Uchaguzi 2020 Askofu Gwajima: Nina Jina la Kiislamu, ninaitwa Rashidi

Na wote tuseme Amen.
 
Watanzania gani hao walioamua? Mbona mimi ni mtanzania na silitaki hilo lichama lako wala mgombea wako na cha ajabu zaidi we share the same tribe na mgombea wenu.

Watanzania wameshaamua. Tukutane tarehe 28,29 na 30 hapahapa kupeana pongezi na pole
 
Duhhhhhh

Cheo na Madaraka ni vibaya sana
 
Tangu lini huyu jamaa akasema ukweli? Huyu si ndiye aliyesema atabadirisha madrasa zote kuwa Sunday skuli? Leo tena kawa Rashidi na kipenzi chao. Ama kweli hadi siku ya siku tutasikia mengi yaliyomo na yasiyokuwemo.
 
Tunakwenda kumalizana na maccm tarehe 28.

Mkichezea uchaguzi huu tarehe 30 tutakutana barabarani na siyo JF tena.
Utaniambia utakua barabara gani Matola nije nikuzoom😂😂😂😂😂
 
Kweli kabisa mkuu me mwenyewe nime jiuliza sana watu wanawezaje kumsikiliza
Huyu mtu anaonekana kichaa kabisa kabisa akili 0
 
Jasiri haachi asili, alimwita mwenzie bashite sasa hivi anajipendekeza na kujiita Rashidi... Atukome Waislaam hatushobokei upuuzi[emoji57][emoji31]
 
Huyu jamaa waje wafanye mdahalo wa Kiingereza na Mdee tuone nani mkali
English yake yakuungaunga tuu ...nashangaa eti naye ni Phd holder elimu ya TZ kuna loss kubwa kuliko na loss ya uchumi nchini....
mifano Prof Lipumba,Prof Kabudi,Dr Harrison,Prof Tibajuka,Dr Magu..niwasa wakina prof Majimarefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…