Mwingira alivo muhuni angetaka kuuliwa si wangetumiwa hao malaya.
Huyo bishop ni malaya sana/kuna siku akiwa madhabahuni alimsimamisha mkewe mbele ya watu eti wakiwa kweny 6 x 6 huwa wanaupiga mwingi daaaah huyu ndo Askofu
Basi CDM mkisikia hv mnajiliwaza automatically huyu ndugu anakuwa rafiki yenu!!?NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:
1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."
2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketzwa Shambani kwangu."
3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."
4. "Dada aliyetoa taarifa za mipango ya kuuawa kwangu aliuawa Rombo Hotel Shekilango Dar es Salaaam."
5. "Mwaka unaokuja Watanzania watakuwa Salama."
26/12/2021.
Stay tuned..
====
Mtume na Nabii Josephat Mwingira ni Mtumishi wa Mungu na kiongozi wa huduma ya Efatha Ministries nchini Tanzania.
Sasa wewe kazi ya kwanza ya Mke nini !.
Kama wana Imani hiyo kwanini wakati wa uchaguzi asiombe atokee kiongozi asiye na mapungufuHakika nampenda huyu Mzee, alimtabiria Magufuli kifo na kweli Magu hakukatiza miezi 6 akavuta kamba
Acha wivu
Hao unaowataja ni wakamilifu mbele za Mungu siyo?Sio Baba askofu peke yake aliyetabiri kifo cha JPM hata Rema, Nape, nk kifo kilikuwa wazi kabisa kuwa lazima afe!
Lissu alipiga kelele mwisho wake ukawaje?Duh. Alishawahi kupiga kelele popote pale. Ama aliendelea kuyategemea majeshi ya mbinguni hadi yaliposhinda.
Me simkubali huyu jamaa. Lakini nikikumbuka uhuni wa awamu ile. Muache tu aongee.Mwingira alivo muhuni angetaka kuuliwa si wangetumiwa hao malaya.
[emoji1787]Hata maji ya kunywa hakupaawa kuombewa.
Hatari, Ametema Nyongo DunianiAskofu hutaki kwenda kukutana na Yesu
Utatafutaje muafaka na mtu ambaye hayupoAisee haya mambo yanapaswa kufika mwisho why kila mtu analalamika inabid iundwe tume ya muafaka wa kitaifa
Kwa hiyo kwa sababu yeye alikula mke wa mchaga ndio justification ya kufanyiwa hayo aliyofanyiwa?Huyu nabii alikulaga muke ya muchagga fulani!
Aliambiwa na yale mahuni eti..."weye nani akufuatilie kukuua?Serikali haiwezi kumfuatilia mtu kama Lissu"...!Baada ya hotuba ya yule "bwana kiongozi wa malaika" wote tunajua Lissu aliogeshwa mvua ya risasi ngapi! Horrible!Lissu alipiga kelele mwisho wake ukawaje?
Ni wangapi wameteketezwa ni serakali ya aliyokuwa anaongoza magufuli?Hasira za Mwingira ni benki yake ya Efatha kufilisika na ilipoomba loan from BOT ikakutana na kizingiti kwakuwa benki ilikuwa na janja janja nyingi ktk kujiendesha kwake ikiwemo fedha kumiliki baadhi ya mali ambazo ziliingia nchini kwa mgongo wa kanisa na kukwepa kodi nk
Ila hizo porojo za kusema eti watu wa Serikali walitaka kuniua mara tatu apeleke hizi pumba kwa wahuni wenzake, ajue tu kwamba mkono wa Serikali ukikutaka haukukosi
Kwahiyo kama magu hakuwa dhaifu ndio atumie Urais wake kwa kuteka,kuuwa,kutukuna watu, kufilisi watu,kuvunjia watu makaazi yao n.k?Enzi za Jakaya umelia na mkamuita dhaifu, enzi ya Magu umemtukana, na bado mnapambana na mfu na sasa kwa Mamá nako mmeanza kumdhihaki
Sasa Raisi gani kwenu aliwahi kuwa mzuri mkamfurahia!????
Hivi unadhani kikwete leo akifa ataoga matusi kama aliyooga huyo shetani?Enzi za Jakaya umelia na mkamuita dhaifu, enzi ya Magu umemtukana, na bado mnapambana na mfu na sasa kwa Mamá nako mmeanza kumdhihaki
Sasa Raisi gani kwenu aliwahi kuwa mzuri mkamfurahia!????
Uzuri hajasema ni zama zipi alinusurika kuuwawa.Zile zama zilikua hatari mno. Na wananchi tusipokua makini kukemea ccm na serikali yake hakika zitarudi.