Askofu Mwamakula Atangaza siku saba mfululizo za maombi kumshitakia Mungu juu ya uonevu aliofanyiwa Freeman Mbowe

Askofu Mwamakula Atangaza siku saba mfululizo za maombi kumshitakia Mungu juu ya uonevu aliofanyiwa Freeman Mbowe

We

We unajua mungu anataka nini! Umeenda kuongea na mungu au unamjua. Kama mungu mungu mwenyewe anataka ndoa za mashoga we utajuaje. Tumuache mungu fikra za binadamu siyo za mungu.wengi tunafanya speculations tu hakuna mwenye uhakika na anavyovisali
Tunasoma Neno lake na kujua nini Mungu anataka. Mungu anakataza ushoga ambao huyo askofu wenu mwamakula ni wakala, ndio maana hata Sodoma na Goroma aliwateketeza, kwasababu ya ufirauni anaouwakilisha huyo kimbaumbau.
 
Dua maalum ya kumuombea mlevi mzinzi na mkwapuaji mkubwa wa pesa za taasisi.
 
Badala ya kuomba Mungu atuokoe na janga la Corona unataka tumuombee Mbowe? Acha mahakama itaamua,maana hao nao ni watumishi wa Mungu.
Maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu.
Mamlaka ya Nduli, inaweza kutoka kwa Mungu wa kweli?
 
askofu wa kanisa linaloruhusu ndoa za jinsia moja. anamwomba mungu gani, baali au Mungu anayekataza usodoma? hako kajamaa hakajui nini maana ya askofu. ameweka pembeni Biblia amekuwa chadema, si akagombee tu ubunge kama mwenzie gwajiboy? ni kavurugaji na serikali ifike mahali ichoke. wasimuogope, ni wakristo wachache sana wanamsapotu huyo kimbaumbau.
Sasa wewe sema anamuomba Mungu!! Kama maombi yake mwaka jana yalijibiwa unafikiri saivi hayatajibiwa???
 
askofu wa kanisa linaloruhusu ndoa za jinsia moja. anamwomba mungu gani, baali au Mungu anayekataza usodoma? hako kajamaa hakajui nini maana ya askofu. ameweka pembeni Biblia amekuwa chadema, si akagombee tu ubunge kama mwenzie gwajiboy? ni kavurugaji na serikali ifike mahali ichoke. wasimuogope, ni wakristo wachache sana wanamsapotu huyo kimbaumbau.
Kama ni kweli kwamba hasikilizwi na Mungu, basi sawa! Bali ikiwa Mungu aliye hai humsikikiza huyo bishop, na upigwe na corona, ufe umfuate Baba ako, huku umalaikani, au motoni, kufa hata leo!
 
askofu wa kanisa linaloruhusu ndoa za jinsia moja. anamwomba mungu gani, baali au Mungu anayekataza usodoma? hako kajamaa hakajui nini maana ya askofu. ameweka pembeni Biblia amekuwa chadema, si akagombee tu ubunge kama mwenzie gwajiboy? ni kavurugaji na serikali ifike mahali ichoke. wasimuogope, ni wakristo wachache sana wanamsapotu huyo kimbaumbau.
Aisee..!!! Hongera kwa aina hii ya busara
 
Back
Top Bottom