Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

Marehemu hayati magufuli alikuwa kiongozi nzuri pia alikuwa na changamoto zake hivyo yatupasa tuchukue mazuri yake na changamoto zake tuzirekebishe pia ,tusitake kusahau mazuri yake wadau ,kumbukeni kabla hajaingia madarakani jpm urasimu kwenye nchi hii ulikuwa mkubwa, alivyoingia aliupunguza kwa kiasi kikubwa
 
Kwa JPM hawa jamaa walikuwa kimya hata wakishughulikiwa maana walikuwa wanajua jamaa ana mafile yao...ukileta fyoko unapanda kisutu na uhujumu uchumi + money laundering..wengine walikufa kimyakimya kwa pressure na malazi nyemelezi... Lengo la JPM ilikuwa kurudisha fedha za umma na nyingine zijenge nchi ila wahusika wabaki mtaani tu na shughuli zao japo ukileta fyoko unaadhibiwa..

Lao kuna watu wako tayari kumuunga mkono hata mhalifu eti kwasababu kaisema serikali, na wahalifu nao wamepata pakujifichia, wakigundua nyendo zao na mafile yako mezani wanaanza kubwabwaja dhidi ya Serikali wakijua kabisa kuna support ya watu wanaowaza kushika dola kwa kutegemea dola ishambuliwe..
 
Hii nchi ina wapumbavu wengi sana, ambao ukicheka nao utapata lawama sana tena hao hao wapumbavu ndio watakaokulalamikia...

JK alikuwa fair sana, alikuwa muungwana sana na very diplomatic, lakini pumbavu zilimpanda kichwani mpaka kumuita dhaifu mara ooooh rais gani anachekacheka....Naye alitambua hilo kama Taifa sasa linahitaji Rais Mkali akamleta mwamba JPM...
 
Hii nchi ina wapumbavu wengi sana, ambao ukicheka nao utapata lawama sana tena hao hao wapumbavu ndio watakaokulalamikia...

JK alikuwa fair sana, alikuwa muungwana sana na very diplomatic, lakini pumbavu zilimpanda kichwani mpaka kumuita dhaifu mara ooooh rais gani anachekacheka....Naye alitambua hilo kama Taifa sasa linahitaji Rais Mkali akamleta mwamba JPM...
Huo mstari wa kwaza nafikiri ndio wewe.
 
Wahenga walinena 'ukicheka cheka na Mbwa …utaingia nae msikitini…'
Hii nchi ina wapumbavu wengi sana, ambao ukicheka nao utapata lawama sana tena hao hao wapumbavu ndio watakaokulalamikia...

JK alikuwa fair sana, alikuwa muungwana sana na very diplomatic, lakini pumbavu zilimpanda kichwani mpaka kumuita dhaifu mara ooooh rais gani anachekacheka....Naye alitambua hilo kama Taifa sasa linahitaji Rais Mkali akamleta mwamba JPM...
 
Marehemu hayati magufuli alikuwa kiongozi nzuri pia alikuwa na changamoto zake hivyo yatupasa tuchukue mazuri yake na changamoto zake tuzirekebishe pia ,tusitake kusahau mazuri yake wadau ,kumbukeni kabla hajaingia madarakani jpm urasimu kwenye nchi hii ulikuwa mkubwa, alivyoingia aliupunguza kwa kiasi kikubwa
Maendeleo ya kweli hayawezi kuletwa at the expense ya kunyima watu uhuru wa kujieleza au kuua watu hovyo...alileta maendeleo ya vitu.kujenga maflyover.kununua mandege bila strategic management plans..kujenga mabarabara..but then akawanyima watu uhuru wa kutoa maoni yao..alijifanya yeye ndio kila kitu mtu wa mihemuko na uungu mtu..we are glad utukufu wa MUNGU MKUU ulijionyesha
 
Ya Sabaya mlibisha Mwisho Wa siku Mahakamani Ikawa Revealed.

Mbowe Gaidi Yako wapi?

Risasi alizopigwa Lissu? Kesi iko wapi? Assume zile Risasi angekuwa alipigwa Sabaya Leo Kesi Ingekuwa Wapi?

Mtu hawezi kuwa Mjinga akasema Tuuu ya Moyoni…. Hata kama akiyakuza sana wakati wa kuongea Bado haiondoi Uhalali wa Ujumbe wakeee

Amini kuna Kitu…..
 
Yalichomwa na wanakijiji wenye hasira baada ya mwingira kuexpand kwenye eneo lenye mgogoro buffer zone, na walinzi wake wakamuua mwanakijiji kwa risasi

Hatua gani walichukuliwa hao wanakijiji kama kweli ni wanakijiji, maana hakuna ruhusa kujichukulia sheria mkononi.
 
