Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Tunasoma Neno lake na kujua nini Mungu anataka. Mungu anakataza ushoga ambao huyo askofu wenu mwamakula ni wakala, ndio maana hata Sodoma na Goroma aliwateketeza, kwasababu ya ufirauni anaouwakilisha huyo kimbaumbau.We
We unajua mungu anataka nini! Umeenda kuongea na mungu au unamjua. Kama mungu mungu mwenyewe anataka ndoa za mashoga we utajuaje. Tumuache mungu fikra za binadamu siyo za mungu.wengi tunafanya speculations tu hakuna mwenye uhakika na anavyovisali
Mkuu yanini kuwaombea wenzako mabaya. Mama ni wapi alipokosea.Huyu maza lazima aondoke hafai amfuate dikteta mwenzake
Anavyofanyia ukatili ndugu zetu anafaida gani?Mkuu yanini kuwaombea wenzako mabaya. Mama ni wapi alipokosea.
utatangulia wewe muda si mrefu. yeye utamwacha. simbilisi we.Anavyofanyia ukatili ndugu zetu anafaida gani?
So you are not ready and willing to die for your cause?Those people wako tayari kutumia LIVE bullets kwa waandamanaji hata kama waandamanaji wanaandamana peacefully
Ndo mtajua Mungu ibariki Tanzania inamaana gani....utatangulia wewe muda si mrefu. yeye utamwacha. simbilisi we.
Wanaogopa jeshi na sio Samia.Kwa nini hawaandamani kupinga kifungo cha Mbowe? Wanamwogopa Samia?
Mamlaka ya Nduli, inaweza kutoka kwa Mungu wa kweli?Badala ya kuomba Mungu atuokoe na janga la Corona unataka tumuombee Mbowe? Acha mahakama itaamua,maana hao nao ni watumishi wa Mungu.
Maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu.
Sasa wewe sema anamuomba Mungu!! Kama maombi yake mwaka jana yalijibiwa unafikiri saivi hayatajibiwa???askofu wa kanisa linaloruhusu ndoa za jinsia moja. anamwomba mungu gani, baali au Mungu anayekataza usodoma? hako kajamaa hakajui nini maana ya askofu. ameweka pembeni Biblia amekuwa chadema, si akagombee tu ubunge kama mwenzie gwajiboy? ni kavurugaji na serikali ifike mahali ichoke. wasimuogope, ni wakristo wachache sana wanamsapotu huyo kimbaumbau.
Kama ni kweli kwamba hasikilizwi na Mungu, basi sawa! Bali ikiwa Mungu aliye hai humsikikiza huyo bishop, na upigwe na corona, ufe umfuate Baba ako, huku umalaikani, au motoni, kufa hata leo!askofu wa kanisa linaloruhusu ndoa za jinsia moja. anamwomba mungu gani, baali au Mungu anayekataza usodoma? hako kajamaa hakajui nini maana ya askofu. ameweka pembeni Biblia amekuwa chadema, si akagombee tu ubunge kama mwenzie gwajiboy? ni kavurugaji na serikali ifike mahali ichoke. wasimuogope, ni wakristo wachache sana wanamsapotu huyo kimbaumbau.
I'm willing to live for itSo you are not ready and willing to die for your cause?
Hata hao wakorofi huletwa na Mungu kwa kusudi maalumu,Sauli aliletwa kuwanyoosha Israel kwa ubishi wao.Mamlaka ya Nduli, inaweza kutoka kwa Mungu wa kweli?
Then you’re not in it ten toes down! You’re half-steppin’.I'm willing to live for it
Aisee..!!! Hongera kwa aina hii ya busaraaskofu wa kanisa linaloruhusu ndoa za jinsia moja. anamwomba mungu gani, baali au Mungu anayekataza usodoma? hako kajamaa hakajui nini maana ya askofu. ameweka pembeni Biblia amekuwa chadema, si akagombee tu ubunge kama mwenzie gwajiboy? ni kavurugaji na serikali ifike mahali ichoke. wasimuogope, ni wakristo wachache sana wanamsapotu huyo kimbaumbau.