Askofu Mkuu Jimbo Kuu Katoliki Mwanza awataka wanyonge kukataa wanaomtukana Hayati Magufuli

Askofu Mkuu Jimbo Kuu Katoliki Mwanza awataka wanyonge kukataa wanaomtukana Hayati Magufuli

Duc in altum

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
1,781
Reaction score
3,591
Askofu Mkuu jimbo Catholic Lenatus Nkwande ameongoza misa leo uwanja wa Kawe Kamo umefurika watu wakiwa wamekusanyika kumkumbuka Magufuli kwa kweli Magufuli anapendwa.

Baba askofu amewausia kuendelea kumuombea Magufuli na kuwaombea haters wake wakiwemo walamba asali na wazuri hawafi.

Pia alikuwepo na Anna Makinda hongera sana watu wote mliofika.

---

ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, Mhashamu Baba Askofu Renatus Nkwande amesema wanyonge huwa wanatetewa na wachache sana lakini wanyonge huwa wanajisahau hata aliyekutetea wakati mwingine unasahau, anasemwa vibaya umesahau, lazima wakati fulani useme hapana bila shaka hiyo ni demokrasia pia eti kwani demokrasia lazima useme ndio tu bila shaka hata kusema hapana sivyo

Baba Askofu Nkwande kwenye Misa Takatifu ya kumuombea aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Hayati Dk. John Pombe Joseph Magufuli iliyofanyika katika Madhabahu ya Bikira Maria Malkia wa Kawekamo Mwanza Jumamosi Tarehe 25/03/2023.

"Bahati mbaya kweli demokrasia hii wako wanatukana tukana,lakini hata huyu ambaye tumeona amefanya mazuri makubwa kwa nia njema kwa sadaka kubwa leo hii mfu lakini bado tunasemasema hawa watu wanatufundisha hatimaye kutujue na sisi kusema hapana, wanatoa funzo wanatukumbusha kwamba ikiwezekana ifikie mahali tuseme hapana" Askofu Nkwande

"sasa unataka kutuambia kwamba hiyo SGR kwamba hakuifanya na alifanya kwa ajli ya nini ya familia yake si kwa ajili yetu sisi hizo stendi hizo zinaingiza magari yake mle, hiyo treni linajengwa tayari ni la nani alafu leo mtuambie kwamba sasa ni mabaya ni mabaya ni mabaya" Askofu Nkwande

"Nilianza kwa kusema kwamba wanyonge huwa wanatetewa na wachache sana lakini wanyonge huwa wanajisahau hata aliyekutetea wakati mwingine unasahau, anasemwa vibaya umesahau, lazima wakati fulani useme hapana bila shaka hiyo ni demokrasia pia eti kwani demokrasia lazima useme ndio tu bila shaka hata kusema hapana sivyo" Askofu Nkwande

 
Askofu mkuu jimbo catholic Lenatus Nkwande ameongoza misa leo uwanja wa kawe kamo umefurika watu wakiwa wamekusanyika kumkumbuka Magufuli kwa kweli Magufuli anapendwa.
Baba askofu amewausia kuendelea kumuombea Magufuli na kuwaombea haters wake wakiwemo walamba asali na wazuri hawafi.
Pia alikuwepo na Anna makinda hongera sana watu wote mlio fika
Ila Mungu fundi
 
Askofu mkuu jimbo catholic Lenatus Nkwande ameongoza misa leo uwanja wa kawe kamo umefurika watu wakiwa wamekusanyika kumkumbuka Magufuli kwa kweli Magufuli anapendwa.
Baba askofu amewausia kuendelea kumuombea Magufuli na kuwaombea haters wake wakiwemo walamba asali na wazuri hawafi.
Pia alikuwepo na Anna makinda hongera sana watu wote mlio fika
Modes nimendika kawe kamo nyie mmebadilisha imekuwa kawe naomba isomeke kawe kamo Mwanza na sio kawe.
 
Askofu mkuu jimbo catholic Lenatus Nkwande ameongoza misa leo uwanja wa kawe kamo umefurika watu wakiwa wamekusanyika kumkumbuka Magufuli kwa kweli Magufuli anapendwa.
Baba askofu amewausia kuendelea kumuombea Magufuli na kuwaombea haters wake wakiwemo walamba asali na wazuri hawafi.
Pia alikuwepo na Anna makinda hongera sana watu wote mlio fika
Wangefanya maombi ya kumfufua...
 
Mbona harsh language na harsh tag zimeshamiri.

Tuzingatie maadili, hizi ni forum tu, sivyema kutukanana ama kuchafuana.
 
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Mwanza, Mhashamu Baba Askofu Renatus Nkwande amesema wanyonge huwa wanatetewa na wachache sana lakini wanyonge huwa wanajisahau hata aliyekutetea wakati mwingine unasahau, anasemwa vibaya umesahau, lazima wakati fulani useme hapana bila shaka hiyo ni demokrasia pia eti kwani demokrasia lazima useme ndio tu bila shaka hata kusema hapana sivyo

Baba Askofu Nkwande kwenye Misa Takatifu ya kumuombea aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Hayati Dk. John Pombe Joseph Magufuli iliyofanyika katika Madhabahu ya Bikira Maria Malkia wa Kawekamo Mwanza Jumamosi Tarehe 25/03/2023.

"Bahati mbaya kweli demokrasia hii wako wanatukana tukana,lakini hata huyu ambaye tumeona amefanya mazuri makubwa kwa nia njema kwa sadaka kubwa leo hii mfu lakini bado tunasemasema hawa watu wanatufundisha hatimaye kutujue na sisi kusema hapana, wanatoa funzo wanatukumbusha kwamba ikiwezekana ifikie mahali tuseme hapana" Askofu Nkwande

"sasa unataka kutuambia kwamba hiyo SGR kwamba hakuifanya na alifanya kwa ajli ya nini ya familia yake si kwa ajili yetu sisi hizo stendi hizo zinaingiza magari yake mle, hiyo treni linajengwa tayari ni la nani alafu leo mtuambie kwamba sasa ni mabaya ni mabaya ni mabaya" Askofu Nkwande

"Nilianza kwa kusema kwamba wanyonge huwa wanatetewa na wachache sana lakini wanyonge huwa wanajisahau hata aliyekutetea wakati mwingine unasahau, anasemwa vibaya umesahau, lazima wakati fulani useme hapana bila shaka hiyo ni demokrasia pia eti kwani demokrasia lazima useme ndio tu bila shaka hata kusema hapana sivyo" Askofu Nkwande

 
Back
Top Bottom