The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani ndugu lakini ARV ni BIG DEAL kabisa! Angalia namba. Nisamehe nikiwa na umri mkubwa, siku za miaka ya 1990 walikufa kama inzi kutokana na UKIMWI!. Watoto yatima tele... Uliza wachungaji au mashehe waliokuwa na kazi ya kuzika siku zile!Nchi gani imelazimisha chanjo zake zinunuliwe? Mbona Russia na China wametengeneza za kwao na WHO imewapa endorsement?
Okay unasema vifo laki 5 kwa miaka 70 ni halali ila vifo 50 kati ya watu million zaidi ya 30 waliochanjwa kwa Astra Zeneca ndio sample nzuri ya kudiscredit chanjo?
Kingine chanjo sio tiba na hapa ndio mnakosea.... Chanjo ni kama condom tu inazuia maambukizi ila yakipenya haiwezi kukuokoa tena!! Hata ARVs kuna watu wanatumia na bado wanakufa kwa maradhi ya VVU so its not a big deal to be honest
Wewe ndio yule Kondoo aliyekumwagia uno Nini?Huna akili mbwa wewe..
Na si kila kitokacho Ulaya hakifai. Hivi kwani hauna wataalam wetu? Hawa ma-Prof na wenye ma Phd ni nini, siyo wataalam? Hao tunao ambjwa ni wabobezi siyo wataalamu?Ameiomba Wizara ya Afya kuangalia suala la Chanjo kwa umakini, akisema waangalie madhara ya sasa, ya siku zijazo na ya Taifa. Ameongeza kuwa, tatizo lililopo ni kufikiri kila kinachotoka Ulaya kinafaa.
Amesema, "Before we venture into what kind of vaccine we should take, tunatakiwa tuwe na wataalamu wetu wa hapa".
Magufuli angetufanya tuwe kama Noth Korea, tena kama Washauri ndio Bunge hilo la kina Gwajboy duh. Mungu ametuokoa sanaHuyu mama kama ni Urais basi umemdondokea tu, lakini hafai kwenye hiyo nafasi, anapelekeshwa kama puppet , why??!!!!udhaifu kama wa Msoga!!!!!
Mama hana imani, alikuwa anaigiza tu wakati wa mwendazake. Bado Mungu anaweza kila kitu, hata uoge sanitizer, uvae mabarakoa 1000 hakuna anayeweza kuidhibiti covid. Ni Mungu pekee.Nilisema Jana haya mabarakoa wanayovaa kuna kitu kama si kukopa mkopo wa covid bhasi chanjo huyu mama huyu bhasi tu
Amfifiro na Corona Virus December 2019 at work. PhD ya Ufufuo na Uzima Vs PhD ya Chanjo ya Corona.Hapa Dj mr zero amenangwa waziwazi kabisa.
Amechanjwa harakaharaka huko Dubai
Muasilishaji mwenyewe Kilaza wa Tiba na Chanjo. Taaluuma siyo yake anadandia Kazi za watu ili aambiwe anajua kuwasilisha. Eti RNA, DNA, MrA na Genes🤣🤣🤣AmfifiroKwanini kila siku kutolea makosa Vaccine za nchi zingine?
Kwanini mtu kama una wasiwasi usitengeneze Vaccine yako? Iran katengeneza Vaccine yake,Russia pia katengeneza Vaccine yake,hiyo ndio solution kama huamini vya wenzako.
Huyu Kwa kulisha Watz Matango pori hajambo. Hivi anaijua CDC na FDA au anaropoka tuu kama Ufufuo na Uzima?Hivi huyu mbulula anasoma conspiracy theories anapeleka Bungeni. Hakuna kanuni inayozuia kuongea mambo yasiyo ya kiutafuti bungeni? Hivi hizi akili kumbe huwa ni za Kisukuma maana Hayati nae yalikuwa mawazo yake
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Bunge la Ndugai la hovyo sanaHuyu Kwa kulisha Watz Matango pori hajambo. Hivi anaijua CDC na FDA au anaropoka tuu kama Ufufuo na Uzima?
mjinga wa kiwango cha juu wewe
Hahahah, Hilo jamaa mi nalionaga kama taahira, mtu katoa hoja, yeye anamquote mtaalam alisema nini sijui, sasa sijui inahusiana nini, hahaha 😂😂😂
To hell with your double decker parliament! Imbecilembowe is a scam also
You're very smart upstairs ! That's all i can say ! Wachana na hao wajinga wanatumia BCG ,Rubella Vaccine,Polio Vaccine,TT na ARV huku wakijisahaulisha madhara yaletwayo na Anticancers na hizo RadiopharmaceuticalsKwanza tukubaliane homa ya manjano pia chanjo yake ina side effects nyingi na nimekueleza kwa takwimu za WHO watu zaidi ya laki 5 wamekufa kwa chanjo-related cases!! Kwahyo nachohoji kwanini hampigi marufuku na ile? Au ni double standard
2. China wametengeneza chanjo yao na juzi tu hapa WHO wameipa endorsement kuwa ipo effective. Kwanini sisi hatutengenezi yetu tumekalia kulaumu wazungu na chanjo zao? Mbona Russia au China hawalii lii juu ya mabeberu conceding chanjo?
3. Side effects zipo kwa dawa na cjanjo zote duniani hakuna dawa hata moja haina side effects kutokana na variation kwa hali za miili ya watu. So sio chanjo ya covid tu ndio yenye madhara..... Ndio maana nimetoa mfano wa Radiotherapy pale ocean road ile tiba ukiitumia inakumaliza kabisa baadhi ya viungo lakini haipigwi marufuku coz hakuna namna nyingine ila humu huwezi sikia mkijadili mnaaminishwa ni chanjo tu yenye side effects ila ARVs cjui Yellow fever vaccine na Radiotherapy aaah ni sawa tu!!