Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Yule wa Kagera humtambui? mpuuzi wewe kila siku Papa anafukuza mapadre kwa kashifa za ngono wewe upo upo tuKumbe kashfa tu tena kwa wenye chuki nalo.Ila huwezi kuta askofu wa kanisa katoliki akafanya au kuongea mambo ya hovyo au kujibizana na kupelekana polisi
Sasahivi Hai kuna Padre yupo mahakama kwa kashifa ya kubaka mwanafunzi, tulia wewe acha kuongea ongea ujinga, hakuna msafi hata mmojaKumbe kashfa tu tena kwa wenye chuki nalo.Ila huwezi kuta askofu wa kanisa katoliki akafanya au kuongea mambo ya hovyo au kujibizana na kupelekana polisi
Yupo kituo gani cha polisi tukamchomoe kwa nguvu ya umma!
Kamsaidie kunyea debe siyo kubweka Kwa Ku quote nilichoandika in irony na hukuelewa nilichokiandika.Polisi wamethibitisha kumkamata Asko Mwamakula una lipi la kusema wewe mwimba pambio?
Mwanakondoo ameshinda , TumfuateKumkamata ni sawa na kuyatangaza hayo maandamano nchi nzima.
Wangemuacha kwanza waone kama angepata wafuasi wa kuandamana. Pengine angejikuta anaandamana pekeyake.
Kamwe huwezi kusikia viongozi wa serikali au serikali yenyewe ikiwadhalilisha au kupambana na viongozi wa kanisa au na kanisa katoliki hata ikitokea mambo humalizika mezani.Hayo ya padre huko kwenu Hai unayajua mwenyewe!Sasahivi Hai kuna Padre yupo mahakama kwa kashifa ya kubaka mwanafunzi, tulia wewe acha kuongea ongea ujinga, hakuna msafi hata mmoja
Mpuuzi mmoja wewe kumbe tunazungumzia kashfa na zisizochukuliwa hatua na serikali Bali na kanisa lenyewe!Yule wa Kagera humtambui? mpuuzi wewe kila siku Papa anafukuza mapadre kwa kashifa za ngono wewe upo upo tu
Wewe unamwambia hana wewe hata ushemasi haujawahi kuupata mwenzio askofu.huo upako hana.
mshauri akaendelee kupiga siasa na huko sero pia.
Hata hiyo katiba mpya nadhani si wakati wake huu kudai kwani hata ikitengenezwa itakuwa haina tofauti na ya zamani sana sana wataongezea ya utawala wa kifalme.Huyu Askofu ndiyo ali organize matembezi ya hiyari kudai Katiba mpya?
Nadhani angejikita kwenye kuchunga kondoo wa bwana tu, utawala uliopo huwa haupendi kufosiwa kufanya mambo. Mambo yanafanyika pale mwenye nyumba atakapoamua.
Hata kama aliwahaidi Katiba mpya -mpaka apende mwenyewe.
Milioni 50 kila Kijiji - mpaka apende
Nyongeza ya mishahara - mpaka apende
You mention...
upako hauhusiani na cheo cha kanisa.Wewe unamwambia hana wewe hata ushemasi haujawahi kuupata mwenzio askofu.
Umekasirika? Ungekuwa wewe ndiye mzee mwenyewe wa ziwani hata kumkamata usingemkata. Ungelipua kwa kutumia remote. Lakini wewe ni mshirikina tu. Mpambe tu.Tatizo unaleta hadithi.
Sasa tuanzie wapiHapo anatafutwa Shekh Ponda
Sasa nyie CCM mbona hamuitaki katiba mpya? Bado mnaitaka katiba ya Mwaka 1977Njoo umsaidie sasa kama alivyokusaidia wakati wa uchaguzi
Katiba sio ya wapinzani ni ya wananchi
Wasije kuongeza kipengele cha kumi tena, manake wapambe wake wameshajipanga kuanzia kusini,pwani, nyanda za juu kusini, kaskazini na kanda ya ziwa πππHata hiyo katiba mpya nadhani si wakati wake huu kudai kwani hata ikitengenezwa itakuwa haina tofauti na ya zamani sana sana wataongezea ya utawala wa kifalme.
Tutapoteza hela for nothing.
Hicho ndicho watakiona cha maana kwenye hiyo katiba mpya na kisha kurudisha mambo yote ya hovyo.Wasije kuongeza kipengele cha kumi tena, manake wapambe wake wameshajipanga kuanzia kusini,pwani, nyanda za juu kusini, kaskazini na kanda ya ziwa [emoji134][emoji134][emoji134]
Si ulimsikia Deo Sanga wa Njombe, Dr Tulia and the likes hao wametumwa kuja kupima upepoHicho ndicho watakiona cha maana kwenye hiyo katiba mpya na kisha kurudisha mambo yote ya hovyo.
Siyo mpaka mtu awe nabii kutabiri hili.
Lipo wazi vichwani mwa wale ma mp
Hahaha sawa bwanaUmekasirika? Ungekuwa wewe ndiye mzee mwenyewe wa ziwani hata kumkamata usingemkata. Ungelipua kwa kutumia remote. Lakini wewe ni mshirikina tu. Mpambe tu.
Wewe unataka nini? Kwanini poliCCM wamemkamata kabla ya maandamano? Si walisema hawafanyii kazi habari za mtandaoni au kwa kuwa askofu alimuunga mkono Tundu Lissu ndio maana madikteta wamewatuma mbwa wao kumkamata?Kwa akili zako ulitaka polisi wamvike Nishani?,au ulitaka wampigie vinanda na vinubi?, lini watanzani tumekaa tukamtuma mwamakula kuwa tunahitaji katiba mpya?