Huo mstari wa kwaza nafikiri ndio wewe.Hii nchi ina wapumbavu wengi sana, ambao ukicheka nao utapata lawama sana tena hao hao wapumbavu ndio watakaokulalamikia...
JK alikuwa fair sana, alikuwa muungwana sana na very diplomatic, lakini pumbavu zilimpanda kichwani mpaka kumuita dhaifu mara ooooh rais gani anachekacheka....Naye alitambua hilo kama Taifa sasa linahitaji Rais Mkali akamleta mwamba JPM...
Hii nchi ina wapumbavu wengi sana, ambao ukicheka nao utapata lawama sana tena hao hao wapumbavu ndio watakaokulalamikia...
JK alikuwa fair sana, alikuwa muungwana sana na very diplomatic, lakini pumbavu zilimpanda kichwani mpaka kumuita dhaifu mara ooooh rais gani anachekacheka....Naye alitambua hilo kama Taifa sasa linahitaji Rais Mkali akamleta mwamba JPM...
Maendeleo ya kweli hayawezi kuletwa at the expense ya kunyima watu uhuru wa kujieleza au kuua watu hovyo...alileta maendeleo ya vitu.kujenga maflyover.kununua mandege bila strategic management plans..kujenga mabarabara..but then akawanyima watu uhuru wa kutoa maoni yao..alijifanya yeye ndio kila kitu mtu wa mihemuko na uungu mtu..we are glad utukufu wa MUNGU MKUU ulijionyeshaMarehemu hayati magufuli alikuwa kiongozi nzuri pia alikuwa na changamoto zake hivyo yatupasa tuchukue mazuri yake na changamoto zake tuzirekebishe pia ,tusitake kusahau mazuri yake wadau ,kumbukeni kabla hajaingia madarakani jpm urasimu kwenye nchi hii ulikuwa mkubwa, alivyoingia aliupunguza kwa kiasi kikubwa
Yalichomwa na wanakijiji wenye hasira baada ya mwingira kuexpand kwenye eneo lenye mgogoro buffer zone, na walinzi wake wakamuua mwanakijiji kwa risasi
Ndio anaongea sasa hv….apige kimya au la sivyo tutamuweka kwenye kundi la wahuni..#kataawahuni
Sio wewe uwe objectives kwenye mambo kuliko kutumia mihemko Hadi sehemu yenye uhalisia wa mambo
Vipi? -Umeshaanza kuutamani Utume na Unabii?10 billion
NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:
1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."
2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketezwa Shambani kwangu."
3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."
4. "Dada aliyetoa taarifa za mipango ya kuuawa kwangu aliuawa Rombo Hotel Shekilango Dar es Salaaam."
5. "Mwaka unaokuja Watanzania watakuwa Salama."
26/12/2021.
Stay tuned.
View attachment 2058518
Mtume na Nabii Josephat Mwingira ni Mtumishi wa Mungu na kiongozi wa huduma ya Efatha Ministries nchini Tanzania.
Pia, soma:
Uchaguzi 2020 - Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata
Ushoga wamliza kwa uchungu RC Makonda kanisani Efatha kwa mchungaji Mwingira
Katika ibada inayoendelea kanisa la mchungaji Mwingira Mkuu wa mkoa RC Makonda Amelia kwa uchungu mbele ya madhabau kutokana na matukio mabaya yanayoendelea mkoani Dar ess salaam hasa suala la ushoga === Mkuu wa Mkoa wa DSM Paul Makonda leo amehudhuria ibada ya kwanza kwa Askofu Mwingira DSM...www.jamiiforums.com
Ile issue ya Lissu "wahuni" waliicheza kiprofessional sana kuhakikisha tukio zima linawaaminisha watu uhusika wa serikali ya JPM.La Lissu je? Zile CCTV Camera Ziko Wapi? Na Taarifa zilitolewa au hazikutolewa?
Sembuse Askofu? Tunajua mwisho wa Hili IGP atasema nini Maana tumezoea
Kwani dhalimu wenu aliekuwa anafanya hayo si alishakufa na sasa mnapumua?
Hakika nampenda huyu Mzee, alimtabiria Magufuli kifo na kweli Magu hakukatiza miezi 6 akavuta kamba
Tatizo la mambo ya gizani huko hakuna mwenye monopoly ya ushenzi. Inadaiwa pia kuna watemi waliomzimisha mwendazake huko huko gizani.Nimeipenda Jiwe ukizingua gizani linakufinya huko huko, halikuleti kwenye mwanga. Yaani ukiwa mhuni jamaa alikuwa anakuahughulikia kimtaa mtaa, yaani kihuni huni tu. Na ndio kelele zikaanza kusikika, mara ooh hafuati katiba, watu wanapotea, mara oooh dikteta[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yule mzee ukimletea uhuni gizani naye anakufanyia uhuni mara 10 ya wewe, tena huko huko gizani.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ile issue ya Lissu "wahuni" waliicheza kiprofessional sana kuhakikisha tukio zima linawaaminisha watu uhusika wa serikali ya JPM.
-saa saba MCHANA,
eneo liwe la serikali linalolindwa na CCTV camera,
ondoeni Camera zote na walinzi pia.
Hakikisheni indicators zote zipoint serikali ya JPM kuhusika.
Halafu baada ya tukio shinikiza Interpol waje wafanye uchunguzi.
"Wahuni" wamefanikiwa kuwaaminisha wengi (including Lisu mwenyewe) kuwa JPM ndiye aliyetaka kumuua.
Lakini hata kama kweli JPM angetaka kumuua Lisu, hivi kwa intelligence ya kawaida ndo angefanya kijinga vile?
Yaani wafanye kweupe vile huku wakihakikisha indicators zote zioneshe serikali inahusika?
Hakuna serikali ya kijinga hivo Tanzania.
Na Samia alishawaambia "serikali ya Tz haiwezi kufanya tukio kizembe vile".
Mbona wajitoa fahamu hovyohovyo ndugu, kama angeongea wakati ule wa awamu ya giza 'asingebakia' kuja kutuelezeaNdio anaongea sasa hv….apige kimya au la sivyo tutamuweka kwenye kundi la wahuni..#kataawahuni
nikisema Jiwe alikuwa mchapakazi mwenye roho mbaya najua ninachokisema.namjua toka akiwa mbunge wa biharamulo baadae ikawa chato..Roho mbaya kwa wahuni sawa tu
Wajivunia ushetani?Nimeipenda Jiwe ukizingua gizani linakufinya huko huko, halikuleti kwenye mwanga. Yaani ukiwa mhuni jamaa alikuwa anakuahughulikia kimtaa mtaa, yaani kihuni huni tu. Na ndio kelele zikaanza kusikika, mara ooh hafuati katiba, watu wanapotea, mara oooh dikteta[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yule mzee ukimletea uhuni gizani naye anakufanyia uhuni mara 10 ya wewe, tena huko huko gizani.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]