alitufungua macho.....watu wakirushiwa vimchele kidogo wanapoteana.......upinzani sio lelemama hasa wakujifanya wanaharakati
Huyu siyo Askofu acha uongo huyo ni Padre anaitwa Kitima mwanachama kidakida wa Chadema. Serikali ya awamu ya 5 ikiongozwa na Rais mpendwa wa Watanzania Magufuli ilimuthibiti kwenye wizi waliokuwa wanafanya kupitia Hospitali ya Bugando ambayo inaongozwa na RC kwa ruzuku ya serikali kama ilivyo KCMC. Hivyo hawezi kuingolea vizuri serikali ya Magufuli hata siku moja.Bila kumumunya maneno wala kumuogopa mtu yeyote askofu huyu amekemea vikali wizi wa uchaguzi uliofanywa na mwendazake mwaka 2020. Hebu msikilize anavyopiga nyundo laivu bila cheng...
Mbona wewe hukutekwa?Ingekuwa kurushiwa tu mchele mtu anakwenda sawa, watu walitekwa na kuhatarishiwa usalama wao, watu walihujumiwa shughuli zao za kuwaingizia vipato ulitegemea nini?
Sawa tumemsikia askofu. Ila kwanini hakukemea wakati ule kosa linafanyika?
Bila tume huru ya uchaguzi hii ni kumpigia mbuzi gitaa.
Huyu siyo Askofu acha uongo huyo ni Padre anaitwa Kitima mwanachama kidakida wa Chadema. Serikali ya awamu ya 5 ikiongozwa na Rais mpendwa wa watz Magufuli ilimuthibiti kwenye wezi waliokuwa wanafanya kupitia Hospitali ya Bugando ambayo inaongozwa na RC kwa ruzuku ya serikali kama ilivyo KCMC. Hivyo hawezi kuingolea vizuri serikali ya Magufuli hata siku moja.
Mbona wewe hukutekwa?
Ile awamu ya pili haikutoka kwa MUNGU ndio maana yuko kaburini akiozaMuambie ya Mungu ampe Mungu na ya Kaisari ampe Kaisari. Ina maana amepitwa na somo la mamlaka yoyote hutoka kwa Mungu?
Kwa akili hata za mtoto wa chekechea anaamini Tundulisu alishinda uchaguzi?. Hawa maaskofu wa mataifa bwana.
Ni uongo upinzani ulishindwa kihalali na kwa akili hizi CCM itaendelea kushinda kwa zaidi ya miaka 100. Upinzani haujajua sababu ya kushindwa bali wanaendeleza propaganda za kisiasa tu ambazo hazitawasaidia.Uko sahihi, je amesema uongo?
Basi mshukuru MunguKwani Iddy Amini aliua waganda wote ndio akawa dictator? Vitisho kibao na kuitwa kiujanja kwenye pm zangu ilikuwa kibao. Kama sio hizi fake I'd ingekuwa balaa.
Ni uongo upinzani ulishindwa kihalali na kwa akili hizi CCM itaendelea kushinda kwa zaidi ha miaka 100. Upinzani haujajua sababu ya kushindwa bali wanaendeleza propaganda za kisiasa tu ambazo hazitawasaidia.
Wizi wa kura umemkasirisha Mungu ameamua kuiadhibu nchi kwa kuinyima mvua. Are we together now?Mtoa mada bhana 😂 sasa wizi umesababishaje ukosefu wa mvua.? Bc tuseme nchi zenye jangwa zilifanya wizi mkubwa mpaka wakalaaniwa wakapewa ardhi isiyo na rutuba.
Wewe uligombea jimbo gani ili tu flash back memory zetu tuone kama ulikuwa na ushawishi wowote kwenye jimbo hilo.Unadhani ule uchaguzi ulifanyika tukiwa nje ya nchi nini. Ukitaka kujua hakukuwa na uchaguzi bali upuuzi, ingia kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi, ambapo sheria inataka matokeo yawekwe kama matokeo yale yapo. Hakuna anayekataa kushindwa tulitaka uhalali wa huo ushindi.
Usimuattack mtu personally. Jibu hoja alizotoa wewe nyumbu wa Lumumba. Mkiendelea na wizi wenu huo wa kishetani nchi italaaniwa hadi Yesu anarudi.Huyu siyo Askofu acha uongo huyo ni Padre anaitwa Kitima mwanachama kidakida wa Chadema. Serikali ya awamu ya 5 ikiongozwa na Rais mpendwa wa watz Magufuli ilimuthibiti kwenye wizi waliokuwa wanafanya kupitia Hospitali ya Bugando ambayo inaongozwa na RC kwa ruzuku ya serikali kama ilivyo KCMC. Hivyo hawezi kuingolea vizuri serikali ya Magufuli hata siku moja.
Wewe uligombea jimbo gani ili tu flash back memory zetu tuone kama ulikuwa na ushawishi wowote kwenye jimbo hilo.
Sasa mkuu unataka nisiseme kama alikuwa mpigaji pesa zilizokuwa zinapatikana hapo Bugando??Usimuattack mtu personally. Jibu hoja alizotoa wewe nyumbu wa Lumumba. Mkiendelea na wizi wenu huo wa kishetani nchi italaaniwa hadi Yesu anarudi. Tuliza kalio chini ufikiri kwa makini utaelwa. Najua kichwa chako kimejaa konokono ndio maana mambo madogo kama haya yanakushinda kuelewa.
Haya tutajie jimbo hata moja ambalo unaushahidi mgombea ubunge wako aliibiwa kura!!?Kujua uchaguzi ulikuwa na wizi lazima niwe nilikuwa mgombea? Punguza utoto dogo.
Hiyo hoja ifungulie uzi wake watu wachangie; usitutoe kwenye reli. Sasa hivi tunaongelea wizi wa uchaguzi uliofanywa na mwendazake mwaka 2020 na wewe unajua hilo na unafahamu kila mbinu iliyotumika kupora uchaguzi ule lakini unajitoa ufahamu kwa makusudi kwa kupotosha mada iliyopo mezani.Sasa mkuu unataka nisiseme kama alikuwa mpigaji pesa zilizokuwa zinapatikana hapo Bugando??
Ujinga umeandika. Kama upinzani bado unaiba kwa nini? Wezi na vibaka nyie!Upinzani bado nchi hii , acha waibe tu hakuna namna
Hatujawahi ona mgombea yoyote aliyeenda mahakamani kupinga uchaguzi huo bali ni nyumbu tu wako mitandaoni na wezi ndio wako kuaminisha dunia kuwa waliibiwa lakini hawana ushahidi wowote.Hiyo hoja ifungulie uzi wake watu wachangie; usitutoe kwenye reli. Sasa hivi tunaongelea wizi wa uchaguzi uliofanywa na mwendazake mwaka 2020 na wewe unajua hilo na unafahamu kila mbinu iliyotumika kupora uchaguzi ule lakini unajitoa ufahamu kwa makusudi kwa kupotosha mada iliyopo mezani.
Haya tutajie jimbo hata moja ambalo unaushahidi mgombea ubunge wako aliibiwa kura!!?