Askofu Bagonza: Ushindi wa kishindo ni kaburi la maendeleo Afrika

Haki, uhuru na demokrasi ni wajibu wa Taifa lolote kuhakikisha inapatikana kwa raia wote wa kila Nchi duniani na siyo USA tu.
Bagonnza karefer USA kama.mfano

Kumbe hujamsoma
 
Haki, uhuru na demokrasi ni wajibu wa Taifa lolote kuhakikisha inapatikana kwa raia wote wa kila Nchi duniani na siyo USA tu.
Hujajibu hoja

Our democracy ni ipi?
 
Haki, uhuru na demokrasi ni wajibu wa Taifa lolote kuhakikisha inapatikana kwa raia wote wa kila Nchi duniani na siyo USA tu.
I wish CDM wangeanzia ndani hayo wanayoabudu
 
But not maccm because over there their house is in excellent condition. Usinilazimishe kuelewa pumba zako.
Tayari umenielewa

Charity begins at home
 
But not maccm because over there their house is in excellent condition. Usinilazimishe kuelewa pumba zako.
Ukitaka haki, usawa, Uhuru na dwmokrasia usinyooshe kidole.... Zungusha pangaboi liguse kila kona

Usicheze double standards... Iwe CCM, CDM, democrats, PLO, unita etc.

That was my point

Ndio maana nikauliza bagonnza mlengo wake ni upi?

Maana kama ni hivyo unavyohubiri basi marekani sio mfano bora

Na haya yanaenda Hadi kwenye familia

Huwezi kutaka haki na usawa wakati wewe ni abusive even to your family and friends

Tuitazame haki Kwa kiini chake na sio milengo ya wachache
 
Ni maneno ya siasa ayo.
Iyo list yako yoote imekataa kuandamana inamaana wameridhika na maisha yao na bado mnaemtuhumu akipitana msafara barabarani wanajaa barabarani uku wakimshangilia.
 
Mkuu, tukuombe uwatafsirie MATAGA uzi huu kwa lugha nyepesi kwani ninaamini wote wametoka hola hapa!
 

Usijifanye unanijua! Chadema huwezi kufanananisha na yanayojiri maccm. Huyo anayejiita mwendawazimu amefikia hadi kubambikia watu kesi na hata kuwaua kwa sababu tu wamemkosoa hadharani au kumuandika vibaya.

Hakuna uwiano wowote ule kati yanayojiri ndani ya maccm na Chadema.

Narudia tena mlengo hauhusu kitu kwenye kuhakikisha raia wa Nchi yeyote ile duniani kuhakikishiwa haki, uhuru na demokrasia ya kweli.
 
Mimi uwa natembelea nchi za jirani mara kwa mara.
wenyeji wa izonchi ukifika tu wanaanza kukuuliza habari za JPM,yani uwaambii kitu.
kwenye mioyo yao wanatamani na wanaomba wapate kiongozi kama JPM,yani uwaambii kitu.
JPM anafanyiwa maombi mpaka na majirani.
 
Bagonza NI mwanasiasa aliyejificha kwenye kivuri Cha dini
 

Rafiki zangu raia wa Jumuiya ya ulaya wananiambia Dunia nzima hakuna rais kama Magufuli

Sababu wanayotoa ni kwamba Magufuli ni rais wa watanzania na anafanya kazi kwaajili ya watu wake

Sasa wewe mtanzania kama huelewi maana basi tena
 
Kutunga jambo ni simple tu,endeleen kujidanganya
 
Unabehave kama.mataga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…