Ndio anaongea sasa hv….apige kimya au la sivyo tutamuweka kwenye kundi la wahuni..#kataawahuni

La Lissu je? Zile CCTV Camera Ziko Wapi? Na Taarifa zilitolewa au hazikutolewa?

Sembuse Askofu? Tunajua mwisho wa Hili IGP atasema nini Maana tumezoea
 
Sio wewe uwe objectives kwenye mambo kuliko kutumia mihemko Hadi sehemu yenye uhalisia wa mambo

Hebu weka huo uhalisia wa mambo ili nione hiyo objectivity yako.
 
NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:

1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."

2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketezwa Shambani kwangu."

3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."

4. "Dada aliyetoa taarifa za mipango ya kuuawa kwangu aliuawa Rombo Hotel Shekilango Dar es Salaaam."

5. "Mwaka unaokuja Watanzania watakuwa Salama."


26/12/2021.

Stay tuned.

View attachment 2058518
Mtume na Nabii Josephat Mwingira ni Mtumishi wa Mungu na kiongozi wa huduma ya Efatha Ministries nchini Tanzania.

Pia, soma:

Uchaguzi 2020 - Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata


IMG_20211227_112550_315.jpg
 
La Lissu je? Zile CCTV Camera Ziko Wapi? Na Taarifa zilitolewa au hazikutolewa?

Sembuse Askofu? Tunajua mwisho wa Hili IGP atasema nini Maana tumezoea
Ile issue ya Lissu "wahuni" waliicheza kiprofessional sana kuhakikisha tukio zima linawaaminisha watu uhusika wa serikali ya JPM.
-saa saba MCHANA,
eneo liwe la serikali linalolindwa na CCTV camera,
ondoeni Camera zote na walinzi pia.
Hakikisheni indicators zote zipoint serikali ya JPM kuhusika.

Halafu baada ya tukio shinikiza Interpol waje wafanye uchunguzi.
"Wahuni" wamefanikiwa kuwaaminisha wengi (including Lisu mwenyewe) kuwa JPM ndiye aliyetaka kumuua.
Lakini hata kama kweli JPM angetaka kumuua Lisu, hivi kwa intelligence ya kawaida ndo angefanya kijinga vile?

Yaani wafanye kweupe vile huku wakihakikisha indicators zote zioneshe serikali inahusika?
Hakuna serikali ya kijinga hivo Tanzania.
Na Samia alishawaambia "serikali ya Tz haiwezi kufanya tukio kizembe vile".
 
Nimeipenda Jiwe ukizingua gizani linakufinya huko huko, halikuleti kwenye mwanga. Yaani ukiwa mhuni jamaa alikuwa anakuahughulikia kimtaa mtaa, yaani kihuni huni tu. Na ndio kelele zikaanza kusikika, mara ooh hafuati katiba, watu wanapotea, mara oooh dikteta[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yule mzee ukimletea uhuni gizani naye anakufanyia uhuni mara 10 ya wewe, tena huko huko gizani.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo la mambo ya gizani huko hakuna mwenye monopoly ya ushenzi. Inadaiwa pia kuna watemi waliomzimisha mwendazake huko huko gizani.

Bila shaka umesikia stori ya wapigania legacy wanaohangaika kutaka kuileta hiyo kesi kwenye mwanga!
 
Ile issue ya Lissu "wahuni" waliicheza kiprofessional sana kuhakikisha tukio zima linawaaminisha watu uhusika wa serikali ya JPM.
-saa saba MCHANA,
eneo liwe la serikali linalolindwa na CCTV camera,
ondoeni Camera zote na walinzi pia.
Hakikisheni indicators zote zipoint serikali ya JPM kuhusika.

Halafu baada ya tukio shinikiza Interpol waje wafanye uchunguzi.
"Wahuni" wamefanikiwa kuwaaminisha wengi (including Lisu mwenyewe) kuwa JPM ndiye aliyetaka kumuua.
Lakini hata kama kweli JPM angetaka kumuua Lisu, hivi kwa intelligence ya kawaida ndo angefanya kijinga vile?

Yaani wafanye kweupe vile huku wakihakikisha indicators zote zioneshe serikali inahusika?
Hakuna serikali ya kijinga hivo Tanzania.
Na Samia alishawaambia "serikali ya Tz haiwezi kufanya tukio kizembe vile".

Mmmmmmh
 
Nimeipenda Jiwe ukizingua gizani linakufinya huko huko, halikuleti kwenye mwanga. Yaani ukiwa mhuni jamaa alikuwa anakuahughulikia kimtaa mtaa, yaani kihuni huni tu. Na ndio kelele zikaanza kusikika, mara ooh hafuati katiba, watu wanapotea, mara oooh dikteta[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] yule mzee ukimletea uhuni gizani naye anakufanyia uhuni mara 10 ya wewe, tena huko huko gizani.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wajivunia ushetani?
 
Back
Top Bottom