Askofu Benson Bagonza: Kuweka nchi sawa ni kazi isiyoisha

Mheshimiwa rais Samia naomba ukipata muda upitie hii kanuni ya kisayansi iiywayo:
Heisenberg's Uncertainty Principle.
 
Samahani, hongera askofu kwa kumpongeza mama Samia, ila day akitokea kiongozi yoyote ambae ataongoza nchi kibabe msiache kuongea ukweli pia kumwambia ukweli
Bagonza unamjua au unamskia unachoongea wewe ni past tense tulishatawalia na dikteta bagonza aliongea Sana hakunyamaza Kama viongozi wengine wa dini unless ndio unamskia leo.
 
Piga spana
 
Mchakato wa Katiba mpya ni gharama ambayo inatakiwa kufidiwa na pesa za walipakodi ambao wanategemea kodi itumike kujenga uchumi badala ya kutumika kwa vitu ambavyo haviongezi uzalishaji. Rais Samia yupo sahihi, kujenga uchumi kwanza Katiba baadaye
Mawazo finyu.
Bunge linaendeshwa kwa kodi zetu, mahakama nayo inategemea kodi zetu sasa tuseme kwa vile tunahitaji kujenga uchumi basi Bunge, mahakama zisimame mpaka miradi ikamilike?
 
Well said Doctor!

Ni kweli kabisa kazi ya kuweka nchi sawa ni kazi isiyoisha. Hata Biden anahangaika kuiweka nchi sawa huko USA baada ya vurugu za Trump ...!

Vile vile Trump alidai anaiweka nchi sawa baada ya Obama ....... Same as Obama alidai anaiweka nchi sawa baada ya Bush .....!!

Badala ya Mama kuja na story aseme tu nini msimamo wake .....!!
 
Samahani, hongera askofu kwa kumpongeza mama Samia, ila day akitokea kiongozi yoyote ambae ataongoza nchi kibabe msiache kuongea ukweli pia kumwambia ukweli.
Labda wewe humjui Bagonza.

Enzi za mwendazake mbona alikuwa anaweka nondo Kama kawa .

Maza aelewe soon ataanza pita kwenye mstari wa mwendazake watu hawatakuwa nae Tena .

Watu wanataka Uhuru ukiwanyima hata ukiwapa mishahara na posho na marupurupu watakulaani tu watataka siku yako ya kuondoka ifike haraka unawachosha tu .

Ameanza vizuri Ila anaelekea kubaya
 
Mchakato wa Katiba mpya ni gharama ambayo inatakiwa kufidiwa na pesa za walipakodi ambao wanategemea kodi itumike kujenga uchumi badala ya kutumika kwa vitu ambavyo haviongezi uzalishaji. Rais Samia yupo sahihi, kujenga uchumi kwanza Katiba baadaye.
Tuna katiba ya warioba Ina maoni na mapendekozo toka kwa wananchi .

Kinachoweza fanyika Ni marekebisho machche then itakapigiwa kura na wananchi na ikaanza tumika rasmi .

Sidhani Kama Kuna gharama kubwa naa tulishaingia gharama kwenye mchakato wa awali ambao hatukufika hitimisho.

Mwambieni mama katiba MPYA Ni hitaji la wakati sio hisani yake .

Tanzania ili iendelee mwarobaini wake Ni KATIBA MPYA.

ashupazaye shingo huvunjika.
 
Mchakato wa Katiba mpya ni gharama ambayo inatakiwa kufidiwa na pesa za walipakodi ambao wanategemea kodi itumike kujenga uchumi badala ya kutumika kwa vitu ambavyo haviongezi uzalishaji. Rais Samia yupo sahihi, kujenga uchumi kwanza Katiba baadaye.
Kama huna muongozo kamwe huwezi kufikia huo uchumi imara.mambo mengine ni porojo tu za wana siasa.
 
Mheshimiwa rais Samia naomba ukipata muda upitie hii kanuni ya kisayansi iiywayo:
Heisenberg's Uncertainty Principle.
Unasemaje mkuu. Hebu itandaze hapa kwa ufupi tuone namna inamzodoa kwa alichokiamua
 
Kwa kifupi Mama kachemsha, sijui ndio KUDEMKA huko
 
Mama ni mzanzibar hawajui watanganyika vizuri... kadri unavyowanyenyekea watataka kukupanda kichwani ... kila unavyoangaika uonekane mwema wenzio wanakudharau ... MBWA ANATAKIWA APELEKWE KIMBWAMBWA
 
Ngoja sasa na hili la korona ulazimishwe lockdown na mbowe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…