Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Kama wakati wa Magufuli waliufyata basi Waendelee kuufyata wamuache Mama afanye anavyojua. Akiwahitaji Kwa ushauri atawauliza..
Vidomodomo na kiherehere cha kushauri. Wangefanya wakati wa Magufuli..kama wanajua Sana kushauri
Uposahihi ndugu yangu.