Ashupazaye shingo huvunjikaaa!...sijui kama wamekuelewaaTuna katiba ya warioba Ina maoni na mapendekozo toka kwa wananchi .
Kinachoweza fanyika Ni marekebisho machche then itakapigiwa kura na wananchi na ikaanza tumika rasmi..
Zinakutosha kichwaniMama ni mzanzibar hawajui watanganyika vizuri... kadri unavyowanyenyekea watataka kukupanda kichwani ... kila unavyoangaika uonekane mwema wenzio wanakudharau ... MBWA ANATAKIWA APELEKWE KIMBWAMBWA
vp bado anaupiga mwingi?
Mataga ktk ubora wako
hamjawai kuridhika nyie, mbna magu alinarbu kubana maazi ya mambo na kupunguza ukubwa wa wizara mbalimbali kwa kuziunganisha il kupunguza upotevu wa pesa, na mengi alfanya kama kuondoa ama kusimamusha baazi ya sherehe za kitaifa, na zile fedha kuzielekeza ktk maendeleo, na watu mlipinga sana, sasa mishahara ya wabunge ikibanwa huko na kuingilia ajira za watu huko huoni kuwa kuna bomu jipya ltalipuka,...hii point yaki ishafanyika sana haina maanaUchumi ni Endelevu sio swala la Mwaka mmoja au miwili hivyo hakuna Siku tutasema sasa Uchumi wetu umekuwa tuache kushughulikia Uchumi tushughulikie Katiba.
Serikali ina Matumizi Makubwa yasiyo ya Lazima Pesa nyingi za Walipa KODI Zinaishia huko kwa Mfano Mishahara ya Wabunge 400,DC 140,Das140,Ded 200 na Magari yao Unatarajia UCHUMI Uwe Mzuri?
Labda kama umezaliwa Leo humjui...Dr BagonzaSamahani, hongera askofu kwa kumpongeza mama Samia, ila day akitokea kiongozi yoyote ambae ataongoza nchi kibabe msiache kuongea ukweli pia kumwambia ukweli.
Enzi za meko alikua wapi? Tumewaskia kina mdude, Tundu Lissu, Lema, Sugu, Fatma karume, Maria Sarungi, Jaji warioba nk but yeye kaja juziLabda kama umezaliwa Leo humjui...Dr Bagonza
Hu kuwa na akiri basi. Askofu amesema uongozi wa kisheria yaani katiba mpya huweza kuwafanya wawekezaji waje kwa kujiamini kwamba kuna mfumo imara. Je uwekezaji siyo uzalishaji?Mchakato wa Katiba mpya ni gharama ambayo inatakiwa kufidiwa na pesa za walipakodi ambao wanategemea kodi itumike kujenga uchumi badala ya kutumika kwa vitu ambavyo haviongezi uzalishaji. Rais Samia yupo sahihi, kujenga uchumi kwanza Katiba baadaye.
Ndio maana nakwambia huenda umezaliwa leo au ulikuwa unasoma sana taarifa za Bashiru na polepoleEnzi za meko alikua wapi? Tumewaskia kina mdude, Tundu Lissu, Lema, Sugu, Fatma karume, Maria Sarungi, Jaji warioba nk but yeye kaja juzi
Hakuna maslahi mapana ya nchi kama kuwa na katiba nzuri yenye kujenga taasisi imara kwa ajili ya maendeleo endelevu na sio hii ya kutegemea hisani na maamuzi ya mtu mmojaVyote hivi vinatakiwa viende sambamba au kimojawapo kisubiri kwa maslahi mapana ya nchi?
Usitusemee WatZ shenzi wewe!Mama anacheka na nyani ... sisi Watz hatutaki katiba mpya wewe mbelgiji mweusi unasemaje?
Bila samahani, huyu Askofu amekuwa wa msimamo nyakati zote.Samahani, hongera askofu kwa kumpongeza mama Samia, ila day akitokea kiongozi yoyote ambae ataongoza nchi kibabe msiache kuongea ukweli pia kumwambia ukweli.
Watia huruma.Huo ndio ukweli. Hakuna nchi ambayo ipo sawa, hata China, Japan na Marekani bado haziko sawa