Nimeipenda Jiwe ukizingua gizani linakufinya huko huko, halikuleti kwenye mwanga. Yaani ukiwa mhuni jamaa alikuwa anakuahughulikia kimtaa mtaa, yaani kihuni huni tu. Na ndio kelele zikaanza kusikika, mara ooh hafuati katiba, watu wanapotea, mara oooh dikteta[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yule mzee ukimletea uhuni gizani naye anakufanyia uhuni mara 10 ya wewe, tena huko huko gizani.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]