Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

Acha hizo jiwe alikuwa Iblis
 
Huu ujinga wa mataga watakufa nao,yaan wao ushenzi wa kiongozi wao wanaona uimara hakika hawa mataga yatakufa yakiwa majinga
Kwahiyo kama magu hakuwa dhaifu ndio atumie Urais wake kwa kuteka,kuuwa,kutukuna watu, kufilisi watu,kuvunjia watu makaazi yao n.k?

Ndio katiba ilivyomuelekeza afanye hvyo?

Magu alikuwa mshenzi.
 
Ndugu, huyo NDULI BABA YENU alikua mshenzi, muuaji na katili kweli kweli. HASAFISHIKI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…