Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wananchi hatumtaki hata kidogo tumechoka kubambikwa kesi za hovyoAnaweza kufanya Uhalifu wowote lakini ajue Mungu keshamkataa, hushangai Anashindwa kuhimili Kampeni kwa siku 5 mfululizo?
Unadhani Meko hajui hizi historia za Mrema, Slaa na Ngoyai?Cha kusikitisha ni kuwa "nyomi" haijawahi kuwa kigezi cha ushindi:cfs---lyatonga, Ngoyai et cetera
Shetani hajawahi mshinda Mungu cc ErythrocyteWachungaji wa siku hizi sijui wamekuwaje, anajua madhara na faida ya kile anachokiongea kweli huyu?
Eti hajajenga reli na flyover, anampiga dongo JPM wazi wazi kwa miradi inayomtambulisha, ngoja tusubili kwenda kufugia kuku kwenye jengo la kanisa lake pale Mwenge.
Magu kagonga kapelo kibaharia safi sana 😂😂😂Nawatazama kisha nasema h!!!!!!!!!!!!!!...View attachment 1578819
Pia ni eneo la jeshiLile kanisa lipo kwenye hifadhi ya barabara pale Mwenge
Well putAnayemiliki nguvu ya umma ndie anaemiliki dola
Mtume na nabii Mwingira ametoa unabii wake kuhusu Uchaguzi huu wa 2020 Oktoba.
Moja ya pointi kubwa aliyoizungumzia ni kuwa mshindi hawezi kuzuiwa, kama Mungu alimpa ushindi basi atashinda.
Japokuwa ametumia kiingereza huku ikitafsiriwa lakini ujumbe huu unaweza kuwa wa kwanza kwa Kanisa la Kipentekoste hasa makanisa yenye huduma za mtu binafsi.
View attachment 1578719
View attachment 1578721
Mzee wangu Mwingira hajifunzi, 2015 alimbeza na kumtukana JPM na bado alishinda.
Nyuma ya pazia huyu mzee anaongozwa na ukabila wa mkewe mambo ya uchagani, wachaga wengi walikuwa wezi, njia za wizi zimebanwa, kujipendelea kazi nako siku hizi imekua ngumu so wamechanganyikiwa. Dkt Magufuli ndiye rais wetu atake asitake!
ngoja tuoneWachungaji wa siku hizi sijui wamekuwaje, anajua madhara na faida ya kile anachokiongea kweli huyu?
Eti hajajenga reli na flyover, anampiga dongo JPM wazi wazi kwa miradi inayomtambulisha, ngoja tusubili kwenda kufugia kuku kwenye jengo la kanisa lake pale Mwenge.
Basi fuata huo ushauri wangu hutojitia stress kama wengine.Mi sijamtaja huyo unayemtaja, mi nimewataja watu wawili Tu.
Tafadhari usinizurie kesi.
Sasa hapa wachaga wa watu wanatokea wapi.Mzee wangu Mwingira hajifunzi, 2015 alimbeza na kumtukana JPM na bado alishinda.
Nyuma ya pazia huyu mzee anaongozwa na ukabila wa mkewe mambo ya uchagani, wachaga wengi walikuwa wezi, njia za wizi zimebanwa, kujipendelea kazi nako siku hizi imekua ngumu so wamechanganyikiwa. Dkt Magufuli ndiye rais wetu atake asitake!
Anayekulaga kondoo juzi naye kaliwa na mbuzi [emoji238] [emoji238]...Huyu nabii si ndo anakulaga kondoo? Utabiri fake huo chezea sadaka na biashara ya unga kuyumba, lazima achanganyikiwe!