Askofu Bagonza amnanga mkulu kimafumbo, soma kwa kifupi

Mimi kwa mtazamo wangu IMANI uanza ndipo zinafuata AKILI

1. Imani ujenga HAKIKA/Hakikisho ambapo AKILI utumika kuchakata Kama Mashine na kutoa kitu ambacho Imani Imekijenga.

2.Kuna AKILI na MAARIFA, akili ujengwa na Binadamu lakini MAARIFA utoka kwa MUNGU.
Unaweza ukawa na AKILI lakini Mwenyezi MUNGU asikufunulie MAARIFA ya kutumia Akili zako.
2 mambo ya nyakati : Mlango 1
10 Basi sasa nipe hekima na maarifa, nijue kutoka na kuingia mbele ya watu hawa; kwa kuwa ni nani awezaye kuwahukumu watu wako hawa walio wengi?


Mathayo : Mlango 11
25 Wakati ule Yesu akajibu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga.

Warumi : Mlango 10

2 Kwa maana nawashuhudia kwamba wana juhudi kwa ajili ya Mungu, lakini si katika maarifa.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Corona ni homa ya kawaida....."
Halafu dunia nzima inahaha kwa sababu ya homa ya kawaida?
Hata hapa kwetu tulifunga shule na vyuo kwa sababu ya homa ya kawaida?
Hiyo akili tuliyopewa na Mungu tulishindwa kuitumia kujua kwamba corona ni homa ya kawaida? Au tulifuata mkumbo?

Akili yangu inakataa kabisa kuona corona kama homa ya kawaida. Sitakuhukumu wewe kuiona ni homa ya kawaida maana akili yako imeona hivyo. Nami usinihukumu kwa kuiona siyo homa ya kawaida.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumuamini Mungu ndo ujitie hatarini atakuokoa?
Usimjaribu BWANA Mungu wako
Kila anapita kwa kiwango chake. Sijui kama hili ni LA kumjaribu Mungu au ni la kumtukuza. Kama unajua neno lake linasemaje na unamfuata kwa uaminifu kumjaribu ndio hasa tunalotkiwa kufanya.
Neno lake linasema "
Wewe ni wa "mwilini" huwezi jua mambo ya "rohoni" kwahiyo unaposema adhihirishe nguvu za mungu its as if zipo kariakoo unaenda kuziokota tu, hujui ni suala la imani, pimbi
Asante. Wewe ndiye unaejua na wa rohoni zaidi ingawa hauko rohoni. Matusi yako yanakusuta.
 
Tanzania ya viwanda inayowekeza juhudi kuwaua watu wake ili kuokoa uchumi wake!!!sasa sijui wakifa wakabaki wachache watatawala nini!!jiwe anataka wapinzani wake wafe ili asipate upinzani mkali!!KUMBUKENI CCM IMEWEKEZA VIJIJINI AMBAPO CORONA HAIFIKI NDO MANA WAMEACHA MJINI WAFE MAANA NDIO WASUMBUFU NA WAJUAJI!!!
 
Rais ni binadamu Kama wengine ana mapungufu yake,lazima aambiwe ,bahati mbaya Jiwe ana mapungufu makubwa sana.
 
...Baba Askofu katupa jiwe gizani sijui nani limempata upande wa pili? Asante kwa kutufikirisha AKILI na IMANI
 
Ukimfuata Jiwe utalala mlango wazi. Hamna kitu kichwani. Sasa kwa nini alikimbilia mafichoni?

Tulitekeleza ushauri wa kitaalam wa kufanyia kazi nyumbani! Kufanyia kazi nyumbani siyo kuogopa korona!
 
Hawa ndio maaskofu Malaya tu na hana adabu kabisa pimbi huyu, kwanza anathubutuje, pumbavu kbsa hili dudu na limeandika ili aibike nani kama halitaki lihamie huko kwenye lockdown, Mungu hapangiwi procedures.
Punguza jazba jibu kwa HOJA kama umeshindwa kimya pia ni jibu
 
kwakweli tupunguze lugha kali, Bagonza hajataja mtu
 
Kuna maaskofu wengi wana hirizi na chale za kinga...
Yuko sawa Bishopu...
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…